Anthony David Lema (February 25, 1934 – July 24, 1966) was an American professional golfer who rose to fame in the mid-1960s and won a major title, the 1964 Open Championship at the Old Course at St Andrews in Scotland. He died two years later at age 32 in an aircraft accident near Chicago.
Jana Lema alikuwa Serena Hoteli kwenye mjadala uliohusu uwekezaji kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu ikiwemo bandari. Alikuwa pale na kina Mzee Ulimwengu, Rostam Aziz, Wasira na watu wengu wengine. Kwenye meza yake, Lema alikaa na Zito Kabwe na watu wengine mashuhuri.
Lema alipochangia...
Hii ni taarifa iliyoripotiwa na daktari wa MOI katika habari ya Saa 2:00 usiku huu. Kwa taarifa hii ni wazi kuwa taifa linapoteza nguvu kazi kubwa Sana.
Pia soma: Majeruhi ajali za bodaboda tishio, MOI hupokea wagonjwa 280 kwa mwezi
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze...
Wana janvi sina mengi ,najua mpo vizuri tu, na neema ya Bwana ipo juu yenu
Husika na mada tajwa hapo juu,
Yupo ndugu Lema ambaye kwa wakati flani alikua mbunge Arusha mjini na sio mda mrefu ametoka nje ya nchi Canada alipokua kama mkimbizi wa kisiasa
Uyu mwamba moja ya kauli alizotoa akiwa...
Nilikuwa nasikia tu kuwa Chadema ni watetezi wa Ushoga na Usagaji na hawawezi kukosoa vitendo hivyo kwasababu wanaogopa kuwaudhi wafadhili wao wa Magharibi.
Nimeona Clip ya God bless Lema akiulizwa na Muandishi juu ya Msimamo wake kuhusu Ushoga na Usagaji, EBWANA JAMAA KAPIGA SOUND LA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani lilioandaliwa na Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) katika Ukumbi wa Kuringe - Mkoa wa Kilimanjaro leo tarehe 08 Machi, 2023.
Rais Samia akipokelewa na Viongozi wa Chadema...
Nisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.
===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.
Hata hivyo amesema...
Yah salaam wakuu.
Huu muendelezo wa kauli za Lema kwa watu wenye kichwa cha bata wataona jamaa kama anatudharau lakini lahasha jamaa anatupigia alarm tuamke.
Lema anajaribu kutuambia tangu tupate uhuru hakuna kitu cha maana kinafanywa na CCM zaidi ni kutudanganya tu wananchi.
Lema anajaribu...
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema ambaye wengine hupendelea kumwita Nabii ametua jijini Tanga na kushikwa na mshangao mkuu.
Lema amesema haamini macho yake kushuhudia Watu wanaishi kwenye Magofu yaliyojengwa na waarabu nyakati za utumwa.
Lema amewataka wakazi wa Tanga kuukimbia...
Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika:
“Mh Rais SSH kama akiendelea kujenga Demokrasia yenye sura hii kutoka Moyoni mwake bila hila, bila shaka anaweza kuja kuwa kati ya Rais bora kabisa Tanzania...
Kaka Lema hii ngoma unayopiga imefika mpaka Ndani walipofugia misukule (wtz) endelea kuipiga hiyo ngoma kwa ustadi zaidi ili wafuga misukule (viongozi waovu) waamke na kutubu.
Haiwezekani tufikirishwe vitu vidogo vidogo.
Haiwezekani eti bodaboda ni ajira wakati hainihakikishii maisha marefu na...
Aisee binafsi nimekuwa nampinga Lema toka afike nchini na kuibua hoja mbali mbali. Lakini sasa naomba niseme samahani Lema nimekukosea Sana.
Nimekaa kwenye tafakari siku 3 nikagundua kwamba jamii ya watz iko gizani hivyo hiawezi kung'amua hoja nzigo za Lema, na bahati mbaya hata wenye kuelewa...
Godbless Lema shukuru sana Nyerere hayupo hai angekufunza adabu. Wewe umekuwa mtu wa kudharau fedha inawezekanaje useme million 12 ni hela ndogo sana kwako ilihali fedha ni mali ya serikali? Wewe huna tofauti na Prof Tibaijuka aliyesema mil 60 kwake ni hela ya mboga.
Serikali inapaswa...
Jamaa ukiangalia ana hoja juu ya masuala aliyozungumza na kuleta tafrani kwa wasiotaka kutumia akili na kufikiri kabla ya kujibu.
Ukiangalia aliyoyalenga mfano bodaboda ile ni ajira shikizi kwa vijana sababu hawana jinsi! But haya Lema anayoongea ni chachu kwa utawala kufungua milango ya ajira...
Lema ana akili nyingi Sana Kichwani na pia ana Huwezo mzuri wa kuchambua Mambo ya kiasiasa, kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.
Watz Wamefungwa akili na wanaamini umasikini ni mpango wa Mungu kumbe sio kweli.
Nimeshtushwa alipoongelea Mwalimu kulipwa lakitano na Askari police anayeanza Kazi...
Godbless Jonathan Lema hana dhamana yoyote katika nchi hii, Lema sio Mwenyekiti wa Kitongoji, Sio Mwenyekiti wa Mtaa, sio Mwenyekiti wa Kijiji, sio Diwani na wala sio Mbunge.
Inakuwaje watanzania badala ya kumpuuza wanaendelea kumjadili mtu ambaye hana dhamana yoyote mbele ya umma wa...
Hapo mwanzo niliona mtu mwenye cheo aketiye barazani, aliyeamuru nani aongee na nani aketi chini. Nikaambiwa mtu huyu hatendi kama ilivyopaswa. Nikapewa ujumbe nimuonye mtu huyu kabla ya anguko lake, naye hakunisikia akajiendea na shauri lake. Baada ya miaka mitatu ya utawala wake, na baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.