live

Live! Live! Live! is a live album released by Bryan Adams through A&M Records in 1988. It was recorded live at the Rock Werchter festival on 3 July 1988 in Werchter, Belgium. One track, "Into the Fire", was recorded live in Tokyo. The album sold over 1 million copies.
The concert was taped while it "rained in torrents". At the end of It's Only Love, Adams comments to the audience, "I've got to tell you something. For you people to sit out in the rain, means you're one hell of an audience. I mean, to sit out in this..."

View More On Wikipedia.org
  1. Ziroseventytwo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Teofimo Lopez vs Shakur Stevenson. Live sasa hivi.

    Teofimo kapigana mapambano 23. Kashinda 22 kapoteza 1 Shakur kapigana 24 kashinda zote. Mpambano unaanza saa 8:15 ahsubuhi hii. Mwenye link atuwekee hapa Utabiri wangu Lopez Huyu muhuni atashinda.
  2. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama we ni mkali wa kucheza DLS football game la simu njoo tuzichape

    Kama we ni mkali wa kucheza DLS football game la simu njoo tuzichape, niko bored huku kijijini.
  3. BIG BROTHER ALEX

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Mungu yalivo muumbua daktari

    Rafiki yangu yani best man, tulikua mkoa flani, hivi kusini MWA bongo, JAMAA qlikuwaga na DEMU wake HUKO KANDA ya ZIWA, akanitonya kuwa DEMU wake kamaliza CHUO HIVO kaona amlete HAPO mkoa tulipo, akae NAE, mana ashatoa mahali kwao na anafahamika, basi demu kweli kaja wakaanza maisha jamaa yuko...
  4. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Site ipi ni nzuri kwa kuangalia mechi za ulaya live

    Kama kichwa cha habari kinavoonesha hapo juu, ni site ipi nzuri kwa kuangalia mechi za ulaya live
  5. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Vibweka UDASA End of Year Party - Waislam wachambwa LIVE!

    1. Wasomi pale jalalani kupitia umoja wao (UDASA) wamefanya sherehe ya kuuaga mwaka 2025 vichakani pamoja na kuwa na majengo na kumbi za maana hapo hapo jalalani. 2. Vinywaji (visivyo vilevi) vilikua adimu. 3. Waislamu waitwa kucheza nyimbo ya taarabu. Toka lini taarabu NI nyimbo ya kiislamu...
  6. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania TikTok wanaongelea maandamano halafu wamekaa kwenye live kusubiri wengine waaandamane

    Kuna live ya tiktok inaendeshwa watu wote mule anaeongea kazi kulaumu wenzie kisa hawajaikanzisha huku yeye mda huo hajafanya kitu kakaa ndani sijui anasubiri nani akinukishe wazee Kwa staili hiyo acheni kujadili maandamano jadilini uasi huenda mkafanikiwa Kwa asilimia 100% watanzania Sasa hivi...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live Rais Samia: Salaam za Mwaka Mpya

    Wanabodi Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan, yuko hewani live mubashara, kuhutubia taifa kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026 https://www.youtube.com/live/nNvsNM8Esw8?si=PVpOlaVydbZ45elx Karibuni Na sababu leo ndio mwisho wa mwaka, hakuna ubaya na mimi nikiweka salaam zangu za...
  8. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya kuuaga mwaka 2025 itarushwa live saa ngapi?

    Kama mjuavyo tunauaga mwaka 2025 kwa kishindo cha Ushindi wa 97.6%. Hivyo kama ilivyo kawaida ya Mheshimiwa kutoa Hotuba ya kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya. Je Hotuba itarushwa saa ngapi? Televisheni gani? Je zifuatazo ndio Dondoo za hotuba? 1. Taifa Stars Kufuzu AFCON 16 Bora (pongezi...
  9. Mshindi wa Vita

    JamiiForums Tanzania LIVE: David Kafulila anaongea na wadau wa Usafiri na Usafirishaji wa Bandari

    https://www.youtube.com/live/0oisjyeeiTk?si=ZyTQ-O1IFxIhOKkd MDAHALO KUHUSU UENDESHAJI ENDELEVU WA BANDARI UNAENDELEA PEACOCK HOTEL Baraza la Wasafirishaji Tanzania (Tanzania Shippers’ Council – TSC) leo linaendesha mdahalo wa ngazi ya juu wa Sekta ya Umma na Binafsi (Public–Private Dialogue)...
  10. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufahamu kuwa wazee wa maandamano wana akili ndogo kasikilize " space " na "live " zao wakipanga mipango ya maandamano.

    Jana nilisikia space ya Maria , insta live ya Nuru vazi na za TikTok nasikilizaga. Nikichogundua kuwa wako very disorganized yaani hakuna kiongozi watu wanaongea hovyo mpaka wengine wanagombana kabisa. Kuna kundi Wanataka maandamano ya Amani mabango bila fujo huku wengine wakitaka wasipangiwe...
  11. stakehigh

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Wale mliokosa kazi mnasubiria kuandamana, mchongo mpya ni kwenye izo izo spaces hao wanaowahamasisha mfanya vurugu sasa ni mda wa kufunga hio chapter na waanze kutumika kuleta fursa kwa wote kwenye izo live, kama ni masoko ya vyakula uku mashamba yapo ya kutosha mpaka yanamwagika, kama ni ajira...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Oya huu Utani wenu wa kutuita Simba SC Wagawa Utamu uishie humu humu Mitandaoni, ila Mtu akiniita live Mtoa Utamu hakyanani Nakata Nafunua na Ndoo Juu

    Na wengine nadhani Kiasili mnatujua ni Watu wa Mkoa wa Mara (Musoma) na tulishacheza Boxing Majeshini Kitambo.
  13. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya kuchunguza mauaji ya oktoba 29, chini ya Jaji Chande iwe wazi live mubashara

    Utamaduni wa Tume kufanya kazi kwa siri haufai, hasa ikiwa inafanya kazi kuichunguza serikali Tume ya Jaji Chande kuhusu yaliyotokea Oktoba 29, 2025 hadi November 3 , 2025 inapaswa kuwa wazi mubashara umma ifuatilie katika vituo vya televisheni, radio na YouTube. Ila toka hatua ya kwanza...
  14. Mayu

    JamiiForums Tanzania LIVE Yanayojiri Kutoka Ukumbi wa Nyerere

    Hapa tutapeana yanayojiri ukumbini Nini matarajio yako? Viongozi wa dini wafanya sala za ufunguzi akiwemo Mwamposa Mkuu wa Mkoa anatoa salamu na kutambulisha wageni Mwenyekiti wa wazee wa Dasalamu anaongea utumbo hadi AIBU Anarudia porojo zilezile za Mwigulu kuhusu miundombinu kuharibika
  15. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CNN wapo live, nukta kwa nukta juu ya kilichotokea Tanzania Oktoba 29, 2025

    Leo kitengo cha mawasiliano serikalini wana kazi nzito sana, sijui watachomokakaje na hii report https://www.youtube.com/live/_rc5FxROnDs?si=UAsP2YZa9uBveWg1
  16. President of China

    JamiiForums Tanzania Baraza la mitihani (NECTA) yatangaza mtihani wa kidato cha nne kuanza kesho

    Wanafunzi 595,816 wanatarajia kuanza mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari kuanzia kesho Jumatatu, Novemba 17, 2025, ikiwa ni kukamilisha safari yao ya miaka minne. Idadi ya watahiniwa wanaotarajiwa kuketi hiyo kesho ni sawa na asilimia 65.63 ya wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato...
  17. President of China

    JamiiForums Tanzania Ibada ya jumapili 16 November 2025 KKT- dmp usharika wa Kimara

    Hakika leo tutamuona Bwana. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu https://www.youtube.com/live/ZwoR6G-ES4A?si=KkuSya7M3fCqZb_-
  18. President of China

    JamiiForums Tanzania LIVE BUNGENI: UTEUZI WA WAZIRI MKUU MPYA, RAIS SAMIA KUHUTUBIA LEO

    https://www.youtube.com/live/HC9UL5gBJzE?si=xsGjR6En5h3eFIvJ
  19. M

    JamiiForums Tanzania Josephat Gwajima: Naukataa ufisadi unaoendelea nchini hadi sasa. Viongozi kujilimbikizia mali na kuwasahau wananchi

    Askofu Josephat Gwajima, ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), anatarajiwa kuzungumza leo saa 2:00 usiku. Ameahidi kutoa kauli muhimu kwa taifa na kwa viongozi wake. Gwajima, ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu, sasa anatarajiwa kueleza jambo zito Watanzania wanasubiri kwa hamu...
  20. britanicca

    JamiiForums Tanzania Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Polis wakishamaliza kukumaliza au kukuweka kwenye target alafu wakasema wanakutafuta ndo imeisha hiyo! Tarehe 12 ikipita tu bila kusema ndo wanaye hatutakuwa na haja ya kuhangaika naye Bali tutatakiwa kuhangaika na mifumo ambayo inasababisha haya! Kuanza na Mafwele! Hilo Liwe wazi Same...
Back
Top Bottom