Tulipo si pazuri sana, tunahitaji ukombozi wa kweli wa Nchi hii. Ili kufanikisha ukombozi huo, naomba kumwalika kila kila Mtanzania kwa nafasi yake afanye kila linalowezekana kufanikisha ukombozi huu.
Wewe kama ni Askari, mwanasheria, Daktari, Mwalimu, mkulima, Kiongozi wa Dini, Kiongozi wa...