Mmoja wa watia nia nafasi ya Ubunge CCM jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akijinadi na kuwaomba Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jimbo hilo kumchagua ili aende kumalizia kazi aliyoianza ya kugawa halmashauri ya Same.
Anna ametoa kauli hiyo wakati wa zoezi la kujitambulisha kwa wajumbe na...
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba baada ya kutupwa katika mchujo wa wagombea walioteuliwa kupigiwa kura za maoni kuwania Ubunge wa Jimbo la Mwibara amejitokeza na kusema alikuwa na ndoto ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Mwibara
Soma Pia: Cyprian Musiba atupwa nje mchujo Ubunge Mwibara
Mchakato wa kuteuwa wagombea CCM wangeachiwa wanachama wamchague wanayemtaka, baada hapo wanachama ndio wawapeleke kamati za chama taifa ambapo watakwenda kuangalia vigezo kwenye kamati kuu baada ya hapo wakamrudisha mgombea wao
Watiania ya ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini wameendelea kujinadi mbele ya wajumbe wa CCM, akiwemo aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda.
Akizungumza leo, Julai 31, 2025, mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Kata uliofanyika katika Kata ya Sokoni 1, Makonda amesema anaamini...
Tunapoelekea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, kuna hoja nzito ya kutafakari kuhusu hali ya elimu kwa mpiga kura, mijadala ya uraia, na nafasi ya taasisi mbalimbali katika kusaidia wananchi kufanya maamuzi sahihi ya kidemokrasia.
Miaka ya nyuma, hasa katika nyakati za uchaguzi, tuliweza...
ENOCK KOOLA AUNGWA MKONO ASILIMIA 90 YA WAJUMBE WOTE KATIKA JIMBO LA VUNJO – MWELEKEO WA USHINDI KATIKA KURA ZA MAONI ZA CCM
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Katika mchakato unaoendelea wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, hali ya kisiasa...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi, amewataka makada waliokatwa katika mchujo uliofanywa na Kamati Kuu ya CCM Taifa kuendelea kuwa wanachama watiifu na raia wema wa Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Julai 31,2025 jijini Dodoma kuhusu...
Wakuu
Aliyekuwa mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Meatu mkoani Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Godfrey Sitta Sukari, akitoa malalamiko yake dhidi ya viongozi wa Chama Mkoa na Wilaya akidai kuhusika kwao kuvuruga zoezi la uteuzi wa wagombea mkoani hapo.
Leo ilikuwa siku ya kupiga kura za maoni kwaajili ya kuwachagua wanao wania nafasi ya ubunge VITI MAALUM kupitia UWT kwa ngazi ya Mikoa yote Tanzania Bara na visiwani. Huu ni utaratibu wa kawaida baada ya kuwa walifanya uchaguzi wa viti maalumu kwa ngazi ya madiwani. Leo ilikuwa zamu wabunge wa...
Mjasiriamali na Msanii wa muziki nchini Zuwena Mohamed Yusuph maarufu Shilole akijinadi na kuomba kura mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa (UWT) mkoa wa Tabora wampitishe kugombea nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoa wa Tabora.
Zuwena Mohamed Yusuph jina lake limepitishwa baada ya mchakato wa...
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, Ramadhan Mahanyu amepiga marufuku matumizi ya mabango na vipeperushi vya watiania ubunge katika majimbo ya Moshi Vijijini na Vunjo.
Mahanyu ametoa agizo hilo leo Jumatano, Julai 30, 2025, wakati wa mikutano ya...
Mchungaji mstaafu wa KKKT Dkt. Steven Kimondo amehoji na kuoneshwa kushangazwa kwa uwepo wa baadhi ya magari, baiskeli na pikipiki zenye picha na majina ya moja ya mgombea wa mwaka huu 2025 ambazo zimesambazwa maeneo mbalimbali, Je mfadhili wake ni nani? Vimetoka wapi? Na kwanini vina jina la...
Moshi Tunahitaji Kiongozi wa Kweli mwenye matokeo ya maendeleo Sio Mtumwa wa Makundi!!!!
Katika kipindi hiki muhimu cha siasa Moshi mjini inahitaji Mbunge mwenye uzoefu, uwezo wa kiuongozi, rekodi ya utendaji uliothibitishwa na unao onekana kwa wazi, na moyo wa dhati wa kuwatumikia wananchi, si...
Huu mwaka mtamu sana, Hawa covid-19 ,walikuwa na jeuri aswaa. Huyu Lissu alipodai reforms alimtukana sana bungeni Ili aonekane.
Na alijiapiza Kwa jeuri kuwa atarudi bungeni.
Leo amefyekelewa mbali na wajumbe wa CWT. Bunge ataliona kwenye TV.
Nawasubiri wajumbe wafyekele mbali hawa watu, na...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokatwa kwenye mchakato wa uteuzi wamekuwa wakimpigia simu wakilalamikia mwenendo wa chama hicho na kueleza matumaini yao kwa CHADEMA.
Akizungumza nje ya Mahakama...
Katika mwendelezo wa harakati zake za kuwaletea maendeleo wananchi wa Vunjo, Mheshimiwa Dkt. Charles Stephen Kimei akiwa katika kata za Marangu Magharibi, Marangu Mashariki na Mamba Kusini ikiwa ni siku ya kwanza ya ratiba ya wagombea ubunge ndani ya CCM katika Jimbo hilo ametambulisha ajenda...
Sinzo Khamis Mgeja, mtoto wa Mwanasiasa maarufu nchini, Khamis Mgeja ni mmoja wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioteuliwa na Kamati Kuu (CC), kuwania Ubunge wa Viti Maalum kupitia (Umoja wa Wanawake (UWT), Kundi la Wazazi Bara.
Mgeja amepata kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga na...
Chawa wa Mama naona wanafanya ionekane CCM ni chama Kikubwa !!
La hashaa !!.
CCM ni chama kilichojifia, kilichochokwa na watanzania na Kipo kwenye Hatua ya mwisho ya Kifo chake , CCM hakuna namna yoyote Ile ya kufanya kiwe hai mioyoni Kwa Wananchi.
In fact, Watu wamechoka tu kuongozwa na...
Wanabodi,
Mimi miongoni mwa wale watembezi ambao hutembea na Joni Mtembezi, ila hutembea nae siku za Ijumaa jioni na Jumamosi siku nzima!, siku za Jumapili ni mwendo wa ule muujiza wa Masiha, kwenye ile harusi ya Kana!.
Kwa Mkirsto Mkatoliki die had, nyumbani kwake, zaidi ya kuwa kitabu cha...
Katika kinyanganyiro cha kuwania ubunge baadhi ya watu mashuhuri na maarufu wametolewa kwenye mchujo wa ubunge mwaka 2025 kwa tiketi ya chama cha CCM huku wengine ambao wamekuwa wakihudumu kama wabunge kukosa nafasi ya kuaminiwa tena kutetea ubunge wao mwaka 2025 hivyo kutolewa kwenye orodha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.