lema

Anthony David Lema (February 25, 1934 – July 24, 1966) was an American professional golfer who rose to fame in the mid-1960s and won a major title, the 1964 Open Championship at the Old Course at St Andrews in Scotland. He died two years later at age 32 in an aircraft accident near Chicago.

View More On Wikipedia.org
  1. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Godbless Lema, anaiunga mkono CCM uchaguzi mkuu

  2. USSR

    JamiiForums Tanzania Namfatilia polepole naona anarudia yale yale tu .VPN X Kwa Godbless lema

    Jamaa hana jipya wala hakua la maana ni michosho tu na kelele za kutaka ccm irudie mchakato wa uteuzi USSR
  3. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyotafuna takrima iliyotolewa na Lema mwaka 2006

    Miaka hiyo nikiwa nimepigika vibaya mno kiuchumi nilibahatika kukutana uso kwa uso na takrima toka kwa Lema wa CHADEMA. Enzi hizo ilikuwa kawaida sana kutembea kwa mguu toka Mianzini hadi Kerai kutokana na hali ya kiuchumi kutokuwa rafiki. Ilikuwa nikikata kona pale round about ya Florida...
  4. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Rais - Serikali yako ilitenda wema kwa Lema, ikatenda kwa Mbowe kisha ikatenda kwa Ole Sabaya - fanye hivyo kwa Lissu

    Rais wetu mpendwa! Salaam! 1. Nakupa hongera sana kwa kufika muda wa kuchukua fomu wewe na mgombea mwenza Dkt Nchimbi; 2. Dunia inafahamu wema wako na Serikali iliyopita kupitia msamaha kwa Lema (mbunge wa zamani wa Arusha); inatambua wema tena wako kwa Freeman Aikael Mbowe (Mwenyekiti wa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

    Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia! Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu. Godbless Lema...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Lema alituharibia wadau kwenye mhadhara wa jana na Polepole

    Humphrey Polepole kaamua kujitoa mhanga na kuungana na wadau kuipigania Tanzania. Ajabu na kweli jana akatokea Lema katikati ya show ati kutaka kumshauri ya kufanya Polepole? Kwani ni siri? Polepole? kwa bongo ile ni Rostam au Lema wenye capacity ya kumshauri huyu? Tuache husuda, nchi hii...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

  8. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Hiki ndicho msingi wa mabishano kati ya Godbless Lema na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuhusu bei ya hizi ndege

    Nimeshindwa kuweka link ya bei za ndege hizi kutoka kiwandani. Bei ya kiwandani huko USA zinakotengenezwa ni USD 1.7 million. Tatizo letu ni kununua kwa middle men kwa njia ya kushindanisha middle men kwenye tender badala ya kununua direct kutoka kiwandani. Hivyo middle man anainunua kwa US...
  9. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Godbless Lema ametangaza kustaafu siasa

    Barua inasambaa Facebook na WhatsApp.
  10. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema astaafu siasa

    Nimeona kama lipo tangazo Facebook kwamba Lema amestaafu siasa Anayefahamu huhusu hili atueleze
  11. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amuandikia Jakaya Kikwete Waraka Mzito

    Mh Rais wetu Mstaafu Jakaya Kikwete. Uongozi wa kweli haujengwi juu ya ndoto za kifamilia, bali juu ya msingi wa haki, utu na ujasiri wa kusema ukweli hata pale ambapo ukimya ni salama zaidi. Leo hii Tanzania inalia. Tundu Lissu, aliyenusurika kuuawa kwa risasi akiwa mpinzani mkuu wa serikali...
  12. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Boniface Jacob ameandika kuwa Godbless Lema ni msaliti, amegeuza 'TONETONE' kuwa faida yake binafsi

    Kumekuwa na poster ambayo inazagaa kwenye mitandao ya kijamii ususani wa facebook akimutuhumu Godless Lema kwa kutumia fedha za TONETONE kwa manufaa Binafsi Jambo ambalo Boniphace Jacob ameona sio zuri.
  13. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lema kumshambulia Polepole ni ujuaji usiokuwa na faida

    Msimamo Wangu Kuhusu Kauli ya Mh. Lema Dhidi ya Humphrey Polepole Nimesikitishwa na kauli kali iliyotolewa na Mheshimiwa Lema dhidi ya Humphrey Polepole. Kwa maoni yangu, kauli hiyo haina tija kwa taifa letu wal Kwa sias za upinzani kwa sababu: 1. Tunahitaji Kusonga Mbele, Siyo Kurudi Nyuma...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amlilia Freeman Mbowe kwa waraka mzito

    WARAKA WA GODBLESS LEMA KWA MBOWE!Mhe. Godbless Lema amemuandikia waraka Mhe. Freeman Mbowe. Kwa kuwa waraka huo umebeba maudhui yenye maslahi mapana, sisi tunauweka hapa kusudi kupanua wigo wa fikra.Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!Askofu Emmaus...
  15. Knock life

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gambo tulikuambia Lema ni mbarikiwa Wa Mungu

    Pole Sana Gambo Karma imekupa haki yako unayostahili
  16. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Lema amesema Maria Sarungi ni msaliti anaitafuna CHADEMA ndani kwa ndani

  17. Chakaza

    JamiiForums Tanzania G. Lema Kweli Unakitu Macho Yetu Hayajakiona. Maombi Yako Kuhusu Yanga na Simba Kuharibu SiasaZetu FIFA Kaja Kulimaliza.

    Ulitamka katika vitu unamuomba Mungu vile ni Simba na Yanga maana (sio kwamba huzipendi) ndizo zinatumiwa na serikali ya CCM kupumbaza watu wasijue haki zao bali warubuniwe. Miongozo na kanuni za mpira duniani pote ni kuuweka mbali kabisa mpira na siasa. Ndio maana tuliona vita kule Angola...
  18. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Lema awataka Lissu na Heche wapumzike asema ni waropokaji

  19. kidonto

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema fungua Kesi ya kudai Fidia, kuna Bilioni 3 za wazi

    Kuna Video ya kutengeneza nimeiona Facebook, Watu wenye Nia mbaya wamechukua Video clip Yako, na kuunganisha Sauti zako Toka kwenye matukio tofauti. Video Ile Ina nembo ya Jambo tv, na Kuna page imepost Facebook inakwenda Kwa jina la Macdee Mackeja Shilinde. Nadhani utakua umeiona Wafungulie...
  20. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Lema na Rais Bongo wa Gabon kuwahi kuzuia Oliver Ngoma asiende kutibiwa Ufaransa, na Bongo akaja kufa kabla ya Oliver Ngoma

    Raisi wa Pili wa Gabon raisi Bongo aliwahi zuia Mwanamziki wa Rumba Oliver Ngoma asiende kutibiwa Ufaransa kwa sababu za kisiasa make wakati huo Oliver Ngoma alikuwa maarufu sana kuliko Raisi Bongo na hivyo Raisi kuona kitendo cha Oliver Ngoma kwenda Ufaransa ni kwenda kujiandaa kuja kumuondoa...
Back
Top Bottom