live

Live! Live! Live! is a live album released by Bryan Adams through A&M Records in 1988. It was recorded live at the Rock Werchter festival on 3 July 1988 in Werchter, Belgium. One track, "Into the Fire", was recorded live in Tokyo. The album sold over 1 million copies.
The concert was taped while it "rained in torrents". At the end of It's Only Love, Adams comments to the audience, "I've got to tell you something. For you people to sit out in the rain, means you're one hell of an audience. I mean, to sit out in this..."

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Rostamu hakuwa Live, Polepole huongea akiwa Live, kati yao nani kajificha?

    Maongezi ya Rostam Aziz jana ni recorded. Mwanzoni tuliambiwa atakuwa Live kupitia UTV. Hatuwezi kumchagulia jinsi ya kufikisha kwa jamii ujumbe aliokusudia. Wapo makasuku humu wanamwandama Polepole kuwa anazungumza akiwa mafichoni utadhani hiyo ni hoja ya msingi. Sasa mimi nauliza kati ya...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Baraza la Kidigitali linawakutanisha Wenyeviti wa Kanda 10, litakuwa LIVE, leo Septemba 2, 2025

    Baraza la Kidigitali litakalowakutanisha Wenyeviti wa Kanda zote kumi litakuwa live kuanzia saa tano asubuhi, Chadema Media, leo Septemba 2, 2025.
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea NLD: Watakaothibitika kula rushwa, watachapwa viboko hadharani

    MGOMBEA wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, amesema kuwa endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atatumia mbinu ya kipekee katika mapambano dhidi ya rushwa. Doyo amesema watu wote watakaokamatwa na kuthibitika wamejihusisha na vitendo vya rushwa, watachapwa viboko 12...
  4. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Leo "Live" za mikutano ya kampeni ya CCM huko mitandaoni hazifikishi hata Viewers 100

    Ingekuwa wanaweza kusomba viewers kwa mabasi huko kwenye social networks hakika wangefanya ivo kama wanavyofanya huko mitaani. Hali ni tete, ukiunganisha viewers wa media zooote kwenye social media zoooote huenda wasifike hata 500 tu.
  5. Ryan Holiday

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    1. Ndugu H. Polepole ameanza kwa kuelezea kifo cha Marehemu Raisi J.P.M kilichotokea 2021. Huku akisema Magufuli alianza kuugua baada ya kufanya uzinduzi wa kiwanda cha Rostam kule Morogoro kisha wiki mbili baadae umauti ukamkuta. 2. Namna ambavyo marehemu Bernard Membe alivyosuka mipango yote...
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania Wabunge wazichapa live kwenye Seneti huko Mexico kisa Marekani

    Kikao cha Seneti ya Mexico kilivurugika Jumatano baada ya wabunge kushikana na kupigana kufuatia mjadala mkali kuhusu iwapo Marekani inapaswa kuingilia kupambana na magenge ya dawa za kulevya nchini humo. Vurugu hizo zilikuwa kali kiasi cha kumwangusha mpiga kamera aliyekuwa akirekodi tukio...
  7. Setfree

    JamiiForums Tanzania Je, Yesu na Paulo wangekuwepo "live" duniani leo, wangecheza au kushabikia mpira?

    Enyi Wakristo, leo nimewafuata hukuhuku, najua mpo wengi kwenye jukwaa hili la Sports. Please, naomba kwa dakika moja tuzungumze jambo muhimu kuhusiana na soka. Soka ni mchezo unaofurahisha na kuwaunganisha watu wengi duniani. Lakini, je, mmewahi kujiuliza kama Bwana wetu Yesu Kristo na mtume...
  8. econonist

    JamiiForums Tanzania Kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri haijaanza hadi sasa, Huenda kesi isioneshwe live Leo

    Inaonekana Leo mahakama inaweza isioneshe kesi ya Lissu Live. Maana mpaka muda huu wanashauriana kama wairushe live au lah. Hii ni kuandaa watu kisaikolojia pale itakapotangazwa ya kwamba mahakama imekubaliana na ombi la wakili wa serikali.
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili wa Jamhuri aomba Kesi ya Tundu Lissu isitishwe kuonyeshwa kwenye Vyombo vya Habari, kulinda mashahidi

    Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, ametaka kesi ya Tundu Lissu isiendelee kuonyeshwa moja kwa moja kupitia Vyombo vya Habari ili kulinda mashahidi kwani ushahidi wao unaweza kupelekea utambuzi wao. "Mahakama Kuu, kwa busara zake na kutaka kuona kwamba hawa mashahidi raia hawapati vitisho...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Kama unaruhusu open court watu waje wasikilize, why not live streaming?

    Swali zuri sana. Unaruhusu walio mahakamani wasikilize, lakini unakataa live streaming! Does it make sense ?
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Polepole: Wale mnanitafuta acheni tu mimi ninaongea kama Mtanzania na kama mwana CCM

    https://www.facebook.com/share/v/1GoS18PVZh/ Updates Polepole Wale mnanitafuta acheni tu mimi ninaongea kama Mtanzania na kama mwana CCM Hekima ingewaongoza viongozi wetu kuleta Tanzania pamoja katika kuelekea uchaguzi. Wagombea wa CCM kiti cha urais wamejilazimisha kuwa wa gombea wa CCM.
  12. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 TBC mnaficha nini kumwonesha live Samia alikabidhiwa fomu?

    Kwanini mmeficha kitendo cha Rais kukabidhiwa fomu live? Au kiherehere cha wale wanaojiita usama wa Taifa? Huyo ni Rais wetu siyo wao
  13. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole amjibu Rostam Aziz na kuongelea kuvuliwa kwake Ubalozi

    https://www.youtube.com/live/dn9GFRy874c?si=sThD_It5uyI8Jnm-
  14. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata kwenye matangazo mubashara ambapo mkuu wa nchi anahutubia jamaa wanakuwa vigilant in case anything goes wrong kuepusha aibu au fedheha

    Asee najifunza mengi na ninapenda kujifunza sana. Kumbe haya matangazo ya moja kwa moja ambapo mkuu wa nchi anahutubia na yanapeperushwa kwenye runinga mubashara kumbe yanachujwa kwa ukaribu kabisa nini kiende mubashara na kipi kisiende mubashara. Hakika nineipenda hii ili kulinda image ya...
  15. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 sikilizeni matokeo ya kikao cha CCM live

    Wale wazushi wa humu JF sikilizeni matokeo ya kikao cha dharura cha CCM Dodoma. CCM ni chama imara zaidi ya jabali hamwezi ht kuitingisha, msiifananishe na hao wenzenu. Sijui baada ya hapa mtakuja na uzushi upi, tunausubiri ila wengine mtawehuka mwaka huu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, OKTOBA...
  16. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Kitakachoikoa CCM ni mchakato wa wazi na live kama ule wa CHADEMA

    Kwa hali ilivyo ndani ya CCM kwa sasa kitu pekee kitakachoiokoa CCM ni mchakato wa wazi na unaorushwa live kwenye luninga nchi nzima na vyombo vyote vya habari. Kinyume na hapo Chama hakuna tena na kitakachofuata ni kuumizana tu huku wapinzani wa ndani wakiongezeka sana. Chadema walitoa mwanga...
  17. Magical power

    JamiiForums Tanzania Tupo live hatuchekeshi

  18. U

    JamiiForums Tanzania 'I am not offering Iran anything,' Trump says

    Brand Mini LIVE 'I am not offering Iran anything,' Trump says 'I am not offering Iran anything,' Trump says Summary US President Donald Trump said Monday he is not offering Iran “anything” and added that he is not even talking to the Iranian officials following US strikes on the country’s...
  19. Mbwichichi

    JamiiForums Tanzania Bunge live, Kuna Mic imesikika inasema “kuna wanawake zako wanapiga” 😀

    Kwa wanaofuatilia bunge live , kuna mic ya mbunge imesikika ikisema “kuna wanawake zako wanapiga”
  20. U

    JamiiForums Tanzania Breaking News President William Ruto makes new appointments, promotions in Kenya Defence Forces KDF

    Citizen Digital Live TV Live Radio search Change of Guard: President Ruto makes new appointments, promotions in KDF Joseph Muia By Joseph Muia Published on: June 27, 2025 12:59 (EAT) President William Ruto has made a new round of appointments and promotions in the Kenya Defence Forces...
Back
Top Bottom