lini

Linyi (simplified Chinese: 临沂; traditional Chinese: 臨沂; pinyin: Línyí) is a prefecture-level city in the south of Shandong province, China. As of 2011, Linyi is the largest prefecture-level city in Shandong, both by area and population, Linyi borders Rizhao to the east, Weifang to the northeast, Zibo to the north, Tai'an to the northwest, Jining to the west, Zaozhuang to the southwest, and the province of Jiangsu to the south. The name of the city Linyi (临沂) literally means "close to the Yi River".
The city recently expanded along the Yi River to Nanfang, now called the Beicheng New Area, under the slogan "Grand Linyi, Beautiful Linyi, New Linyi". Multiple recreational parks were built, along with new school campuses etc. The development is a consequence of a series of governmental projects, including relocate the city government, which is expected to stimulate the economy.
The population was 11,018,365 at the 2020 census, of which 3,651,868 lived in the built-up area made up of Lanshan District, Luozhuang District and Hedong District, as well as Linyi National Hi-Tech Zone.

View More On Wikipedia.org
  1. Rusumo one

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI lini inaweka majina ya selected F1 mwaka 2025?

    Mkwe achia majina uchaguzi S/M umekwisha unakwama wapi Kama NECTA wao walifanya Yao mapema kupanga tu majina miezi? Na ole wako mkwe upange double standard Kama mwaka Jana. Alamsiki!!!
  2. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Lini Tanzania ilikuwa kisiwa cha Amani? Na lini Mtanzania akawa mkarimu?

    Niambie lini Tanzania ilikuwa kisiwa cha Amani? Tunadanganyana tu awamu zote zilizopita kulikuwa na mjuaji,kuwekwa vizuizini na mauaji tunadanganyana tu ila kwasasa kwasababu vyombo vya habari ni vingi kwahiyo tunapata kwa haraka sana hii ilikuwa au imekuwa kisiwa cha mauaji tokea hapo soma...
  3. mambo_safi

    JamiiForums Tanzania Orodha ya waliochaguliwa kidato cha kwanza 2025 inatoka lini?

    Mbona kama selection ya form one 2025 imechelewa kiasi hiki? Tatizo nini? Leo tarehe 3 December bado kimya na mwezi ujao ndo January!
  4. AmKATRINA

    JamiiForums Tanzania Wanaume, tabia ya kung'ang'ania kukaa kwa mwanamke aliejenga itaisha lini?

    Yaani mtoto wa kiume kabisa unathubutu kumwambia mwanamke eti malizia mjengo wako tuje kuishi wote wakati hujui hata bei ya msumari wa zege? Hapana, nimekasirika sana. Wanaume acheni hizi tabia kama mnazo, mtakuja kudhalilika siku moja yakitimia. Nimechukia sana. Hatujawahi kudate, ila kwa...
  5. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Waafrika tutajitambua lini na kuachana na ukoloni wa kidini na kimila hata kiuchumi?

    Akiitwa Mjapan utasikia Mashayoshi Ohira. Akiitwa mchina utasikia Nie Hon Hun. Akiitwa mzungu utasikia John, Michael nk. Akiitwa mmanga utasikia Mohamed bin Suleiman. Akiitwa gacholi utasikia Kanji Mahendra. Akiitwa mswahili utasikia John Mohamed Michael nk. Je waswahili tutajitambua na...
  6. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Mara ya mwisho kuokota pesa lini

    Eti mala yako ya mwisho wewe kuokota pesa lini na ulikota shingapi? Na ushawai oupoteza pesa kiasi gani mpaka ukajilaumu sana Mimi mara ya mwisho kuotoka pesa ilikuwa juzi shilingi 100 niliokota Na nilipoteza pesa 10000 na iyo ndio ilikuwa kilinda mfuko ugenini nikaona aibu kuomba nauli...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Walimu, haswa wa vijijini, tutapewa lini motisha kwa kupandisha kiwango cha ufaulu? Mbona Taifa Stars wanamwagiwa mahela kila leo?

    Kwa miaka kadhaa Sasa ufaulu unaongezeka tu; darasa la nne, la saba, kidato Cha pili, kidato Cha nne Hadi kidato Cha sita ni mwendo wa kufurahia ongezeko tu la ufaulu. Watu wanapiga kazi mpaka shule za serikali Sasa kukuta div I 200, kama Lindi sec, ni jambo la kawaida. Ajabu ni kuwa hakuna...
  8. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kama Botswana, Senegal wameweza mageuzi, lini Tanzania upinzani utashinda?

    Matokeo ya uchaguzi uliokwisha nchini Senegal unaonyesha chama tawala kililchopigwa chini kwenye uchaguzi wa urais uliopita, kwa mara nyingine kimebwagwa vibaya baada ya chama cha Oussumane Sonko cha PASTEF viti 131 wakati chama cha rais wa zamani cha Takku Wallu Sénégal kikiambulia viti 13 tu...
  9. Trainee

    JamiiForums Tanzania Mkeka wa uhamisho wa watumishi unatoka lini?

    Tangu mkeka wa mwisho utoke nadhani ni Julai mwaka jana halafu ndipo ukaletwa huu uhamisho wa kwenye mfumo. Juzi kati tena kukaja habari ya kufuata wenza watu wakashughulikia fasta. Sasa baada ya mambo yote hayo wengi wetu tumetega macho na masikio matarajio yetu ni kuona mkeka kabambe wa...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Ni lini Afrika tutatoka hapa tulipo?

    Katika historia mbali mbali zinaonyesha tangu zamani kwamba mwafrika amekuwa tabaka la chini katika kila jamii ya mtu mweupe aliyekua nae. Kutokana na hayo shauku yangu kuu na maswali yangu ya ni lini waafrika tutatoka hapa tulipo katika nyanja mbalimbali kama vile biashara, uchumi, siasa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania SIKUMBUKI NI LINI TIMU YOYOTE IKIFUNDISHWA NA JUMA MGUNDA ILIWAI KUMFUNGA SIMBA!

    Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo! Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Udhalilishaji wa ngono utaisha lini

    Kila siku kunatolewa taarifa za udhalilishaji baada ya kupungua ndio unaongezaka Hukumu zinaongezwa lakini bado binaadamu hawashituki na hukumu hizo Wadau wanaweka makongamano kujadili hili ili wajuwa tatizo ni nini bado wana majibu yale wanawake hawajistri,mporomoko wa maadili...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Shilingi ya Tanzania itaimarika lini dhidi ya Kenya shilingi (KES) au Dollar ?

    Ina sikitisha sana leo hii ukienda kubadilisha fedha ya Tanzania kwa dollar au kwa shiling ya Kenya rate ni kama ifuatavyo 1 US Dollar unatakiwa utoe 2700 Tsh 1 Ksh itabidi utoe 25 Tsh Swali kwa Wana uchumi je kuna jitihada zozote za kuinusuru shiling yetu iwe na thamani...
  14. Robert S Gulenga

    JamiiForums Tanzania Simba na Yanga mpaka sasa kutokuwa na Viwanja vyao vyenye hadhi ya Kimataifa? Tatizo ni TFF, Sera au?

    Simba na Yanga ni vilabu vikongwe na vikubwa si Africa Mashariki tu bali Afrika kwa ujumla. Yanga na Simba zina historia kubwa pengine kuliko vilabu vingi Africa, historia zao zimejengwa katika lengo lililofanya vilabu hivi kuazishwa miaka zaidi ya 63 iliyopita. Vilabu hivi unaweza kuviita ni...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania MNH Je, na Sisi wenye Michogo Mibaya kama Kona za Milima ya Senkeke mnapanga lini kutuandalia Ratiba zetu za Kuturekebisha?

    Kichwa cha Habari MNH Je, na Sisi wenye Michogo mibaya kama Kona za Milima ya Senkeke mnapanga lini kutuandalia Ratiba zetu za Kuturekebisha Daktari Bingwa wa Upasuaji Rekebishi na Upasuaji Urembo, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dk. Edwin Mrema, amesema kuwa Wataalamu wanafanya upasuaji...
  16. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Mawasiliano ameteuliwa lini?

    Tulizoea sana kuona nafasi ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu ikitangazwa, taarifa pia zikiwekwa katika ukurasa wa Facebook wa Ikulu Mawasiliano na ukurasa wa Facebook wa Msemaji Mkuu wa Serikali. Leo, Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imetiwa sahihi na Sharifa B...
  17. Gabeji

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Mkuu Doto Biteko acha unafiki wewe unaacha lini siasa?

    Tanzania na Afrika kwa ujumla tumekuwa na tabia na tatizo sugu la viongozi wetu kuwa na tabia ya unafiki, ubinafsi, uroho wa madaraka," what they preach is contrary what they are doing" Watanzania tuamka sasa tabia za namna hii tuwe tunazikemea hadhalani, hawezekani kiongozi yeye kaacha taaluma...
  18. yunus75

    JamiiForums Tanzania Recruting ya JWTZ inaanza lini?

    Baada ya kutuma maombi ya jeshi la wananchi tanzania ni kwa mda gani majibu yanatolewa na kwa njia gani
  19. boyson onlye

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA, ni lini mtatoa huduma ya maji bila mgao?

    Habari wakuu, Nina miaka kadhaa katika jiji hili la Dar es salaam, na wengine wote wanaoishi katika jiji hili ni mashahidi, Kila nyumba ina vifaa vingi vya kutunzia maji, iwe ndoo, jaba au tank na kuna wakati unakuta maji yote uliyotunza yameisha ndanj na maji hayatoki, hasa kipindi hiki...
  20. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Je, ni lini wanafunzi wa vyuo wataacha kujamiiana kwenye dabo deka?

    Tupo katika kipindi ambacho wahitimu wa kidato cha sita wanatarajia kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini. Swali ni kwamba wanachuo watarajiwa wameandaliwa mazingira mazuri ya malazi? Ikumbukwe kule vyuoni Kuna baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakifanya mapenzi kiholela katika vitanda vya...
Back
Top Bottom