Elisha Samo ambaye ni Katibu wa Mbunge mstaafu wa Jimbo la Tarime Mjini, Mhe. Michael Mwita Kembaki, anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Tarime kwa tuhuma za kuendesha mikutano ya kisiasa kinyume na taratibu za Chama Cha Mapinduzi @ccmtanzania
Inadaiwa...
Saa za aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutua katika Chama cha ACT-Wazalendo zinahesabika, baada ya kiongozi huyo kubisha hodi huku akieleza kuwa yuko tayari kupeperusha bendera ya chama hicho katika nafasi ya urais, Jambo TV...
Nyota inawaka upande wa Kijana Mdogo na Mjasiliamali katika mbio za Ubunge Jimbo la Tunduru Kaskazini na ni kama Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Tunduru Kaskazini WAMEAMUA kwa kauli moja kumpa kura kijana huyo mdogo lakini mwenye MAONO makubwa hapo kesho!
Kwa mujibu wa UTAFITI...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 16 (5) sheria ya Uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani Na.1 ya mwaka 2024, Tume imekamilisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa awamu zote mbili.
Akizungumza na kwenye Mkutano wa Kitaifa kati ya Tume...
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mufindi anatuhumiwa kuhusika katika mipango ya kuiba kura za maoni kuelekea uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika Agosti 4, 2025, ili kumuwezesha Mbunge aliyepo madarakani, Jimbo la Mufindi Kusini Mhe. Davidi Kihenzile, kuendelea...
Mtia nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kigoma Mjini Babalevo ameahidi kulipa jina soko lililopo kata ya Kipampa wilayani humo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na...
Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani amewakumbusha wanahabari wajibu wao wa kuhakikisha vyama vya siasa na wagombea wanapata nafasi ya kufikisha ujumbe wao kwa wapiga kura katika kipindi cha kampeni.
Aidha, Bw. Kailima amewataka wanahabari kutoa taarifa sahihi kwa umma na kuepuka...
Wakuu!
:D:D Watia Nia naona wanataka kuonewa huruma siyo Sera ndio ziwabebe
Mtia nia wa ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Nguvu Chengula maarufu kama Sauti ya Simba, alipiga magoti na kutishia kulia machozi mbele ya wajumbe wa CCM Kata ya Kihesa, wakati...
Mtia nia wa Ubunge, Mkurugenzi wa Chief Godlove Foundation na Mwanamitandao Godlove Mwakibete maarufu kama pamoja na jina lake kukatwa, amerudi nyumbani kwao Wilayani Kyela kuwashukuru Wazazi wake walimchukulia fomu pindi alipotia nia ya kuwania Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi.
Akiongea na...
Wananchi wa Kata ya Shambalayi Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wameandana hadi ofisi ya chama cha mapinduzi (CCM) Kupinga uamuzi wa majina yaliyo rudi kuwa hawayahitaji na badala yake majina wanayo yahitaji hayajarudi.
Wananchi hao wamemuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri...
Sagini Jumanne Abdallah amakutana na balaa zito kwa wananchi wa Butiama, baada ya ya baadhi ya wananchi kuonyesha kutomtaka kuendelea kujinadi mbele ya wajumbe
Hakika kweli wananchi mwaka huu wanalao jambo kwa viongozi waliwakimbia kuwaletea maendeleo
KUWASHAMBULIA VIONGOZI WETU WALIOPO NA WASTAAFU KWA WATU WAO WA KARIBU KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI KWA JAMII NI KUWAKOSEA ADABU
Na: Alex Msama 🇹🇿
: Agosti 1, 2025
Katika jamii inayozingatia misingi ya haki, utu na utawala wa sheria, ni jambo la aibu na la hatari kuanzisha dhana potofu...
Mambo yanakuwa moto pale unaposimama kwenye kundi la watu na kuanza kuzugumza !
Sasa yamemkuta moja ya mgombe wa nafasi za viti maalumu
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Zoezi la kuomba kura mbele ya Wajumbe wa...
Kutokana na wanaCHADEMA kuwa mstari wa mbele kupinga na kukosoa mambo mbalimbali yanayoendelea wakati huu wa uchaguzi ninashauri chama chetu CCM kiwape hawa ndugu zetu nafasi maalum ya kupendekeza wagombea wanaowataka. Imefika sehemu viongozi waandamizi wa CHADEMA wamejiunga na Polepole kusema...
Wanachama wa chama cha mapinduzi katika kijiji cha Mkwedu kata ya Mkwedu wilayani Newala mkoa wa Mtwara wamerudisha kazi za chama haicho, baiskeli na pikipiki kwa sababu ya kuenguliwa kwa majina ya wagombea udiwani. Hayo yamejiri 31 July 2025
Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tanzania Bara, Devotha Minja, Agosti 1, 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini kupitia chama hicho.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu katika Ofisi za CHAUMMA mkoani Morogoro...
Dkt Charles Stephen Kimei, Mbunge wa Jimbo la Vunjo, amesema kuwa kukamilika kwa barabara ya Nyerere (Pofo – Mandaka – Kilema) pamoja na barabara ya Kilema – Maua – Kirua ni miongoni mwa vipaumbele atakavyovitekeleza katika kipindi kijacho ikiwa atapata ridhaa ya kuendelea kulitumikia Jimbo...
Aliyekuwa mtia nia wa ubunge wa Jimbo la Meatu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Joseph Mwanambuke, ambaye jina lake halikufanikiwa kupenya katika orodha ya awali ya walioteuliwa kuwania nafasi hiyo ameonekana katika viunga vya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Dar es...
Mtia nia wa Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, leo 31 Julai 2025 amemjibu moja ya mjumbe aaliyemuuliza swali "endapo akishindwa atahama chama?" Msigwa amejibu swali hilo wakati akiomba kura za maoni kutola kwa wajumbe wa Kata ya Mtwivila.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.