Duniani kote, taasisi ni mahali pa kujenga watu, kuunda fikra, kutengeneza ndoto, na kuibua vizazi vinavyokuja kubeba uchumi.
Lakini kambi ni mahali pa kuamrishwa, kukaa kimya, kutii bila kuuliza, kutumika bila kuulizwa.
"JKT ilizaliwa kama Taasisi. Mfumo uliigeuza Kambi."
Hili ndilo kosa la...