likes

Like for Likes (Korean: 좋아해줘) is a 2016 South Korean romantic comedy film directed by Park Hyun-jin. It was released in South Korea on February 17, 2016 by CJ Entertainment.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Your failures are someone's enjoyments. Always people love your failures no one likes your successes

    People are so different more than you think. If you start telling your personal progresses resulting into success every body hates you but if you tell them your failures they so much interested to hear and they will be happy about you. This happens in africa and especially africans. I dont...
  2. blogger

    Likes Nyingi zinafanya watu wengi waufulltilie uzi wako au Mahudhui

    So kuwa Makini... Kumbuka kuna robots. Na hii imekaa kibiashara Zaidi. Heading Can call you .. but the content can have U f.ked. Unavutiwa na Heading.. unaliwa bundle... 😂😂😂 Au unavutiwa na Jina la aliye post... Kwa mfano Millard Ayo. Unafungua unakuta ni UPUMBAVU MTUPU.... ANAHOJI WATU...
  3. Paspii0

    Kizazi Kilichodanganywa na Likes na retweet......

    Kwa heshima na uzito mkubwa wa kiakili na kijamii, natangaza kwa sauti ya wazi na isiyoyumba kuwa vijana wengi wa kizazi hiki wanapoteza dira, maadili na mwelekeo wa maisha. Tunaushuhudia ushindi wa ujinga dhidi ya hekima, ushindi wa starehe dhidi ya juhudi, na zaidi ya yote, ushindi wa mitandao...
  4. Last_Joker

    Vijana wa Siku Hizi na Nguvu ya Mtandao: Tunajenga au Tunabomoa?

    Siku hizi, mtu akisema hana social media tunamshangaa kama kiumbe cha ajabu. Kila kitu kipo mtandaoni—kuanzia meme, trending stories, biashara, hadi mahusiano. Ila swali linabaki: Vijana tunatumia nguvu hii kujenga maisha yetu au tunajiharibia? 🤔 Nguvu ya Mtandao: Fursa au Burudani Tu? Kuna...
  5. Equation x

    Sasa ni muda wa kubadilisha 'likes' kuwa hela

    Nina 'likes' nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii, lakini hizo 'likes' hazinisaidii chochote katika utatuzi wa changamoto zangu za kimaisha. Nini kifanyike ili hizo 'likes' zibadilike na kuwa hela? Mfano mtu aki-'like' mada fulani, akatwe angalau 1000, si tutakuwa matajiri wakuu? Najaribu...
  6. Teslarati

    Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

    Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana. Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?
  7. Meneja Wa Makampuni

    Watanzania hawapendi elimu uzi wa mambo ya scholarships una likes 9 tu

    Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii: https://www.jamiiforums.com/threads/bonus-orodha-ya-full-funded-scholarship-za-kumalizia-mwaka.2170915/ Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu. Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi...
  8. Hance Mtanashati

    Likes zako zingekuwa ni pesa zingeweza kununulia kitu gani?

    Humu wapo members Wana likes 1000 ambazo kiuhalisia zingekuwa pesa zingeweza kununulia vocha ya buku. Wengine wana likes mpaka milioni 1 huko ambazo zingeweza kununulia smartphone kali. Mimi likes zangu elfu 20+ ambazo kama zingekuwa pesa ningeweza kununulia hata T-shirt . Wewe je likes zako...
  9. T

    Hii hapa post yenye likes nyingi hapa JF!👇

    wakuu ni aje. Kama kichwa cha habari kinavyojeleza hii ndio post yenye likes nyingi hapa Jf tangu ilipoanzishwa👇 Kama kuna post unahisi ina likes nyingi kuzidi au zinafuatia share hapa
  10. G

    Anayestahili kuomba like ni mwenye Youtube channel, wengine kama hamna cha kuchangia mkae kimya. Acheni kujaza comments za kuomba likes

    Imekuwa too much sasa, video unaicheki youtube unaanza kusoma comments za mrejesho, ushauri, ukosoaji, nyongeza, n.k. Ila unakutana na comments za kuomba likes. Wanakera sana hawa watu Uki comment cha maana utapewa like bila kuomba,
  11. Mfalme_wa_Nyika

    Mashabiki wa Cape Verde toka mwanzo wa Afcon gonga Likes😉

    Nilishatabiri mwamba wa hii Afcon ni Cape Verde. Sasa mtaniamini mtapoona South Africa yule kenge msupport magaidi wakipalestina anakalishwa mpaka anaomba poo pale mtondogoo... Mimi ni Octopus Paul nimemtabiri Cape Verse mechi zote na sijakosea hata moja. Hili kombe linaenda kwa underdog
  12. K

    Hakuna Msanii/Mtanzania yeyote anayemfikia Kili Paul kwa likes na comments Instagram, na wala haringi

    Huyu Mwamba anatisha sana huko Instagram anafikisha likes Milions na Comments nyingi, kuliko kina Diamond na wala haringi, wala Watanzania hawamjui kivile. Big up sana Mwamba kwa ubunifu uliotukuka.
  13. Unique Flower

    Tupeane LIKES

    Watu wajf mseme mtu vizuri na mpe like yake. Mie ninao wengi nawapa team yote ya JamiiForums heri ya mwaka mpya kuanzia director, manager na wafanyakazi wote wa JF. ERoni , Glenn DeepPond sophy27 Cillah mzabzab Depal Lenie Extrovert Unique Flower Kelsea To yeye Love Doctor Lovelovie Chakorii...
  14. M

    Wazee tunaotumia Infinix tupeane likes kwa kugonga January na mgao wake hatusumbui kabisa

    Hizi ni simu za wazee wa kazi. Hazimalizi chaji hovyo January hata kama aweke mgao mwaka mzima ni kubofya tu kama tunapushi walevi.
  15. B

    Wapi Mzee wa likes mkwepu jr

    huyu mwamba anapenda sana kugonga likes za kutosha humu bila kinyongo, mkuu mkwepu jr hebu gonga like kwanza tuendelee kutambua uwepo wako
  16. Execute

    Huyu Mkwepu Jr ni nani? Anatoa likes kwenye mada na komenti za kila jukwaa

    Mbona kila komenti na kila jukwaa jamaa anagonga likes? Inawezekanaje mtu akawa amesambaa maeneo yote hayo?
  17. Mr Q

    Best Male Likes Giver Award goes to

    mkwepu jr Huyu jamaa azawadiwe hiyo tuzo na atambulike kuwa ndiye memba anaye mwaga likes kuliko members wote humu. Kama unabisha andika jina la memba mwingine ambaye unadhani anamwaga likes kwa kila comment ama thread anayokutana nayo. Weekend njema wote ambao mmeshaanza kulewa. Weekend...
  18. M

    Huko Nigeria watu wamepinda kutafuta likes

    Hii ni hatari watu Sasa hivi wanafanya upuzi kutafuta sifa za kijinga YouTube na TikTok. Kwenye hii video licha ya kuchekesha ingeleta madhara. Angalia nyundo ingemvunia Taya. Ujinga unaochekesha
  19. R

    Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

    Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu. Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu...
  20. L

    SoC01 Usilewe Likes na Comments: Simulizi inayoweza kubadili maisha yako kwa zaidi

    SIMULIZI INAYOWEZA KUBADILI MAISHA YAKO KWA ZAIDI YA 79% ▪"Kwa Kweli Mwenyezi Mungu hakukosea Kabisa Kuniumba. Tazama Uso Wangu unavyong'ara, Ngozi Nyororo, Jicho Zuri kuliko la Ray C, Kila Nguo inanikubali hata nikivaa Gunia na Dekio, hakuna kama Mimi hapa Mtaani na Kule Mtandaoni, Mwonekano...
Back
Top Bottom