Anadai unabii wake unaamwambia tutaingia kwenye uchaguzi na tume tofauti na ile ya zamani, na Rais Samia hajachanguliwa na Mungu kuendelea kuongoza hii nchi lakini atalazimisha maana wapambe wanampush.
Matokeo yake Mungu hatopenda, atamfanya kuwa binti (atamtoa kwenye umri wa uzee)