Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi kuhusu madai ya Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo kwamba wamemwandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kutokana na madai ya Viongozi wao kuwa wametakiwa kuwasilisha taarifa na majina ya watia nia ya kugombea ubunge na udiwani kwa Jeshi la...
Amesema,
1. Sasa amewaruhusu watu wengine wakashike nafasi yake ya ubunge wa Ruangwa.
2. Wagombea wote wa ubunge waliojitokeza ni wazaliwa wa Ruangwa, wana uwezo wa kuleta maendeleo.
3.Hatua yake ya kuacha ubunge wa Ruangwa imeongozwa na Mungu.
Mark Mabula amechukua na kurudisha fomu leo 02 July,2025 ya kugombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini kupitia chama cha mapinduzi Ccm Wilaya ya Nzega.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Mdau wa Maendeleo na Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rogatus Shotta Nkwera amechukua na kuerejesha Fomu ya Kuomba ridhaa ya Kugombea Ubunge Jimbo la Ludewa.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Leo Julai 2.2025 ni Siku ya Mwisho kwa watia nia kurudisha fomu...
Francis Luhanya ametangaza rasmi nia yake ya kugombea ubunge katika Jimbo la Sumbawanga Mjini baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuchukua fomu, Luhanya alisema kuwa ana nguvu, uwezo na nia dhabiti ya kuwaongoza wananchi wa jimbo hilo...
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini mwaka 2020/25, Deo Mwanyika (CCM) leo Julai 01, 2025 amechukua Fomu ya kuwania Ubunge awamu ya pili katika Jimbo la Njombe Mjini.
Mwanyika amechukua Fomu hiyo katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Njombe ambapo amekabidhiwa Fomu na Katibu...
Dkt. Geogre John Komba ambaye ni mtoto wa Hayati Kapteni John Komba aliyekuwa mbunge wa jimbo la Nyasa na muimbaji na kiongozi wa bendi ya TOT ambayo inamilikiwa na Chama Cha Mapinduzi amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Nyasa kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi.
Wakili Msomi kutoka ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali, Patrick Stephen Malogoi amerejesha fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hii ni mara ya pili kwa wakili Malogoi kuomba ridhaa ya CCM ambapo katika kura za maoni za mwaka 2020 na kushika nafasi ya...
Kada wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Rujifi Shaban Matwebe amelalamikia kuwa Katibu wa Chama hicho Wilaya ya Rujifi amekataa kumpa fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Rufiji.
Akiongea leo July 1 2025 Matwebe amesema hiyo sio mara ya kwanza kwake kupata changamoto kwani alishawahi kukamatwa na...
Mwandishi wa habari mkongwe na mtangazaji Salim Kikeke amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa...
Habari wakuu,
Kesho tarehe 2/07/2025 ninatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Ruangwa mkoa wa Lindi.Nitachukua na kurudisha kesho hiyohiyo.
Kama mwanachama mwenzenu dua zenu muhimu sana.
Naongea haya kwa masikitiko makubwa
Moja ya watu waliotuhumiwa kwa utekaji na Mambo mengine moja wapo ni Hawa watu
Halafu leo wanagombea Tena ubunge na nchi hii ilivyo ya mazuzu wanawashangilia tu
Hawa watu WANATAKIWA kukamatwa na takukuru na kohojiwa kwanza kwa kutumia madaraka yao vibaya...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mdau wa maendeleo Salum Kinyori 'Kibakuli', leo Juni 30, 2025 amechukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Handeni mjini Mkoani Tanga.
Salum ambaye ni mdau wa Maendeleo na msomi aliyebobea kwenye fani ya uchumi na mfanyabiashara mbobevu amechukua fomu hiyo...
Mohamed Yakoub, Naibu Meya wa zamani Ilala amechukuwa fomu kugombea Ubunge Jimbo la KILOSA. Jimbo hilo mbunge wake aliyemaliza muda wake ni Mhe. Prof. Palagamanda Kabudi.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.Kellen-Rose Rwakatale amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mlimba mkoani Morogoro.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo, Rwakatale amesema anayo dhamira ya dhati kulitumikia jimbo hilo la Mlimba kwani anazijua changamoto...
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum mkoa wa Geita, Rose Vicent Busiga leo Juni 30, 2025 amechukua na kurejesha rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kupitishwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbogwe katika uchaguzi mkuu Wa mwaka huu 2025.
Zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.