kuelekea uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chachu Ombara

    GE2025 Askofu Amani: Tusiwachague viongozi wenye ulafi wa madaraka

    Askofu Amani ameyasema hayo leo Julai 25, 2025 wakati wa maadhimisho ya Jubilee ya miaka 100 ya Seminari ya Mtakatifu Yakobo Mtume iliyopo Kilema chini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Isaack Amani ametawaka Watanzania kuwa waangalifu kuelekea...
  2. Waufukweni

    GE2025 Mbatia ataka mazungumzo ya Kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ametoa wito kwa viongozi wa vyama vyote vya siasa nchini, wakiwemo wa CHADEMA, CCM, na ACT-Wazalendo, kuonesha ukomavu wa kisiasa kwa kuweka kando tofauti zao na kukutana kwa mazungumzo ya pamoja kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2025...
  3. Q

    GE2025 Kama Samia atapitishwa kuwa mgombea anaweza kuwekewa pingamizi kwa kuanza kampeni mapema

    Endapo kesho Mkutano Mkuu utatengua kanuni iliyopitisha mgombea mmoja na kuruhusu wagombea wasiopungua watatu, Rais Samia anaweza kuwekewa pingamizi kwa kuanza kampeni ya uteuzi mapema, Na endapo atateuliwa na chama chake, anaweza pia kuwekewa pingamizi mahakamani au kwenye Tume ya Uchaguzi na...
  4. P

    GE2025 Rais Samia sikiliza neno la bwana kuhusu Urais 2025

    ...
  5. Kimbesa11

    GE2025 CCM ni maji yaliyotulia: Wapinzani wetu wapo na no reform no election huku wanafatilia kinachoendelea CCM kwenye uteuzi wa wagombea

    Wahenga walisema "maji yaliyotulia Yana kina kirefu" CCM NI MAJI YALIYOTULIA" Nashangaa kuona wapinzani wapo busy na kufatilia habari za uchambuzi wa wagombea wa ubunge na udiwani wa CCM huku wanaamini No Reform no Election sijui ni akili ya namna gani hii. Tuliwaambia CCM ni dude kubwa...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kumekucha! CCM yaitisha mkutano mkuu wa dharura kwa njia ya mtandao

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuitisha Mkutano Mkuu Maalum wa Taifa utakaofanyika kwa njia ya mtandao siku ya Jumamosi, Julai 26, 2025 kuanzia saa 2:00 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vyetu vya kuaminika ndani ya CCM, tangazo hilo lililotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu...
  7. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CHAUMMA yapokea mapendekezo ya Wanawake wa Viti Maalum kwa Uchaguzi Ujao

    Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amepokea rasmi mapendekezo ya sifa na vigezo vya wanawake wa chama hicho wanaotarajiwa kuteuliwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi kupitia viti maalum katika uchaguzi ujao. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam siku...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Katavi: Wananchi waibana CHAUMMA kwa maswali magumu. Mtalindaje kura?

    Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Katavi kimewatoa wasiwasi wananchi wa Kata ya Kakese, Manispaa ya Mpanda, kuhusu usalama wa kura zao kwenye uchaguzi mkuu ujao, kikiahidi kuwa na mikakati madhubuti ya kuzilinda ingawa hakijaweka wazi mbinu hizo kwa sasa. Kauli hiyo imetolewa siku ya...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Dk. Mussa Ally Apongeza Uamuzi wa Serikali Kuwaruhusu Wafungwa Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba

    MSIMAMIZI Msaidizi wa Jimbo la Kivule, Wilaya ya Ilala, Dk. Mussa Ally ameipongeza serikali kwa kuwaruhusu wafungwa kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kwa mara ya kwanza. Akizungumza na Daily News Digital, Dk. Mussa amesema hatua hiyo ni miongoni mwa maboresho makubwa kuelekea...
  10. Common Folk

    GE2025 Mch. Dk. Godfrey Malisa: Naendelea kusisitiza katiba ya nchi na chama zilivunjwa kwa kumteua SSH kuwa mgombea Urais wa CCM

    Mchungaji Dk.Godfrey Malisa aliyefutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameendelea kusisitiza kuwa kilichofanywa na Chama hicho kumpitisha Rais Dk. Samia kuwania nafasi ya Urais haikuwa sehemu ya Mkutano Mkuu wa CCM kwani agenda hiyo ilipachikwa dakika za mwisho hivyo kuna maswali ya...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kura ya Maoni CCM Kufanyika Agosti 4, 2025. Yasisitiza Amani, Uwazi na Heshima kwa Taratibu za Chama

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kitafanya kura ya maoni kwa wagombea wa Ubunge, Uwakilishi na Udiwani katika ngazi ya Kata/Wadi na Majimbo kwa Tanzania Bara na Zanzibar Agosti 4, 2025. Hii ni hatua muhimu katika mchakato wa ndani wa chama wa kupata wagombea wake kwa ajili ya Uchaguzi...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kamishna wa CHAUMMA Mussa Katambi: Refoms haziwezekani bila kuwa na wabunge

    Kamishna wa chama cha ukombozi wa umma CHAUMMA kwenye mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora Masanja Mussa katambi Amesema taarifa za kuwa wamenunuliwa kwenda CHAUMMA Ni uongo na walichokifanha ni maamuzi sahihi ya Kutafuta jukwaa la kuendelea kuwasemea Wananchi baada ya kuona hawatapata nafasi ya...
  13. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Hawa Bananga: Mbunge akikupa fedha umchague ujue mmemalizana miaka mitano

    Hawa Bananga, Mbunge Mstaafu wa Viti Maalum akifunguka kupitia One on One Mbunge yeyote anayetafuta nafasi kwa sababu ya fedha mtegemee miaka mitano kutokuhoji wa kuuliza chochote kwake kwa sababu mmeshamalizana
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Hawa Bananga: Tabora mjini inahitaji mbunge anayeongea, asikaye kimya tu!

    Mbunge wa Viti Maalum 2015 - 2025 kupitia CHADEMA Hawa Bananga , ambaye kwa sasa amejiunga na CCM na ni miongoni mwa wanachama waliojitosa katika mbio za ubunge Jimbo la Tabora Mjini.
  15. W

    GE2025 Hawa Bananga: Nimerudi CCM kufanya kazi sio kisa nimefukuzwa CHADEMA

    Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Hawa Bananga akijibu maswali kupitia kipindi cha One on One with ya Wasafi TV. Hawa kwa sasa ni mwanachama wa CCM na amejitosa katika mbio za ubunge wa Jimbo la Tabora Mjini amefunguka mengi. Hawa Bananga, mmoja kati ya waliokuwa Wabunge 19 wa...
  16. Just Pray

    GE2025 Catherine Ruge: Nimesikia sauti ya Mungu, nitagombea Serengeti

    Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uchumi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Catherine Ruge (Msubhati) amesema ameamua kusimama na kugombea ubunge wa Jimbo la Serengeti Mkoani Mara, kwa lengo la kupigania haki za wananchi na kurejesha matumaini kwa jamii inayokabiliwa na changamoto mbalimbali...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Nendeni mkatoe taarifa za uchaguzi kwenye vyombo vya habari

    Kauli ya Daniel Kalinga Mtumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Wakati akifunga mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo kutoka mikoa ya Iringa,Ruvuma na Njombe.
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Huenda Profesa Lipumba akakosekana miongoni mwa watakaogombea urais 2025

    Huenda jina la Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba likakosekana miongoni mwa watakaogombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 RC Kheri James Aagiza Ujenzi wa Stendi Iringa Ukamilike Ndani ya Miezi Miwili

    Kutokana na kukosekana kwa stendi ya mabasi katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James Ameiagiza Halmashauri hiyo kuhakikisha kuwa baada ya miezi miwili stendi za mabasi zinaanza kufanya kazi katika maeneo yaliyotengwa. Mhe. Kheri ametoa maagizo hayo Julai...
Back
Top Bottom