kuelekea uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    GE2025 Anne Kilango: Naombeni mniongezee miaka 5 nikamalizie kazi ya kugawa Halmshauri ya Same nilishaanza

    Mmoja wa watia nia nafasi ya Ubunge CCM jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akijinadi na kuwaomba Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jimbo hilo kumchagua ili aende kumalizia kazi aliyoianza ya kugawa halmashauri ya Same. Anna ametoa kauli hiyo wakati wa zoezi la kujitambulisha kwa wajumbe na...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Musiba: Mimi nilikuwa na ndoto ya kuwasidia wananchi Mwibara lakini naona inapotea

    Mwanaharakati huru Cyprian Musiba baada ya kutupwa katika mchujo wa wagombea walioteuliwa kupigiwa kura za maoni kuwania Ubunge wa Jimbo la Mwibara amejitokeza na kusema alikuwa na ndoto ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Mwibara Soma Pia: Cyprian Musiba atupwa nje mchujo Ubunge Mwibara
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Musiba: Mchakato wa kuteuwa wagombea CCM wangeachiwa wanachama wamchague wanayemtaka

    Mchakato wa kuteuwa wagombea CCM wangeachiwa wanachama wamchague wanayemtaka, baada hapo wanachama ndio wawapeleke kamati za chama taifa ambapo watakwenda kuangalia vigezo kwenye kamati kuu baada ya hapo wakamrudisha mgombea wao
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Makonda: Jamani wajumbe nimeacha kazi, nipeni kazi

    Watiania ya ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini wameendelea kujinadi mbele ya wajumbe wa CCM, akiwemo aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda. Akizungumza leo, Julai 31, 2025, mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Kata uliofanyika katika Kata ya Sokoni 1, Makonda amesema anaamini...
  5. BigTall

    GE2025 Zimeenda wapi hamasa za wadau, mijadala, warsha kipindi cha uchaguzi? Mbona kuna kimya kuelekea Oktoba?

    Tunapoelekea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, kuna hoja nzito ya kutafakari kuhusu hali ya elimu kwa mpiga kura, mijadala ya uraia, na nafasi ya taasisi mbalimbali katika kusaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi ya kidemokrasia. Miaka ya nyuma, hasa katika nyakati za uchaguzi, tuliweza...
  6. K

    GE2025 Enock Koola aungwa mkono asilimia 90 ya wajumbe wote katika Jimbo la Vunjo, ni mwelekeo ushindi Kura za maoni CCM

    ENOCK KOOLA AUNGWA MKONO ASILIMIA 90 YA WAJUMBE WOTE KATIKA JIMBO LA VUNJO – MWELEKEO WA USHINDI KATIKA KURA ZA MAONI ZA CCM Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Katika mchakato unaoendelea wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, hali ya kisiasa...
  7. Waufukweni

    GE2025 Ally Hapi: Waliokatwa CCM watulie uongozi ni kupokezana

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi, amewataka makada waliokatwa katika mchujo uliofanywa na Kamati Kuu ya CCM Taifa kuendelea kuwa wanachama watiifu na raia wema wa Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Julai 31,2025 jijini Dodoma kuhusu...
  8. Just Pray

    GE2025 Kada wa CCM Simiyu alalamikia mchakato wa kuteua wagombea, asema bila haki tutapata wabunge ambao si wazuri

    Wakuu Aliyekuwa mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Meatu mkoani Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Godfrey Sitta Sukari, akitoa malalamiko yake dhidi ya viongozi wa Chama Mkoa na Wilaya akidai kuhusika kwao kuvuruga zoezi la uteuzi wa wagombea mkoani hapo.
  9. Barca

    GE2025 Jacqueline Ngonyani Msongozi Aongoza Kura za maoni UWT Mkoa wa Ruvuma

    Leo ilikuwa siku ya kupiga kura za maoni kwaajili ya kuwachagua wanao wania nafasi ya ubunge VITI MAALUM kupitia UWT kwa ngazi ya Mikoa yote Tanzania Bara na visiwani. Huu ni utaratibu wa kawaida baada ya kuwa walifanya uchaguzi wa viti maalumu kwa ngazi ya madiwani. Leo ilikuwa zamu wabunge wa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Shilole: Mkinichagua nitawainua wamama wa Tabora kiuchumi "mama lishe mtafurahi sana"

    Mjasiriamali na Msanii wa muziki nchini Zuwena Mohamed Yusuph maarufu Shilole akijinadi na kuomba kura mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa (UWT) mkoa wa Tabora wampitishe kugombea nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoa wa Tabora. Zuwena Mohamed Yusuph jina lake limepitishwa baada ya mchakato wa...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Watiania ubunge Moshi Vijijini wapigwa marufuku mabango na vipeperushi

    Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, Ramadhan Mahanyu amepiga marufuku matumizi ya mabango na vipeperushi vya watiania ubunge katika majimbo ya Moshi Vijijini na Vunjo. Mahanyu ametoa agizo hilo leo Jumatano, Julai 30, 2025, wakati wa mikutano ya...
  12. W

    GE2025 Mch. Kimondo ahoji baiskeli, pikipiki na magari yenye picha za mgombea zilizosambazwa, mfadhili ni nani?

    Mchungaji mstaafu wa KKKT Dkt. Steven Kimondo amehoji na kuoneshwa kushangazwa kwa uwepo wa baadhi ya magari, baiskeli na pikipiki zenye picha na majina ya moja ya mgombea wa mwaka huu 2025 ambazo zimesambazwa maeneo mbalimbali, Je mfadhili wake ni nani? Vimetoka wapi? Na kwanini vina jina la...
  13. B

    GE2025 Moshi Tunahitaji Kiongozi wa Kweli mwenye matokeo ya maendeleo Sio Mtumwa wa Makundi

    Moshi Tunahitaji Kiongozi wa Kweli mwenye matokeo ya maendeleo Sio Mtumwa wa Makundi!!!! Katika kipindi hiki muhimu cha siasa Moshi mjini inahitaji Mbunge mwenye uzoefu, uwezo wa kiuongozi, rekodi ya utendaji uliothibitishwa na unao onekana kwa wazi, na moyo wa dhati wa kuwatumikia wananchi, si...
  14. Mto wa mbu

    GE2025 Salome Makamba afyekelewa mbali na wajumbe, ubunge viti maalumu, Shinyanga mjini

    Huu mwaka mtamu sana, Hawa covid-19 ,walikuwa na jeuri aswaa. Huyu Lissu alipodai reforms alimtukana sana bungeni Ili aonekane. Na alijiapiza Kwa jeuri kuwa atarudi bungeni. Leo amefyekelewa mbali na wajumbe wa CWT. Bunge ataliona kwenye TV. Nawasubiri wajumbe wafyekele mbali hawa watu, na...
  15. Waufukweni

    GE2025 John Heche: Waliokatwa CCM wananipigia Simu, wanalalamikia mwenendo wa Chama na kuonesha matumaini kwa CHADEMA

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokatwa kwenye mchakato wa uteuzi wamekuwa wakimpigia simu wakilalamikia mwenendo wa chama hicho na kueleza matumaini yao kwa CHADEMA. Akizungumza nje ya Mahakama...
  16. M

    GE2025 Dkt. Charles Kimei atambulisha agenda kabambe za maendeleo Vunjo

    Katika mwendelezo wa harakati zake za kuwaletea maendeleo wananchi wa Vunjo, Mheshimiwa Dkt. Charles Stephen Kimei akiwa katika kata za Marangu Magharibi, Marangu Mashariki na Mamba Kusini ikiwa ni siku ya kwanza ya ratiba ya wagombea ubunge ndani ya CCM katika Jimbo hilo ametambulisha ajenda...
  17. DodomaTZ

    GE2025 Sinzo Khamis Mgeja: Nashukuru kwa chama changu kuniamini, nipo tayari endapo Wajumbe watanipa ridhaa

    Sinzo Khamis Mgeja, mtoto wa Mwanasiasa maarufu nchini, Khamis Mgeja ni mmoja wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioteuliwa na Kamati Kuu (CC), kuwania Ubunge wa Viti Maalum kupitia (Umoja wa Wanawake (UWT), Kundi la Wazazi Bara. Mgeja amepata kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga na...
  18. Carlos The Jackal

    GE2025 Tulifatilia Majina ya Wateuliwa CCM ili kuona Hatima ya Maisha ya Kisiasa ya Wakosoaji wa Rais Samia , ameendelea kudhihirisha Hana Uwezo

    Chawa wa Mama naona wanafanya ionekane CCM ni chama Kikubwa !! La hashaa !!. CCM ni chama kilichojifia, kilichochokwa na watanzania na Kipo kwenye Hatua ya mwisho ya Kifo chake , CCM hakuna namna yoyote Ile ya kufanya kiwe hai mioyoni Kwa Wananchi. In fact, Watu wamechoka tu kuongozwa na...
  19. Pascal Mayalla

    GE2025 Ushauri wa Bure kwa Balozi Polepole, Usitatizwe na Wahuni!, Rais wa TZ 2025 Hawekwi na Wahuni, CCM au Watanzania, Anawekwa na YEYE Pekee!. Jinyamazie!

    Wanabodi, Mimi miongoni mwa wale watembezi ambao hutembea na Joni Mtembezi, ila hutembea nae siku za Ijumaa jioni na Jumamosi siku nzima!, siku za Jumapili ni mwendo wa ule muujiza wa Masiha, kwenye ile harusi ya Kana!. Kwa Mkirsto Mkatoliki die had, nyumbani kwake, zaidi ya kuwa kitabu cha...
  20. Mhaya

    GE2025 Watu Mashuhuri na Vigogo wa CCM walioachwa kwenye mchujo wa Ubunge 2025 kupitia tiketi ya CCM

    Katika kinyanganyiro cha kuwania ubunge baadhi ya watu mashuhuri na maarufu wametolewa kwenye mchujo wa ubunge mwaka 2025 kwa tiketi ya chama cha CCM huku wengine ambao wamekuwa wakihudumu kama wabunge kukosa nafasi ya kuaminiwa tena kutetea ubunge wao mwaka 2025 hivyo kutolewa kwenye orodha ya...
Back
Top Bottom