Habarini team.
Kwa niaba ya wateja wetu, Tunatafuta Nyumba za kununua maeneo mbalimbali ndani ya Dar es Salaam.
Nyumba ziwe na Hatimiliki.
Nyumba zikiwa na wapangaji itapendeza zaidi.
Nyumba ziwe kwenye hali ya kuridhisha, zisiwe zimechoka sana.
Bajeti ya mteja kuanzia sh.Mil 30 - Mil 70...