Je uliwahi kupenda mtu hadi ukamchukia?

Je uliwahi kupenda mtu hadi ukamchukia?

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
11,100
Reaction score
13,698

1743017050707.png

Pamoja na uzee wangu, wanangu, nina swali dogo. Je umewahi kumpenda mtu, ukamsifu, ukamtukuza, ukajikomba hata kujidhalilisha halafu ukamchukia? Nauliza hivi kutokana na ninayoshuhudia kuhusu wapendwa wanene wetu. Wanasifiwa hata pale wanapopaswa kulaumiwa.

Wanadanganywa hadi wanadanganyika. Je tufanye nini kuwasaidia wazinduke usingizini? Nani alijua kuwa January Makamba na Nape Nnauye wangemsengenya na kumkandia marehemu Magufuli? Je walimpenda hadi wakamchukia?
 

View attachment 3284328

Pamoja na uzee wangu, wanangu, nina swali dogo. Je umewahi kumpenda mtu, ukamsifu, ukamtukuza, ukajikomba hata kujidhalilisha halafu ukamchukia? Nauliza hivi kutokana na ninayoshuhudia kuhusu wapendwa wanene wetu. Wanasifiwa hata pale wanapopaswa kulaumiwa. Wanadanganywa hadi wanadanganyika. Je tufanye nini kuwasaidia wazinduke usingizini? Nani alijua kuwa January Makamba na Nape Nnauye wangemsengenya na kumkandia marehemu Magufuli? Je walimpenda hadi w​

M

View attachment 3284328

Pamoja na uzee wangu, wanangu, nina swali dogo. Je umewahi kumpenda mtu, ukamsifu, ukamtukuza, ukajikomba hata kujidhalilisha halafu ukamchukia? Nauliza hivi kutokana na ninayoshuhudia kuhusu wapendwa wanene wetu. Wanasifiwa hata pale wanapopaswa kulaumiwa.

Wanadanganywa hadi wanadanganyika. Je tufanye nini kuwasaidia wazinduke usingizini? Nani alijua kuwa January Makamba na Nape Nnauye wangemsengenya na kumkandia marehemu Magufuli? Je walimpenda hadi wakamchukia?
We una lako jambo.Kwa nini usiseme walimpenda wakajichukia?
 
Back
Top Bottom