kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    PreGE2025 Deusdedith Katwale amechukua fomu ya kugombea ubunge Chato Kusini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)

    Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Tabora Manispaa Deusdedith Katwale amechukua fomu ya kugombea ubunge Chato Kusini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Source: Clouds TV
  2. M

    GE2025 Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Nakuomba Sana, Majina Matatu Kura za Maoni Hayatoshi, Napendekeza Wagombea Sita Waingie Kwenye Mpambano Badala 3

    Kumekuwa na mambo mkubwa sana wa makada kujitokeza kuchukua fomu leo, nna wasiwasi sana wajumbe wa kamati za siasa za kata na wilaya huenda zikafanya upendeleo kwa wajumbe kwa kuwapa maksi wale wanaowapenda ili washike nafasi 3 za juu na kisha majina yao yaende Dodoma yarudi hayo, najua fomu...
  3. W

    PreGE2025 Dkt. David Mathayo anayemalizia ubunge wake jimbo la Same Magharibi achukua fomu tena

    MBUNGE wa Jimbo la Same magharibi mkoani Kilimanjaro, Dkt. David Mathayo amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika jimbo hilo kwa awamu nyingine. Mbunge huyo ambaye ameongoza kwa vipindi 4 mfulizo amedai kuwa anataka kuendeleza alipoishia katika kuwaletea wananchi maendeleo. Mathayo alifika...
  4. W

    PreGE2025 Falmeo Mahenge amejitosa kwenye kinyang'anyiro cha kuomba kuteuliwa kuwa mgombea udiwani wa kata ya Iwawa, Njombe

    Mwanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) Falmeo Mahenge amejitosa kwenye kinyang'anyiro cha kuomba kuteuliwa kuwa mgombea udiwani wa kata ya Iwawa wilayani Makete mkoani Njombe Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Mahenge amechukua fomu leo Juni 28,2025 ili...
  5. DuaZaMama

    GE2025 Sheikh Hameed: Kachukueni fomu isipokuwa ile ya mwisho ya Rais Samia

    Wakati taifa likielekea katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, Waislam nchini wamehimizwa kuchukua fomu katika vyama vyao vya siasa na kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Rai hiyo imetolewa na Imam wa Msikiti wa Manyema, Dar es Salaam, Sheikh Hameed...
  6. Erythrocyte

    PreGE2025 Ni lini Halima Mdee atachukua fomu ya kuwania Ubunge kupitia Chama chake cha CCM?

    Mwanaccm Mwenzake Easter Bulaya tayari kishachukua fomu Bunda Mjini, Yeye anasubiri nini? Wengi wanadhani huenda akajitosa Siku ya Jumatatu katika Jimbo ambalo halijawekwa Wazi. Ngoja tusubiri ili tuone itakuwaje
  7. W

    GE2025 Kinje achukua fomu kugombea ubunge Kilwa Kaskazini

    Kada wa chama cha Mapinduzi(CCM) Ndugu Kinjekitile Ngombale Mwiru Leo amechukua fomu za kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kilwa Kaskazini. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
  8. W

    GE2025 Prof. Mkenda aitaka Rombo tena, achukua fomu kupitia CCM

    Prof. Adolf Mkenda Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Rombo, Massoud MeliMeli
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Emmanuel Mwakasaka kuwania tena ubunge jimbo la Tabora Mjini

    Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka amejitokeza leo kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kuwania Ubunge wa jimbo hilo kwa mara nyingine tena. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Mwakasaka ni mbunge wa Jimbo la...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Halima achukua fomu ubunge wa viti maalumu kundi la wafanyakazi

    Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT) Taifa, Halima Nassor amechukua fomu kuwania Ubunge Viti Maalumu kundi la Wafanyakazi. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Halima ambaye...
  11. W

    PreGE2025 Ahmed Shabiby ambaye anamaliza muda wake amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Gairo

    Mbunge wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro Ahmed Shabiby ambaye anamaliza muda wake amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Gairo. Shabiby ambaye ndiye aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo amechukua fomu mapema leo Juni 28. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu...
  12. Just Pray

    PreGE2025 Mbunge wa Jackson Kiswaga achukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea kwa awamu nyingine

    Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mhe Jackson Kiswaga amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea kwa awamu nyingine ubunge katika jimbo hilo. Mhe Kiswaga amechukua fomu hii leo June 28, 2025 siku moja baada ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kulihutubia bunge na kutangaza kulivunja rasmi Agosti 3...
  13. Just Pray

    PreGE2025 Mwenyekiti Moshi Vijijini, Yuvenal Shirima achukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi Vijijini, Yuvenal Shirima, (Kwenye Picha Kulia) amejitokeza rasmi kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro. Hatua hiyo inafuatia barua aliyoiandikia chama chake, CCM, siku chache...
  14. W

    GE2025 Aliyekuwa Katibu wa Rais Magufuli, Ngussa Samike ajitosa kuwania ubunge jimbo la Sengerema

    Aliyekuwa Katibu wa Rais wa awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Ndugu Ngussa Samike leo Jumamosi Juni 28, 2025 amechukua Fomu ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya kuomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya Chama hicho kwenye Kinyang'anyiro cha Ubunge, Jimbo la Sengerema Mkoani Mwanza katika...
  15. Just Pray

    PreGE2025 Borondo Zacharia Chacha, achukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kigamboni

    Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Borondo Zacharia Chacha, amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kigamboni. Akizungumza baada ya kuchukua fomu, Chacha amesema hatua hiyo ni dhamira yake thabiti ya kulinda maslahi ya wananchi wa Kigamboni na kuleta mabadiliko chanya katika...
  16. Just Pray

    PreGE2025 Abdallah Said Kirungu achukua fomu CCM kutia nia kugombea ubunge jimbo la Ulanga

    Mapema leo Abdallah Said Kirungu alifika Ofisi za CCM Wilaya ya Ulanga iliyopo mkoani Morogoro kwa ajili ya kuchukua fomu ya kutia nia ya ubunge katika Jimbo la Ulanga.
  17. Waufukweni

    GE2025 Meijo Laizer ajitosa kugombea Ubunge Siha kupitia CCM, kuchuana na Agrey Mwanri

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Siha, Meijo Loloinyo Laizer, leo Juni 28, 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge wa Jimbo la Siha kupitia chama hicho. Meijo, ambaye pia ni mmoja wa waliowahi kuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC)...
  18. B

    GE2025 Mussa Zungu atia nia kugombea ubunge jimbo la Ilala

    Mussa Zungu, alikuwa Mbunge wa Jimbo la Ilala na Naibu Spika amechukua fomu kuomba nafasi kwa mara nyingine kwenye jimbo hilo la Ilala. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara...
  19. Just Pray

    PreGE2025 Patali S Patali achukua fomu kutia nia kuwania ubunge jimbo la Mbeya Vijijini

    Wakati mchakato wa kuchukua fomu Kwa ajili ya kugombea nafasi mbali mbali za uongozi katika ngazi ya Uraisi, ubunge na udiwani kwenye Uchaguzi unaotarajia kufanyika octoba mwaka huu, watu mbalimbali wamejitokeza katika zoezi Hilo lililoanza Leo June 28. Patali Shida Patali ambaye ni mjumbe wa...
  20. Waufukweni

    PreGE2025 Aliyewahi kuwa RC Tabora, Agrey Mwanri aitaka Siha, asema Bungeni hawaendi kina Tyson

    Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi CCM ili kugombea ubunge jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro. Mwanry amechukua Fomu hiyo mapema leo Asubuhi akiwa ameambatana na mkewe. "Wanadai mimi ni mzee, Bungeni hawaendi...
Back
Top Bottom