lema

Anthony David Lema (February 25, 1934 – July 24, 1966) was an American professional golfer who rose to fame in the mid-1960s and won a major title, the 1964 Open Championship at the Old Course at St Andrews in Scotland. He died two years later at age 32 in an aircraft accident near Chicago.

View More On Wikipedia.org
  1. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Lema kama unasema serikali ndio watekaji na wauaji mbona wamwomba Mama akulinde. Mama si ndiye mtekaji wenu mlisema. Nyenyenye!

    Miye kila siku nawaambieni huko kwenu kumejaa nyoka hamtaki kusikia. Huyo kakimbia anawatoa nyumbu wengine kama chombo. Lema mnajiteka wenyewe alafu mnamsingizia Mama. Mkivurugana mnaomba msaada kwa Mama. Na bado
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania GE2025 Godbless Lema aomba kuwekwa mahabusu kwa hiari mpaka kipindi cha uchaguzi kiishe akihofia maisha yake

    Anaandika Godbless Lema kwenye mtandao wa Instagram hivi leo Mheshimiwa Rais, Maisha yangu yako katika hatari kubwa. Tafadhali, naomba kwa unyenyekevu mkubwa unisikilize. Ningependa kuishi ili niweze kuwaona watoto wangu wakikua, kuoa na kuolewa mbele ya macho yangu, na ikiwezekana, niweze...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Lema mjue anamfahamu Wenje mpaka familia huko Canada!!! ni snitch!

    Lema mjue anamfahamu Wenje mpaka familia yake huko Canada!!! ni snitch mkubwa Canada mwongo na mpenda pesa za deal. Hata jumuia ya watanzania ambako kuna familia ya Lema na Wenje hawataki kumsikia!. Hakuna anayeshangaza kila mtu anajua alikuwa dalali lakini hawakutana kumfukuza ingawa alikuwa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Godbless Lema atoa orodha ya waliotekwa/kupotezwa kwenye kanda za kichama tangu kuanza kwa kampeni Agosti 28, 2025

    Anaandika mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa X 1. Kanda ya Nyasa aliyetekwa ni mmoja Jina: Abedinego Sanga Cheo: Mwenyekiti BAVICHA Jimbo la Lupembe, Mkoa wa Njombe Umri: Kati ya miaka 28-30. Mahali alipotekwa Kijiji cha Matembwe akiwa kwenye duka lake la...
  5. Superbug

    JamiiForums Tanzania Utabiri mwingine wa Lema watimia tena

    Kila alichotabiri Lema kimetoke Kwa 98% accurately nakumbuka aliwaonya CCM, Lissu alipopigwa risasi Lema alisema. Mkitumaliza sisi mtaanza kulana wenyewe Kwa wenyewe Sasa Leo yametimia.
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Heche, Lema ,Golugwa, Mnyika na Top Officias, Watakamatwa muda wowote Kwa lengo la kuwaachia Kuanzia November !!

    Hawa wahuni na Genge lao , Suala la Maandamano limewatikisa sana . Wamekaa kikao na kukubaliana kua, Wawakamate Top Officials wote wa CHADEMA wawekwe Ndani ,wake nao mpaka Huu Uchaguzi wao waloupanga Oktoba 29 upite, Kisha wawaachie . Hofu ya Wapuuzi Hawa ni kudhani kwamba Viongozi Hawa wa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Godbless Lema akivutana na polisi, yani nusu azichape!

    Nimekutana na hii video ikimuonyesha Godbless Lema akishikana mashati na askari polisi katika maeneo tofauti. Sasa Juzi wakati Wakili Wakili Deogratius Mahinyila anakamatwa pale Mahakamani kihuni, niliona maoni ya watu wengi wakimlaumu sana Lema. Inawezekana alizingua kiasi lakini Godbless...
  8. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Godbless Lema amekiri CHADEMA imekufa kisiasa

    Kuna Habari Mpya Kuhusu Kauli ya Godless Lema
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Yericko Nyerere amvaa Lema kisa ‘kuwatukana Watanzania kwamba ni Wapumbavu wasiojua kupigania haki zao’

    Tulipobadili mbinu ya mapambano ya kidemokrasia nchini kwasababu tulikuwa tumejiridhisha kwamba Watanzania hawajawa tayari kupigania haki zao, Huyu Lema na wenzake walianzisha uasi ndani ya Chama na kumchafua kiongozi wa upinzani kuwa amelambishwa asali ili abadili aina ya siasa. Wakaitangazia...
  10. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Video clips: Godbless Lema mwoga dhidi ya Elizabeth Mambosho jasiri

    Wakati Adv Mahinyila akipambana na Polisi, Godbless Lema akajifanya busy anakwenda kwa Msajili wa Mahakama Kuu. Angalia clip hapa:- Wakati huohuo Elizabeth Mambosho mwanamama mjumbe wa mkutano mkuu CDM aliweza kumuokoa mwananchi kwenye kundi la askari 30. Angalia clip hapa:- Chuma hiki hapa;-
  11. R

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Maria Sarungi: Heche na Lema mmeiua CHADEMA kwa uongozi wa Mabavu

    Habari wakuu, Kama kweli ni kauli ya Maria Sarungi simuuungi mkono Naona Maria Sarungi katema cheche huku akidai Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche pmoja na Jonathan Lema kuwa uongozi wao wa Mabavu umeua CHADEMA ilhali tangu CHADEMA ikumbwe na matatizo...
  12. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Godbless Lema, anaiunga mkono CCM uchaguzi mkuu

  13. USSR

    JamiiForums Tanzania Namfatilia polepole naona anarudia yale yale tu .VPN X Kwa Godbless lema

    Jamaa hana jipya wala hakua la maana ni michosho tu na kelele za kutaka ccm irudie mchakato wa uteuzi USSR
  14. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyotafuna takrima iliyotolewa na Lema mwaka 2006

    Miaka hiyo nikiwa nimepigika vibaya mno kiuchumi nilibahatika kukutana uso kwa uso na takrima toka kwa Lema wa CHADEMA. Enzi hizo ilikuwa kawaida sana kutembea kwa mguu toka Mianzini hadi Kerai kutokana na hali ya kiuchumi kutokuwa rafiki. Ilikuwa nikikata kona pale round about ya Florida...
  15. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Rais - Serikali yako ilitenda wema kwa Lema, ikatenda kwa Mbowe kisha ikatenda kwa Ole Sabaya - fanye hivyo kwa Lissu

    Rais wetu mpendwa! Salaam! 1. Nakupa hongera sana kwa kufika muda wa kuchukua fomu wewe na mgombea mwenza Dkt Nchimbi; 2. Dunia inafahamu wema wako na Serikali iliyopita kupitia msamaha kwa Lema (mbunge wa zamani wa Arusha); inatambua wema tena wako kwa Freeman Aikael Mbowe (Mwenyekiti wa...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

    Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia! Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu. Godbless Lema...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Lema alituharibia wadau kwenye mhadhara wa jana na Polepole

    Humphrey Polepole kaamua kujitoa mhanga na kuungana na wadau kuipigania Tanzania. Ajabu na kweli jana akatokea Lema katikati ya show ati kutaka kumshauri ya kufanya Polepole? Kwani ni siri? Polepole? kwa bongo ile ni Rostam au Lema wenye capacity ya kumshauri huyu? Tuache husuda, nchi hii...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

  19. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Hiki ndicho msingi wa mabishano kati ya Godbless Lema na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuhusu bei ya hizi ndege

    Nimeshindwa kuweka link ya bei za ndege hizi kutoka kiwandani. Bei ya kiwandani huko USA zinakotengenezwa ni USD 1.7 million. Tatizo letu ni kununua kwa middle men kwa njia ya kushindanisha middle men kwenye tender badala ya kununua direct kutoka kiwandani. Hivyo middle man anainunua kwa US...
  20. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Godbless Lema ametangaza kustaafu siasa

    Barua inasambaa Facebook na WhatsApp.
Back
Top Bottom