Habari Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo Cha utumishi wa umma (TPSC). Mimi ni mnufaika wa mkopo kwa bahati mbaya namba yangu ya simu ilikosewa wakati wa usajili, nmefatilia Sana bodi ya mkopo ili nibadilishe namba ya simu imeshindikana naambiwa watafanyia kazi lakin mpk leo Amna...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya katika harakati za kumsifia Dr Tulia Ackson amesema atakuwa peke yake mwaka 2025. Kauli hiyo imejadiliwa sana na gazeti la mwananchi la leo, ambapo wasafi FM wakisoma magazeti asubuhi ili kuzungumzia hilo.
Katika mahojiano hayo ya asbuhi ya leo amesema "Sijamzuia mtu...
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF-Afritac East), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam, kuanzia tarehe 15 hadi 17...
Habari zenu wapendwa.
Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.
Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka kunioa ila changamoto inakuja upande wa dhehebu kwenye kubadili mimi napata ukakasi sana sijui...
Nanukuu kama ilivyosimuliwa na muhusika, " Niliingia katika mahusiano na binti mmoja alikuwa akiishi na wazazi wake. Tulikuwa vizuri mpaka ikafikia nikawa namhudumia kama mke vile, kuanzia kula yake, kuvaa na hata akiumwa nahusika na kila kitu. Ikafikia wakati akahama kwao, akaenda kupanga na...
Jana nimekutana na mwamba mmoja kavaa fresh tu na ukimtazamaunajua huyu anaelekea katika ofisi flani yenye hadhi au labda ni mtu mwenye mishe zake za kuelewekwa, lakini ajabu nikaona anaongea peke yake.
Awali wakati namkaribua sikutilia shaka sana hilo niliamini labda kuna kitu kaaa sikioni, si...
Full name: Liverpool Football Club
Nickname(s): The Reds
Founded: 3 June 1892
League: Premier League
Website: LiverpoolFC.com
Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m
Principal Owner: John W. Henry
Chairman: Tom Werner
Manager: Jürgen Norbert Klopp
Liverpool...
Habari Za Muduu Wote Wana jamii forum
Nimeona Kumekuwapo Mijadala Mingi humu Kuhusiana na Suala zima la (SINGLE MOTHERS) Kwa tafsiri ya Mama aliyekimbiwa na baba wa mtoto japo single mothers ina maana pana.
Lakini mimi sitotaka kwenda kwenye matokeo ya single mothers nataka nichungulie...
Wanabodi
Mimi ni mwana JF mwenzenu humu JF na ni verified tangu 2008, katika miaka hii zaidi ya 15, nimepandisha mabandiko mengi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kati ya mabandiko hayo, kuna mabandiko ni powerful na yameleta some positive impact kwa kujibiwa kwa utekelezaji.
Hili ni bandiko...
Sayyed Nasrallah: The Victory is coming, our generations will witness the liberation of Al-Quds and will pray at Al-Aqsa
Live News
15:53Sayyed Nasrallah: One of the major aims behind the Israeli crimes is to subdue the people of the region
15:51Sayyed Nasrallah: Israeli enemy flagrantly...
Ndugu zangu,
Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?
Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.
Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.
Katika...
Tume huru ya uchaguzi iko wapi ikiwa kila kitu anachagua rais? directly or indirectly
At least nilitegemea kitu kama hiki..... to say the least Pascal Mayalla Erythrocyte johnthebaptist
20. The Swedish Election Authority is organised as follows:
21. The Election Authority is governed by a...
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU.
Sehemu Ya 6
Utaratibu wa TALAKA katika uislamu, umeleta debate mbalimbali baina ya majaji na Mahakimu.
Baadhi wametofautiana katika kutafsiri kifungu cha 107(3) cha Sheria ya Ndoa.
Baadhi yao wanasema, =baada ya mume kutamka TALAKA...
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU.
Sehemu Ya 5
Sehemu iliyopita tulianza kuangalia aina mbalimbali za TALAKA katika sheria za dini ya kiislamu.
Ufuatao ni mwendelezo wa aina hizo,
(v). Talaka kabla ya Jimai.
💔Ni kuvunja mkataba wa ndoa kabla ya kufanya tendo la jimai...
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU.
Sehemu Ya 5
Sehemu iliyopita tulianza kuangalia aina mbalimbali za TALAKA katika sheria za dini ya kiislamu.
Ufuatao ni mwendelezo wa aina hizo,
(v). Talaka kabla ya Jimai.
💔Ni kuvunja mkataba wa ndoa kabla ya kufanya tendo la jimai...
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU.
Sehemu Ya 4
Katika uislamu Kuna aina mbalimbali za TALKA, Kwa mujibu wa sheria ama shari'a.
Nazo ni kama zifuatazo,
(i). Talaka ya kutamka
💔Hiki ni kitendo cha mojakwamoja cha mwanamume kutamka kumwacha mkewe.
Mfano: kwenye kesi ya...
Anasema " IF HEAVEN WAS REAL, WE COULDN'T HAVE TOLD AFRICANS ABOUT IT. WE WOULD BE GOING THERE SECRETLY"
How does it make sense? Ngozi nyeupe ni wabinafsi na hawatupendi wa Afrika. Wasingeweza kutufahamisha kuhusu kitu kizuri kama Mbingu kama kweli kingekuwa cha ukweli..
Mifano hai...
Leo nimemsikiliza Musukuma akizungumzia kuchelewesha kuhusu jengo la uwanja wa ndege wa Mwanza na miundo mbinu yake kuufanya uwe wa kimataifa.
Hali hii kwa sasa inatoa picha kama alivyosema Msukuma dharau kwa kanda ya ziwa haijalishi Makonda ni Mwenezi au Dotto ni Naibu Waziri Mkuu,kisiasa...
Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandaano? Watu wa Mbeya tuambieni kinachoendelea kama hizi picha ni za kweli
===============
UPDATES...
Hofu na wasiwasi vimetanda kwa wananchi jijini Mbeya kufuatia askari polisi kuzagaa kwa makundi maeneo mbalimbali tofauti na siku nyingine.
Hata hivyo hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.