Hali si shwari kwa Mbunge wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Dkt Charles Kimei (CCM) baada ya baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kuanza kuhoji mambo mbalimbali zikiwemo ahadi zake wakati akiomba kura mwaka 2020.
Wananchi pia wanamlalamikia mbunge huyo kuwa haonekani jimboni kutatua changamoto...