PreGE2025 Je, Unabii huu utatimia?

PreGE2025 Je, Unabii huu utatimia?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
4,499
Reaction score
4,687
Anadai unabii wake unaamwambia tutaingia kwenye uchaguzi na tume tofauti na ile ya zamani, na Rais Samia hajachanguliwa na Mungu kuendelea kuongoza hii nchi lakini atalazimisha maana wapambe wanampush.

Matokeo yake Mungu hatopenda, atamfanya kuwa binti (atamtoa kwenye umri wa uzee)
 
Anadai unabii wake unaamwambia tutaingia kwenye uchaguzi na tume tofauti na ile ya zamani, na Rais Samia hajachanguliwa na Mungu kuendelea kuongoza hii nchi lakini atalazimisha maana wapambe wanampush.

Matokeo yake Mungu hatopenda, atamfanya kuwa binti (atamtoa kwenye umri wa uzee)
View attachment 3315368
Kumfanya kuwa binti ndo nini!?
 
Anadai unabii wake unaamwambia tutaingia kwenye uchaguzi na tume tofauti na ile ya zamani, na Rais Samia hajachanguliwa na Mungu kuendelea kuongoza hii nchi lakini atalazimisha maana wapambe wanampush.

Matokeo yake Mungu hatopenda, atamfanya kuwa binti (atamtoa kwenye umri wa uzee)
View attachment 3315368
Mtihani pekee wa unabii huu sio lazima uwe ni unabii wa Mungu,unabii mwingine ni unabii wa shetani!。The deviding line between unabii wa Mungu na unabii wa shetani is very thin!,kipimo pekee cha kupima ni unabii wa nani kati ya Mungu na shetani ni performance, unabii wa Mungu lazima utimie,unabii wa shetani huwa hautimii!。

P
 
Back
Top Bottom