kugombea ubunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Wazanzibar wanaruhusiwa kugombea ubunge na udiwani Tanganyika?

    Wazanzibari wanaruhusiwa kugombea ubunge na udiwani Tanganyika? Wanaruhusiwa kugombea uenyikiti wa vijiji na mitaa Tanganyika?
  2. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Boni Yai amehamia CHAUMMA na kutangaza nia ya kugombea ubunge

    JamiiCheck ni kweli kuwa BoniYai kahamia CHADEMA?
  3. Waufukweni

    GE2025 Polisi: Hatujapokea barua ya ACT kuhusu Watia Nia wa Ubunge na Udiwani kutakiwa kutoa taarifa zao kwa Jeshi la Polisi

    Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi kuhusu madai ya Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo kwamba wamemwandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kutokana na madai ya Viongozi wao kuwa wametakiwa kuwasilisha taarifa na majina ya watia nia ya kugombea ubunge na udiwani kwa Jeshi la...
  4. Yoda

    Kauli za kufikirisha za waziri mkuu Majaliwa akijiondoea kugombea ubunge Ruangwa.

    Amesema, 1. Sasa amewaruhusu watu wengine wakashike nafasi yake ya ubunge wa Ruangwa. 2. Wagombea wote wa ubunge waliojitokeza ni wazaliwa wa Ruangwa, wana uwezo wa kuleta maendeleo. 3.Hatua yake ya kuacha ubunge wa Ruangwa imeongozwa na Mungu.
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mark Mabula achukua na kurudisha ya kugombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini

    Mark Mabula amechukua na kurudisha fomu leo 02 July,2025 ya kugombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini kupitia chama cha mapinduzi Ccm Wilaya ya Nzega. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    Ni aibu na fedheha kwa mama Salma Kikwete kuendelea kugombea ubunge.

    Inamaana hakuna mtu mwingine mwenye uwezo wa kuongoza huko lindi?
  7. PAYE

    GE2025 Rogatus Shotta Nkwera achukua na kurudisha Fomu ya kugombea Ubunge Ludewa kupitia CCM

    Mdau wa Maendeleo na Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rogatus Shotta Nkwera amechukua na kuerejesha Fomu ya Kuomba ridhaa ya Kugombea Ubunge Jimbo la Ludewa. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Leo Julai 2.2025 ni Siku ya Mwisho kwa watia nia kurudisha fomu...
  8. GENTAMYCINE

    Je, gharama za kuchukua Fomu kugombea Ubunge kwa Chama Babu ingekua ni Shilingi Milioni 5 hata Wavuta Bangi, Wehu, Wezi na Drug Dealers wangechukua?

    Kazi yangu kubwa sana leo baada ya kuanzisha huu Uzi ni kusoma tu Comments zenu mkiwa mmeshakijia Chama Babu.
  9. PAYE

    GE2025 Francis Luhanya atangaza nia rasmi ya Kugombea Ubunge Sumbawanga Mjini

    Francis Luhanya ametangaza rasmi nia yake ya kugombea ubunge katika Jimbo la Sumbawanga Mjini baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuchukua fomu, Luhanya alisema kuwa ana nguvu, uwezo na nia dhabiti ya kuwaongoza wananchi wa jimbo hilo...
  10. PAYE

    GE2025 Deo Mwanyika achukua Fomu ya Kugombea Ubunge kwa awamu ya Pili Jimbo la Njombe Mjini

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini mwaka 2020/25, Deo Mwanyika (CCM) leo Julai 01, 2025 amechukua Fomu ya kuwania Ubunge awamu ya pili katika Jimbo la Njombe Mjini. Mwanyika amechukua Fomu hiyo katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Njombe ambapo amekabidhiwa Fomu na Katibu...
  11. PAYE

    GE2025 Mtoto wa Komba, Dkt. George Komba achukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Nyasa kupitia CCM

    Dkt. Geogre John Komba ambaye ni mtoto wa Hayati Kapteni John Komba aliyekuwa mbunge wa jimbo la Nyasa na muimbaji na kiongozi wa bendi ya TOT ambayo inamilikiwa na Chama Cha Mapinduzi amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Nyasa kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi.
  12. PAYE

    GE2025 Wakili Patrick Malogoi arejesha Fomu ya Kugombea Ubunge Geita kupitia CCM

    Wakili Msomi kutoka ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali, Patrick Stephen Malogoi amerejesha fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hii ni mara ya pili kwa wakili Malogoi kuomba ridhaa ya CCM ambapo katika kura za maoni za mwaka 2020 na kushika nafasi ya...
  13. Frank Wanjiru

    Rufiji: Kada wa CCM Shaban Matwebe akataliwa kuchukua form ya kugombea Ubunge jimbo la Mchengerwa.

    Kada wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Rujifi Shaban Matwebe amelalamikia kuwa Katibu wa Chama hicho Wilaya ya Rujifi amekataa kumpa fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Rufiji. Akiongea leo July 1 2025 Matwebe amesema hiyo sio mara ya kwanza kwake kupata changamoto kwani alishawahi kukamatwa na...
  14. R

    GE2025 Mwandishi wa habari Salim Kikeke achukua fomu kugombea Ubunge Moshi vijijini

    Mwandishi wa habari mkongwe na mtangazaji Salim Kikeke amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa...
  15. Azim Sokoine

    Kesho nachukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Ruangwa

    Habari wakuu, Kesho tarehe 2/07/2025 ninatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Ruangwa mkoa wa Lindi.Nitachukua na kurudisha kesho hiyohiyo. Kama mwanachama mwenzenu dua zenu muhimu sana.
  16. technically

    Makonda, Gambo, Mwijaku,Mchengerwa, Omera wakamatwe kwa tuhuma kutumia madaraka yao vibaya sio kugombea ubunge

    Naongea haya kwa masikitiko makubwa Moja ya watu waliotuhumiwa kwa utekaji na Mambo mengine moja wapo ni Hawa watu Halafu leo wanagombea Tena ubunge na nchi hii ilivyo ya mazuzu wanawashangilia tu Hawa watu WANATAKIWA kukamatwa na takukuru na kohojiwa kwanza kwa kutumia madaraka yao vibaya...
  17. JanguKamaJangu

    GE2025 Salum Kinyori 'Kibakuli' ajitosa kugombea Ubunge katika Jimbo la Handeni Mjini

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mdau wa maendeleo Salum Kinyori 'Kibakuli', leo Juni 30, 2025 amechukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Handeni mjini Mkoani Tanga. Salum ambaye ni mdau wa Maendeleo na msomi aliyebobea kwenye fani ya uchumi na mfanyabiashara mbobevu amechukua fomu hiyo...
  18. Pfizer

    GE2025 Mohamed Yakoub amechukuwa fomu kugombea Ubunge Jimbo la Kilosa

    Mohamed Yakoub, Naibu Meya wa zamani Ilala amechukuwa fomu kugombea Ubunge Jimbo la KILOSA. Jimbo hilo mbunge wake aliyemaliza muda wake ni Mhe. Prof. Palagamanda Kabudi.
  19. Just Pray

    GE2025 Rose Rwakatale achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mlimba, Morogoro

    Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.Kellen-Rose Rwakatale amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mlimba mkoani Morogoro. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo, Rwakatale amesema anayo dhamira ya dhati kulitumikia jimbo hilo la Mlimba kwani anazijua changamoto...
  20. Just Pray

    GE2025 Rose Vicent Busiga achukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya CCM kugombea ubunge, Mbogwe

    Aliyekuwa mbunge wa viti maalum mkoa wa Geita, Rose Vicent Busiga leo Juni 30, 2025 amechukua na kurejesha rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kupitishwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbogwe katika uchaguzi mkuu Wa mwaka huu 2025. Zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu...
Back
Top Bottom