Hivi mnadhani CCM hawataki mabadiliko? Aaahhh wapi!
Waliotengeneza ilani ya CCM waliona mbali, wameenda mbali si tu kurekebisha sheria za uchaguzi, CCM imeahidi kutupilia mbali katiba ya sasa na watakuja na katiba mpya! Acha kuhangaika na ka sheria kamoja ka uchaguzi, CCM wanatupa injini yote...
Yoyote yule kwa dini yake, iwe mkristo au muislamu atakumbwa na matatizo ya utekaji, na ndiyo maana hili suala ni la kitaifa , sio la wakristo pekee.
Inashangaza sana, kuona watu wanatekwa, arafu wale wanaopaza sauti wanaambiwa wanahubiri udini kwa kuwa Rais wetu ni muislamu na hakwepi lawama...
Wananchi wazalendo na wanaCCM wenzangu msiwe na hofu kuhusu hii kampeni ya kijinga iliyoanzishwa na mwanamke katili asiye na utu kwa jina la Mange. Ni kampeni ya kijinga sana kuwahi kutokea. Mbaya zaidi imeanzishwa na mtu asiye na utu.... Mange ashaharibu maisha ya watu wengi sana hivyo kwa sasa...
Wakuu!
Alex Msama ameshangaa Viongozi wa Dini kufanya Siasa Makanisani akidai kuwa si rahisi kutumikia mabwana wawili na ukimtukana Rais Samia, unamtukana Mungu maana ndiye kampa Mamlaka.
Usiku wa kuamkia leo kupitia kwa kinachoitwa tamasha la mama, Gerson Msigwa akiwa UDOM amekumbana na zomea zomea hadi kutoa vitisho.
Zomea zomea hiyo ilikuwa akianikizwa na maneno "No reforms No election"
Amepewa za uso, kila alilosema likawa linajibiwa kwa shubiri.
Kwa kiasi kikubwa agenda ya No reforms No election imefanikiwa kupenya na kuwavuruga watawala. Kukataa kwamba haiwasumbui itakuwa ni kujidanganya
Watu wanaweza kudharau yanayoendelea mitandaoni lakini huo ndio uhalisia wa yanayoendelea kwenye jamii kwasababu walioko mitandaoni ndio walioko...
WAJUMBE HII MIRADI MNAIONA KAMA SISI WANANCHI TUNAVYOIONA.
Tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na maji kila kona ,kila kata kila kijiji kila bomba haikuwa hivyo kabla ya uwakilishi wa Eng Ezra John Chiwelesa hapa biharamulo.
Tunakwenda kwenye uchaguzi huku tukiwa na mradi mkubwa wa maji wa ziwa...
Mwasisi na mmiliki wa taasisi ya Alsamood ambaye pia ni mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Comrade Samira Khalfan Amour alifika katika ajali ya kuungua mabweni shule ya sekondari ya wasichana Mubaba na kuchangia mashuka 128 ili kuwafuta machozi wanafunzi hao.
Taasisi ya Alsamood inayomilikiwa na...
Nipo Salama! Hofu Kwenu!
Tunahitaji reforms sio kwaajili ya Chama Fulani bali kwaajili ya vyama vyote.
Reforms kwaajili ya CCM,
Reforms kwaajili ya CHADEMA,
Reforms kwaajili ya vyama vyote vya siasa nchini.
Reforms kwa Sisi tusio na vyama lakini ni wapiga Kura.
Reforms ambazo zitafanya...
Wito umetolewa kwa Watanzania kuendeleza desturi ya muda mrefu ya kuwaheshimu viongozi na kwamba hata pale inapoonekana kuna ulazima wa kuwakosoa, basi ukosoaji huo utanguliwe na staha ya kuwaheshimu viongozi wahusika
Wito huo umetolewa leo, Jumamosi Juni 07.2025 na Sheikh wa mkoa wa Simiyu...
Leo Juni 7,2025 baadhi ya viongozi wamezuia eneo la comments kwenye account zao za mitandao ya kijamii kufuatia wimbi la wafuatiliaji kuandika kauli ya 'No Reforms No Election' kwenye kila post iliyorushwa.
Hali hiyo imekwenda kwenye akaunti za vyombo vya habari kwa kila maudhui kumiminika watu...
Waandishi wa habari nao wamejitosa kwenye Kampeni ya kumtetea Rais Samia,
Ina maana utekaji, mauaji ya watanzania na unyanyasaji unaoendelea nchini hawauoni? hawausikii? Ama wameamua kushupaza shingo?. Simpangii mtu cha kusema lakini kwanini basi watu kama hawa ambao wananchi wanawategemea...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mbeya Ndg.Patrick Mwalunenge ameweka wazi msimamo wake kuelekea Uchaguzi Mkuu kila mtu anayetaka kugombea ndani chama hicho kuacha vitendo vya ukatili na roho mbaya kitu ambacho si kizuri kabisa.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
GT.
Katika Bunge lililovutia kuliko wakati wowote ule ni hilo la 2010/2015 Bunge lilikuwa la moto hatari hoja nzito znito zilikuwa zinatolewa.
CCM wakaona hayo yalikuwa ni makosa kuweka Wapinzani wengi bungeni Lakini kiukweli ndio bunge liliokonga nyoyo za watz wote na kuwaamusha hadi leo...
Wakuu,
Baada ya wananchi kuvamia page za serikali mpaka za rais samia na no reforms no election chawa na kupe wa mama wamekuja na kampeni yao ili kuonesha mama anakubalika.
Kwenye masuala ya utekaji hutakaa kuwaona wasanii wakisema lolote, ni wale wale wachache tu wa kila siku ndio huongelea...
Wakuu
Wananchi wa Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamejikuta wakinusuru fedha zao kwaajili ya bajeti ya kitoweo cha sherehe ya sikukuu ya kuchinja ‘Eid al-Adha’ baada ya Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Sagini kuchinja Ng’ombe zaidi 500 na kuwagawia.
Tukio hilo limetokea mapema leo Juni 7...
Mtoto wa Msanii wa Bongo Fleva Shetta, Qailah Nurdin Bilal ambaye ni Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) amewataka Vijana kwenda kuyasema mazuri yanafanywa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia kwa data kama Wasomi.
Akiwa kwenye Mahafali ya Seneti, Qailah ameongeza...
kumbe kuna kampeni za unfollow mtandaoni ngoja na mimi nika unfollow samia na watu wote serikalini kuunga mkono damu zilizo mwagika na mabadiliko.
Nasimama mstari wa mbele kuunga mkono wote waliotekwa na kuuwawa walio dhurumiwa mali zao ikiwemo wakina gwajima kwaajili ya kuwatetea watanzania na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.