Pamoja na uzee wangu, wanangu, nina swali dogo. Je umewahi kumpenda mtu, ukamsifu, ukamtukuza, ukajikomba hata kujidhalilisha halafu ukamchukia? Nauliza hivi kutokana na ninayoshuhudia kuhusu wapendwa wanene wetu. Wanasifiwa hata pale wanapopaswa kulaumiwa.
Wanadanganywa hadi wanadanganyika...