kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Serikali yasema kuna watu wanafungua kurasa za mitandao ya kijamii zenye ya majina ya kuaminika na kufanya upotoshaji, yatoa onyo

    Wakuu, Serikali kila siku wanazidi kututhibitishia kuna mizigo 90% kwenye hivyo vitengo huko! Kwahiyo kwa madai yao ni watu wamefungua page zinazofanana na wao lakini sio kwamba page zao zimedukuliwa? Basi wadukuaji wafanye kweli na hizo page sizirudi tuone watasemaje sasa hivi🌚. Kwahivyo...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Udukuzi unavyoendelea kwenye page za serikali inaonesha ni jinsi gani tuna mifumo dhaifu kwenye ulinzi wa digitali

    Wakuu, Wadukuzi wameonesha ni jinsi gani kuna matobo kwenye mifumo ya ulinzi nchini. Mpaka page ya polisi inadukuliwa, baada ya kuangalia wamewezeje kufikia mifumo yao eti wanamtafuta mpotoshaji! Na haya hayatakoma hapa maana serikali huwa haitibu mzizi wa tatizo, inakwenda kuvamiwa matawi na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Viongozi wa dini Maswa watakiwa kuwa walinzi wa amani

    MKUU wa Wilaya ya Maswa, Dkt. Vicent Naano amewataka viongozi wa dini kutumia nafasi yao kuhakikisha amani na utulivu wa nchi unaendelea kudumishwa, hasa katika kipindi hiki kinapoelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 wa Rais,wabunge na madiwani. Akizungumza mjini Maswa katika hafla ya dua ya...
  4. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Polisi wamsaka aliyesambaza taarifa za upotoshaji katika ukurasa wa Polisi X (Twitter)

    Hiki ni kituko! Ukisikia mbwa kala mbwa ndio hii sasa🤣🤣 mambo yamekuwa moto taratibu tutaelewana. Sasa wanamsaka nani wakati page yao ndio imesambaza taarifa hizo za upotoshaji?:KEKLaugh::KEKLaugh::BearLaugh: Nataarifa hii imetoka hapo hapo, sa tunajuaje kama na hii sio ya kwao? Ila majirani...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Inasemekana ukurasa wa X (Twitter) wa Jeshi la Polisi umedukuliwa. Je, ni kutokana na tamko la jana la Rais Samia?

    Wakuu! Ukurasa rasmi wa X zamani Twitter wa Jeshi la Polisi Tanzania (Tanpol) unapost taarifa ambayo wengi hawaamini kama ni za kweli, kwanza iliweka maudhui ya uchi lakini baadaye ikawekwa taarifa ya kuwa Rais Samia ametutoka. Je, account hiyo imedukuliwa au ni polisi wenyewe wameamua...
  6. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kulikoni polisi kuingia Kisutu na mask za majambazi? Je, hiyo ni sehemu ya sare yao? Kama sio kwanini wazivae?

    Wakuu, Moja ya matukio yaliyonishangaza jana kwenye kesi ya Lissu pale Kisutu ni baadhi ya polisi kuvaa mask kama za majambazi ambao hawataki kujulikana sura zao! Nilijiuliza mengi sikupata majibu! Kwanini wavae vile wakati zinahusishwa na matendo ya kiuhalifu? Kwanini wajizibe sura kwanza...
  7. Fascinating

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Midundo ya Wahama chama, kuna Mkufunzi bado hajajitokeza: Najiuliza tu, wataweza kupata nyama kwa wauza mchicha?

    Wazaramo wasomi wanasemaga “When an apprentice graduates, the master will show up” Hizi hekaheka sio bure, kuna mkubwa wao bado hajajitokeza, haiwezekani hawana hata Cognitive dissonance, tena kipindi ambacho Mtunzakiti wao anasota rumande na kesi ya uhaini. Hawa Wahamachama hawana jeuri ya...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mlinzi wa Freeman Mbowe aonekana kwenye Mkutano wa CHAUMMA unaopokea viongozi wa G55

    Wakuu! Mlinzi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ajulikanaye kwa jina la Hassan Bwire, ameonekana akihudhuria kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) leo, Mei 19, 2025.
  9. W

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Vyombo vya ulinzi na usalama msiruhusu watovu wa nidhamu (wanaharakati) wa nchi nyingine kuja kutovuka nchini

    Akizungumza Leo hii Mei 19, Kwenye Uzinduzi wa Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001 (Toleo la 2024) katika Ukumbi wa JNICC Jijini Dar Es Salaam. Rais Samia amesema wanaharakati waliodhibitiwa katika nchi walizotoka wasituharibie nchi yetu huku akivisihi vyombo vya sheria kuchukua hatua za haraka...
  10. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

    Wakuu, CHAUMMA inapokea wanachama wapya wakati huu kutoka G55 https://www.youtube.com/live/F2vujXgaQ8I?si=JXMwKc7Puisgjq6K Catherine Ruge, Mrema na wengine baada ya kupewa kadi ya uanachama wa CHAUMMA na kuwa wanachama rasmi wa chama hicho, waandishi wa habari wametoka nje kuwapisha CHAUMMA...
  11. E

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Freeman Mbowe: Niseme nini? Tukiongea watasema tunawashwawashwa, wasemao ni wenye mamlaka!

    Mwenyekiti wa zamani wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza sababu ya kukaa kimya tangu wakati wa uchaguzi mkuu wa chama hicho, Januari 22, 2025, akisema wanaotakiwa kusema kwa sasa ni viongozi waliokabidhiwa mamlaka na chama. Katika uchaguzi huo, Tundu Lissu alishinda nafasi ya uenyekiti kwa...
  12. Heparin

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mrema, Kileo, Kigaila, Salumu Mwalimu, Devotha Minja na G 55 wengine rasmi watua CHAUMMA. Walijifanya kukataa, kiko wapi!

    Wakuu, Informer wenu nipo kwenye Mkutano Mkuu wa CHAUMMA. Nimekuja na hii taarifa ya ndani kabisa kutoka jikoni. Soon watatangaza rasmi. Tukio hili lipo Golden Tulip, Dar es Salaam. Taarifa zaidi zitakujia. Pia, Soma: Inasemekana G55 wanahamia CHAUMMA, kupewa nafasi za uongozi kukamiliasha 5%...
  13. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwananchi wafichua viongozi watatu wa CHADEMA waliohudhuria mkutano wa kamati kuu na wanaotarajiwa kujiunga CHAUMMA

    Wakuu, Mwananchi wamevujisha majina ya baadhi ya makada ambao wameonekana kwenye mkutano wa kamati kuu na Halmashauri Kuu. Baadhi ya wanachama waliokuwa CHADEMA waliokuwepo kwenye kikao hicho ni pamoja aliyegombea Uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema Taifa (Bavicha), Masoud Masoud...
  14. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM yakanusha taarifa inayosambaa kuhusu kupitisha bakuli kwa wafanyabiashara

    Wakuu, Baada ya taarifa, kusambaa kwamba CCM inasambaza waraka ya kuomba hela za kampeni kwa wafanyabiashara, chama hicho kimeitokeza kujisafisha zikisema kuwa taarifa hizo ni za uongo Soma pia: CCM inapitisha bakuli (Tone tone) kwa makampuni
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 VIDEO: Lissu agoma kuzungumza na mawakili wake: Nimezungukwa na Askari, hii inawezekanaje?

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu alivyogoma kuzungumza na Mawakili wake wakati Askari wamemzunguka. Lissu anahoji; "Hakimu amesema mshtakiwa abaki na mawakili wake pekee yao for consultation. Nikiwa gerezani askari wananizunguka. Hakimu amesema nibaki na mawakili wangu bado...
  16. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hamad Rashid wa ADC achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar

    Wakuu, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed amechukua fomu kuwania urais Zanzibar, akieleza vipaumbele vyake ni kujikita kwenye kilimo, elimu, afya, mazingira na utalii. Amechukua fomu hiyo leo Mei 18, 2025 katika ofisi za chama hicho Mtopepo Mjini...
  17. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mahakama mnashindwa kuwa na vifaa vya maana kuhakikisha tukio linaruka bila changamoto? Au ni makusudi ili tuache kufuatilia?

    Wakuu, Kwa wale ambao tumeshindwa kufika mahakamani channel ya mahakama inarusha tukio hili mubashara (maana TBC imegoma kurusha tukio hili lenye maslahi ya taifa), lakini kwa quality ya video na sauti ni kama unaangalia midoli inakwenda huku huko basi! Sauti inasikika kwa tabu sana, ni ngumu...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kesi ya Lissu imesababisha mtandao kuminywa leo? Dawa yenu ipo jikoni, hamuwezi kushindana na teknolojia

    Wakuu, Hali ya mtandao ikoje mliko? Yaani toka asubuhi mtandao imekuwa hovyooo kila kitu kinaenda taratibu kwa spidi ya kobe! Ni hii tu kesi ya Lissu ndio mnafanya mambo yote yasiende na kutuingizia hasara? Yaani Lissu anawatetemesha mpaka mnatumia resource zote kuhakikisha mambo hayaendi sawa...
  19. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 RC Iringa, Peter Serukamba atangaza kuachana na Ukuu wa Mkoa na kwenda kugombea Ubunge kwenye jimbo la Lukuvi

    Wakuu, Zile mbwembwe na tashtiti za Uchaguzi zimeanza rasmi. Huyu kaamua kuubwaga Ukuu Mkoa wa Iringa na kwenda kugombea Ubunge! ======================== Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, ametangaza rasmi dhamira yake ya kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu ujao, akisema sasa ni muda...
  20. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kesi ya Lissu inaendelea TBC kimya! Mpo kwa maslahi ya nani kama jambo kubwa linalogusa usalama wa taifa mnalifungia vioo?

    Wakuu, Kesi ya Lissu ni suala la kitaifa. Watanzania tuna maslahi nayo maana Uhain si na uchochezi wa kusumbua Watanzania na kufanya tukose amani ni suala serious sana (hata kama tunajua ni uongo😂😂😂), sasa mbali na haya yote TBC, televisheni ya Taifa ni kama wapo ulimwengu mwingine! Yaani ni...
Back
Top Bottom