Aliyekuwa mbunge wa Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro, Priscus Tarimo amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge katika jimbo hilo.
Tarimo amechukua fomu hiyo leo Jumapili Juni 29,2025 katika ofisi za CCM Moshi Mjini na kukakabidhiwa na kaimu Katibu wa CCM wilayani humo, Hilary Kipingi.
Niwashauri vijana wenzangu. Kama hela yako ni ungaungamwana tafadhali sana nenda kaongeze mtaji kwenye biashara yako, kawape maskini au kampe mamaako atakuombea na kukukumbuka daima.
Mimi nimeshiriki uchaguzi ngazi za mkoa, jimbo na wilaya nimwanachama hai wa ccm na sina mpango wa kuhama,maana...
vijana mnaojitafuta na msio na ajira ndo mkabahatishe hukoo pa kupunguzia maumivu walau,Posho si habaaa.
Maisha yapo kasi sana isee,enzi zetu barua moja tu ya kujieleza unakwenda kusimamia.Hii naona wamedai wadhamini tena wawe na NIDA😅😅 na unaeomba uandike wasifu(CV) na mavyet yenu ya shule na...
“Hatari sana kuna mwenzetu amepigwa rungu amezimia kisa ameabudu hatujafanya fujo yoyote sio mwizi anataka haki yake ya kuabudu tunanyimwa uhuru wa kubudu katika taifa huru”
Ni maneno ya muumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (hakuwa tayari kutaja jina lake) ambaye alikua miongoni mwa waliokuwa...
Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) imesema imetandaza maafisa wake kila sehemu kuhakikisha wanafatilia kwa karibu mchakato wa watia nia ya kugombea nafasi za uongozi kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025
Akizungumza na wasafi media Mkurugenzi Mkuu wa ZAECA Ali Abdalla...
Mbunge anayemaliza muda wake wa jimbo la Arusha mjini na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa huo Mrisho Gambo @mrisho_gambo amechukua tena fomu ya kuwania nafasi ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi @ccmtanzania kuwa Mgombea wa Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania utakaofanyika baadae...
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wa CHADEMA kukihama Chama hicho. Chanzo ni ni?.
(1) Njaa. Wengi wa wanachama walifikiria kuwa Chama hicho kitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu. CHADEMA walipokuja na Kaulimbiu ya NO REFORM NO ELECTION wachache wenye njaa wakaona kukaa muda wa miaka...
Wakuu,
Kwenye heka heka na Polisi leo, muumini wa Kanisa la Gwajima ameonekana akiwa ameumizwa maeneo ya kichwani baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Polisi. Yaani damu zinatirirka kama maji waku
Kama mnamsikia hapo kuna muumini anasema "Samia utalipa damu hii. Mama Samia popote ulipo, damu...
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Asia Abdallah (@asiyahabdallah), Juni 28, 2025, amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo, Asia Abdallah amesema...
Wakuu,
Kwa sasa jimbo hilo halina Mbunge baada ya aliyekuwapo Dk Tulia Ackson kutangaza kugombea Jimbo jipya la Uyole katika uchaguzi mkuu ujao.
Mpaka sasa makada watano wa CCM, wametia nia kulitaka jimbo hilo wakiwa ni Nsomba, Mwandishi wa Habari, Charles Mwakipesile, aliyewahi kuwa...
Wakuu,
Yaani CCM ukiwa unapumua tu basi hiyo ni qualification tosha ya kuchukua fomu.
Mjasiriamali na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mboni Masimba amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuwania ubunge wa Viti Maalumu kupitia Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Tanga.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatuma Abdallah Kange, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya GS1 Tanzania na Mjumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Dar es Salaam, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Same Magharibi, mkoani Kilimanjaro.
Amesema dhamira yake kuu ni kutatua...
Kiongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kugombea ubunge Muleba Kaskazini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Muhalila amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 29, 2025 na Katibu wa chama hicho, Wilaya ya Muleba, Agness Kasela.
Source: Mwananchi
Wakuu
Kumbe huyu jamaa alikuwa serious kuhusu kuchukua fomu na kugombea Ubunge wa Kigoma Mjini
Naona leo amewasili mkoa wa kigoma kwaajili ya kukamilisha hatua za uchukuaji wa fomu za kutia nia ya kugombea ubunge kigoma mjini kupitia tiketi ya CCM
Yaani mtu anaishi Dar lakini anaenda kugombea...
Dr. Wilson Mahera Charles, alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha Magufuli, Samia alipoingia akampa cheo cha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Kaiacha hiyo kazi kaenda kwenye mchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania kuteuliwa...
Niliwahi kusikia watu wengi wanaochukua fomu za kugombea iwe ubunge wa Tanzania, Africa Mashariki, uspika au hata vyeo vikubwa ndani ya CCM huwa hata hawaamaanishi kupata hizo nafasi kwa wakati huo. Kwamba wengi wa watia nia huwa wanajua wazi hawawezi kutoboa mbele ya vigogo wanaojulikana mapema...
Wakuu,
Mchakato wa uchukuaji fomu unaendelea Huyu dada anaitwa Grace Saulo Mali yeye alishawahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mkoa wa Kilimanjaro na pia alishawahi kuwania ubunge wa Bunge wa Bunge la Afrika kupitia CCM
Naona hata huko miandaoni pia ni maarufu sana.
Huyu...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo kwa humu jf, nimeweka hoja na swali "Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!, Kwa Aliyoyafanya, Anastahili Pongezi na Shukrani Stahiki!. Watanzania Wenye Shukrani Tumshukuru au Bado?".
Juzi Ijumaa nimemsikiliza kwa makini...
Wakuu,
Mchakato wa uchukuaji fomu unaendelea
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Abdallah Sagini amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge kwa awamu ya pili kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Butiama Mary Kananda jana Juni 28, 2025.
==
TAFITI zinaonesha umasikini wa mtanzania zaidi upo Vijijini, Rais Samia ameongeza Bajeti ya Kilimo mara nne (4) kutoka TZS294bn mpaka TZS1,200bn na hivyo kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka tani 678,017 mpaka tani 1,200,000.
Rais Samia ameongeza bajeti ya Kilimo kutoka TZS 294bn mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.