kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SankaraBoukaka

    PreGE2025 Yawezekana Boniface Mwangi na Agather Atuhaire wakawa waongo, ila Mbunge aliyesema "Walitakiwa warudishwe wakiwa kwenye gesi" kachukuliwa hatua gani?

    Mjadala mkubwa kwa sasa ni habari zinazowahusu Boniface Mwangi kutoka Kenya na Agather Atuhaire kutoka Uganda walipokuwa Tanzania. Wakati serikali ilikanusha madai ya ukiukwaji wa haki zao, baadhi ya raia na mashirika ya kiraia walitilia shaka mazingira ya tukio hilo. Lakini hata kama...
  2. Erythrocyte

    PreGE2025 Mikumi: Umati wa Wananchi wahudhuria Mkutano wa No Reforms No Election, Shughuli zasimama kwa muda

    Hii ni saa 7 Mchana leo hii na hapa ni kata ya Ruaha. Umati wa Wananchi wahudhuria Mkutano wa No Reforms No Election, Shughuli zasimama kwa muda.
  3. Waufukweni

    Askofu Kabigumila: Mungu amenionyesha mwisho wa 'Wasiojulikana' ni mwezi wa Nane 2025

    Askofu Dickson Kabigumila, akihubiri kuhusu hali ya kisiasa na kijamii nchini, amesema kuwa ameonyeshwa na Mungu kuwa kundi linalojulikana kama 'wasiojulikana' litafikia mwisho wake ifikapo mwezi wa nane mwaka 2025.
  4. Waufukweni

    PreGE2025 John Heche: Siku hizi mtu akikohoa utasikia 'Kikohozi cha Mama!', ukisikiliza mambo yanayosemwa kuhusu Rais Samia, utadhani tuko Marekani au Uingereza

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, akiwa mkoani Morogoro katika ziara ya oparesheni, amesema: "Bila mabadiliko hakuna Uchaguzi, ndiyo oparesheni ya Chama chetu." Ameeleza kuwa: "Nchi hii imejaa propaganda, nchi imejaa uongo, vyombo vya habari...
  5. Benson Mramba

    Dola na CCM wanaweza kuua Tasnia ya Siasa(Political Industry) pamoja na uwekezaji mkubwa uliokwishafanyika

    Tangu kuanzishwa mfumo wa vyama vingi serikali kupitia mapato ya ndani pamoja na fedha za wahisani Imewekeza mabilioni ya dola na na matrilioni ya shilingi kwenye tasnia ya siasa ili kuikuza, kuiimarisha kwa maslahi ya Taifa. Uwekezaji huo upo katika maeneo mengi sana mathalani 1. Tuzuku kwa...
  6. The Burning Spear

    Ukweli ni kwamba Chadema wanaona Mbali sana,Tume huru ya uchaguzi itatupatia viongozi wawajibikaji na wenye kuheshimu wapiga kura

    Rasmi sasa kile chadema wanahubiri CCM wameanza kuelwa ila sema tu ndiyo hivyo. Jamani mwenye wimbo wa kanyagakanyaga CCM ni waongo atupoie hapa,
  7. B

    PreGE2025 Mbunge Tauhida aliyetuita Kenge kasoma O-level kwa miaka 16 na kasoma Diploma na form 5 na 6 wakati mmoja. Bunge the math ain't mathing!

    Aloooooo hii ni nomaaa, yaani huyu ndio akapata na nguvu za kutuita sisi kenge? Kweli? Wizara ya Elimu embu njooni mtuambie hapa, hivi mtu anaweza kusoma form four miaka 16? Wachaaa banaaa! Hapo akapata cheti na akaenda shule nyingine akapata cheti pia, haya ni maajabu! Hajaishia hapo akapiga...
  8. Erythrocyte

    PreGE2025 Utapeli wa CHAUMMA wagonga mwamba, Chadema haijawahi kuwa na ofisi wanayodai kuibadili jina, Hii ni aibu kwao

    Taarifa ya Chadema hii hapa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara, Mwalimu Chacha Heche, amesema chama hicho hakina ofisi (iliyotajwa kwamba ilikuwa yao na kisha kuchukuliwa na CHAUMMA) bali kwa sasa wanamiliki majengo yao na wapo kwenye ofisi zao, na kwamba wanaosema kwamba jengo hilo lilikuwa la...
  9. USSR

    PreGE2025 TARURA Imefanikiwa kuunganisha barabara ya vijiji vya runazi na kabindi iliyokatika kutokana na mvua za masika

    UJENZI WA KUONDOA VIKWAZO KUUNGANISHA BARABARA YA RUNAZI -CHEBITOKE HADI KABINDI . Kipande cha kilomita 2 kati ya 4 ya barabara inayounganisha eneo la kabindi na runazi lilikuwa na changamoto ya kutopitika kipindi cha mvua . Maono ya mbunge wa biharamulo Mh Eng Ezra John Chiwelesa sasa...
  10. F

    Askofu Gwajima unapaswa kupambanua kuwa kauli ya Rais Samia kuhusu "Dini za Kishetani" haihusu kanisa lako

    Ni wazi kuwa watu wamebaki kuwazawaza kuhusu maneno ya Rais Samia alipowapongeza KKKT kwa kazi nzuri huku akisema "sio kama yule na dini za kishetani". Watu wanaweza kufikiri alikuwa anamzungumzia Gwajima na Kanisa lake. Sasa ni vyema askofu Gwajima akajibu hili na kuondoa dhana hii kuhusu...
  11. Tajiri wa kinyankole

    PreGE2025 Anaye tufaa kuwa rais amefungwa na wanaotaka wachaguliwe wanaita watu mashetani na huku utekaji ukitamalaki nchini

    Kimsingi kwa maoni yangu TUNDU LISU alikuwa anatufaa katika nyakati hizi sababu kubwa ni kwamba waliopo madarakani sasa hivi ukikosoa unaitwa mhalifu na kutekwa. Watu wengi ambao wameikosoa serikali ya wawamu ya sita kwa ujasiri kwa sasa wengi wamepotea! Nachojiuliza askofu Gwajima kukemea...
  12. Erythrocyte

    Ifakara: No Reforms No Election yapokelewa kwa Kishindo, Wananchi Wakubaliana na Hoja zote za Chadema

    Tuliapa Tangu Mapema sana kwamba, hakuna kijiji kitakachoachwa, na hoja yetu ni ile ile ya kuepusha mauaji kwa sababu za Uchaguzi, na kwamba bila Mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi. Ni heri wafanye watakavyo lakini uhai wa wananchi uwe salama. Kampeni ya Chadema imekuwa Rahisi sana kwa sababu...
  13. mshale21

    SI KWELI PreGE2025 Rais Samia amtaka Gwajima asimjaribu

    Kuna maneno yanazunguka mitandaoni yakimnukuu Rais Samia akitoa ya moyoni juu ya Gwajima kuwa anatumia kanisa kutakatisha fedha, je maneno haya ni kweli kayasema ? Na kayasemea wapi?
  14. B

    Wakili Kibatala: Waumini 84 wa Gwajima waliokuwa wamekamatwa waachiwa kwa dhamana, 2 bado wanashikiliwa na polisi

    Waumini wamejua kuonesha umoja ambao watanzania wengi tunakosa, inabidi tuchukue mfano huu kutoka kwao. Maelfu kwa maelfu tukikemea uonovu wataweza kukamata nchi nzima? ==== Wakili wa utetezi wa Kanisa la Ufufuo wa Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, Peter Kibatala amesema waumini...
  15. Gabeji

    Baada ya miaka mitano ijayo namwona John Heche mbali sana kwenye siasa za Tanzania

    Jamani kamanda huyu Heche anakitu kikubwa sana juu ya siasa, za kizarendo za Tanzania , huyu ni Azina ya taifa, leo na hata badae. Ana uwezo wa kujenga hoja za kuwagusa watu masikini, lakini huwa anatoa mifano hai, juu namna lasirimali za nchi zinavyoibiwa, na serikali ya ccm...
  16. McLaren

    PreGE2025 Chawa wa CCM Kinondoni: Mama Samia ana moyo wa huruma sana, kuteka maji tu hawezi ndo anaweza kumteka mtu?

    Wakuu, Yaani hawa watu wanasifia hadi wanaharibu. Na huyu anavoonekana hajatumwa. Yaani kaamua tu kusema ili aonekane na watawala apate chochote
  17. M

    PreGE2025 CHAUMMA wanashambulia CHADEMA badala ya CCM imekuwaje tena?

    Nimewasikiliza hawa jamaa naona kama kuna kuchanganyikiwa flani hivi au wana hasira za kutoka CHADEMA kiasi cha kupoteza Dira na kutumia Mikutano yao waliyoiandaa kwa Gharama kubwa kuisakama CHADEMA badala ya CCM, siyo kwamba wanarudia kosa walilofanya ACT? Lengo la Chama chochote cha Siasa ni...
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Kina Mama Ulanga, washika mabango yenye ujumbe 'No Reforms, No Election' na 'Tundu Lissu sio Mhaini'

    Kina Mama washika mabango yenye ujumbe wa "No Reforms, No Election" na "Tundu Lissu Sio Mhaini" katika Kata ya Minepa Kivukoni, Wilaya ya Ulanga, wakionesha msimamo wao dhidi ya kile walichokiita hali ya ukandamizaji wa kisiasa na ukosefu wa haki katika mfumo wa uchaguzi nchini kwenye mwendelezo...
  19. Waufukweni

    PreGE2025 Moto wa No Reforms No Election watinga Igima, Mlimba. Wananchi waitika, Heche aongoza Tone Tone

    Moto wa 'No Reforms No Election' wazidi kushika kasi, tazama Mkutano wa saa 4 asubuhi leo Juni 5, Kata ya Igima, Jimbo la Mlimba (Morogoro), uliohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa John Heche ikiwa ni siku ya Kwanza ya Uzinduzi wa operation ya No Refoms no Election Kanda ya Kati.
  20. Waufukweni

    PreGE2025 Iliyokuwa ofisi ya CHADEMA Mara, sasa ni ofisi ya CHAUMMA

    Ofisi iliyokuwa ikimilikiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), mkoa wa Mara, imebadilishwa na kuwa Ofisi ya Chama Cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA). Awali ofisi hiyo kwa nje ilikuwa imeandikwa kwa maandishi makubwa CHADEMA sasa inasomeka kwa maandishi hayohayo makubwa lakini kwa jina...
Back
Top Bottom