ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 20,026
- 46,176
Waambie ukweli Hawa mapimbi!Yetu wahuni wa CCM na serikali yake walipiga na mpaka sasa hatujui hata mmiliki ni nani, watu wanao pigia kura CCM either ni wajinga na wapumbavu kupindukia kama yule chawa Mwanshambwa au Wana maslahi, haiwezekani nchi tajiri iwe na uchumi kama wa Burundi ambao hawana raslimali yeyote zaidi ya ukabila wawekewe kundi Moja na Tanzania
Kirefu cha LNG ni nini mkuu na inahusiana na nini?Short notes on that muheshimiwa.
Mapimbi ni kina nani?Waambie ukweli Hawa mapimbi!
Liquefied Natural Gas. Gas iliyopozwa na kupunguzwa ujazo wake na kuwa katika hali ya kimiminika, ili iwe rahisi na salama kutunza na kusafirishwaKirefu cha LNG ni nini mkuu na inahusiana na nini?Short notes on that muheshimiwa.
Elimu nzuri.Naamini tumeona.Liquefied Natural Gas. Gas iliyopo wa na kupunguza ujazo wake na kuwa katika hali ya kimiminika, ili iwe rahisi na salama kutunza na kusafirishwa
Nyie wa kwenu endeleeni kukaza kwamba Mabeberu wanawaibia.
Unaropoka kama fala mmja.Unajua anaemiliki hiyo ya Mozambique ni nani?Yetu wahuni wa CCM na serikali yake walipiga na mpaka sasa hatujui hata mmiliki ni nani, watu wanao pigia kura CCM either ni wajinga na wapumbavu kupindukia kama yule chawa Mwanshambwa au Wana maslahi, haiwezekani nchi tajiri iwe na uchumi kama wa Burundi ambao hawana raslimali yeyote zaidi ya ukabila wawekewe kundi Moja na Tanzania
Ikipelekwa Kenya wakati palepale Masasi wanatumia mabua ya mahindi kupikia maharage ndiyo wasipige kelele?Wakili fake wa serikali wewe.Nyie wa kwenu endeleeni kukaza kwamba Mabeberu wanawaibia.
Maana Watanzania Wana akili za kipumbavu sana
Usimwambie fala.Mpe elimu bila kebehi.Ndiyo maana halisi ya JF.Hapa si ukumbi wa kufundishana aina mpya ya matusi.Toa elimu.Unaropoka kama fala mmja.Unajua anaemiliki hiyo ya Mozambique ni nani?
Unajua Kwa nini LNG ya Lindi imekwama?
Masasi.kuna viwanda? Ni Msaada huo?Ikipelekwa Kenya wakati palepale Masasi wanatumia mabua ya mahindi kupikia maharage ndiyo wasipige kelele?Wakili fake wa serikali wewe.
Nimekupa mfano.Hiyo ya Mocambique ni kwa ajili ya nini?Masasi.kuna viwanda? Ni Msaada huo?
Unadhani hiyo ya Mozambique ni ya kutumia majumbani?
Industrial use na ambayo itakuwa inajazwa kwenye mitungi kama.hizi zinazouzwa kikawaida.Nimekupa mfano.Hiyo ya Mocambique ni kwa ajili ya nini?
Andika kiswahili.Industrial use between swahili words,why?Industrial use na ambayo itakuwa inajazwa kwenye mitungi kama.hizi zinazouzwa kikawaida.