Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion na Mkurugenzi wa Makunduchi Villa Mohamed Haji, leo Juni 29, 2025 amechukua fomu ya nafasi ya ubunge wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CCM Wilaya ya Kigamboni, Mohamed...
Katika kuimarisha Chama pamoja kurahisisha utendaji wa shughuli za chama, Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Pwani Mhe Subira Mgalu amewezesha Jumuiya ya Wanawake UWT wilaya ya Bagamoyo Gari mpya aina ya Noah.
Gari hiyo imekabidhiwa na Mwenyekiti wa UWT na Mjumbe wa Kamati kuu Taifa Mary Chatanda...
Juni 29, 2025 majira ya saa 4 asubuhi Mwl. Mbelwa Petro amewasili ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM} kata ya Ruziba na kuchukua fomu ya kuwania kiti cha udiwani katika kata hiyo.
Kada huyo wa chama cha mapinduzi mara baada ya kukabidhiwa fomu na Katibu wa CCM kata ya Ruziba, Cde. Erasto J...
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 (GE2025), taifa letu linakabiliwa na maswali magumu kuhusu hatima ya demokrasia, uwajibikaji na uadilifu wa kisiasa. Kwa zaidi ya miongo sita, mfumo wetu wa vyama vingi umeendelea kuwa kivuli cha demokrasia, huku vyama tawala vikigeuza dola kuwa chombo cha...
0-0Wapambe wa demokrasia, kwenye Ilani ya CCM ya 2020–2025 kulikuwapo kipengele kilidhamiria kuunda ajira milioni 7 kwa vijana kupitia empowerment, training na access to low‑interest loans lakini hadi sasa, yawapo jobless wengi; young people wengi bado hawajafikiwa.
209-1Zaidi, kulikuwapo...
Kada machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Jamal Mangu, leo Juni 29, 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Nyang’hwale, lililopo wilayani Nyang’hwale, mkoa wa Geita.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025...
Mwandishi mkongwe wa habari nchini, Abdallah Idrissa Majura, leo amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge kwa tiketi ya chama hicho kwenye Jimbo la Dimani Zanzibar.
Rose Fidelis Temu Kiongozi wa UVCCM kwa nafasi ya Katibu Hamasa na Chipukizi Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro amechukua fomu yakuomba ridhaa yakugombea Ubunge Viti maalumu Kundi la Vijana.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Aliyemkabidhi fomu hiyo ni Ahmed...
Baba Levo achakua fomu ya ubunge, je unafikiri kuna haja ya kurekebisha utaratibu na sifa za mtu kuwa mbunge asiwe mtu yoyote tu awanie ubunge ?
Uwepo wa wabunge wasio na uwezo unaweza kupelekea bunge kuwa dhaifu. na nchi kuwa na mwelekeo mbovu ikiwemo kisheria, kiuchumi, kielimu, kutokuwepo...
Salam wana wataalam wa masuala ya siasa. Dr. Mauki ametoa maoni yake kuhusu watia nia nafasi mbalimbali kupitia ukurasa wake wa Instagram. Unafikiri hoja yake ina mashiko? Jisomee mwenyewe kwenye picha.
Ukitaka kujua kuwa hatuko siriaz na umuhimu na sensitiveness ya maamuzi yahusuyo maendeleo...
Wakati zoezi la uchukuaji wa fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge kwa makada wa Chama cha Mapinduzi likifika siku ya pili Kada wa Chama cha Mapinduzi Nicolaus Chichake amechukua kuomba ridhaa kwa Jimbo la Tarime Vijijini Mkoani Mara.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu katika Ofsi za...
Siku chache baada ya kutangaza kuhamia Chama Cha Mapinduzi, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Sophia Mwakagenda leo Juni 29, 2025 amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge katika Jimbo la Rungwe kupitia CCM.
Pia soma
Pre GE2025 - Mbunge Sophia Mwakagenda atangaza...
Chama cha ACT Wazalendo kimezindua rasmi Operesheni MajiMaji, kampeni maalum inayolenga kuwaamsha Watanzania kulinda thamani ya kura zao kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Operesheni hiyo itafanyika nchi nzima kuanzia Julai 1 hadi Julai 15, 2025, ikiongozwa na viongozi wakuu wa chama hicho...
Salha Mwinjuma Achukua Fomu ya Uwakilishi Viti Maalum Kundi la Vijana.
Amechukua fomu 28.06.2025 katika ofisi za UVCCM Mkoa wa Kusini Unguja.
Source: Bongo 5
DHANA YA VITI MAALUM NA NAFASI YA KWELI YA MWANAMKE KWENYE SIASA
Wakati huu ambapo TANZANIA inajivunia kuwa na viongozi wa ngazi ya juu kabisa ambao ni wanawake – Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan na Mheshimiwa Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson – tunapaswa kujiuliza kwa dhati: je, bado kuna...
Aliyekuwa Mshindi wa Pili MNEC mwaka 2022 Walter Rishaeli Nnko, Leo June 29 amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo la Kibamba lililopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es salaam.
Nnko amesema anamshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Mhandisi Edson Ngabo June 28,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) kuteuliwa kuwania nafasi ya ubunge Jimbo la Ileje katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba 2025.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo Mhandisi Ngabo amesema ana nia ya dhati kuwatumikia Wana Ileje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.