GE2025 Day 3: Maandamano yanaendelea jijini Dar es Salaam

GE2025 Day 3: Maandamano yanaendelea jijini Dar es Salaam

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Makumbele

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2009
Posts
308
Reaction score
1,385
Maelfu ya watanzania kutoka Mbezi jijini wanaelekea Ikulu muda huu.

Madai ya waandamnaji, Matokeo ya uchaguzi yafutwe, KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Tume huru ya uchaguzi na utawala wa Haki.

Video hii ni ya asubuhi ya leo: 👇🏽



Leo, wanajeshi wameonekana kuendelea kulinda wananchi 👇🏽



Sinza hali iko hivi 👇🏽



Kuelekea mjini tokea Kimara 👇🏽



Mabango ya Samia yanang’olewa 👇🏽



Vijana wanataka Jeshi kuchukua nchi (kwa muda?) 👇🏽

 
IMG_8035.jpeg


Nimeona wengine wamevamia Airport hii sijui wapi
 
Back
Top Bottom