kueleka 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kyambamasimbi

    PreGE2025 Kutoka Makongolosi: Mhe. Lissu Hana hoja za kuwashawishi wananchi kumchagua in short Hana mvuto kisiasa

    Jana nilibahatika kuhudhuria mkutana wa Mhe. Lissu ukweli hoja Hana kuwashawishi wananchi kumchagua ama kuchafua upinzani nashauri wajipange upya. Nilidhani angezumzia changamoto zinazogusa watu moja kwa moja lakini yeye anazungumzi Sheria za uchaguzi, kwanza umma inatakiwa utambua changamoto...
  2. Inside10

    PreGE2025 Rais Samia aahidi Milioni 30, ukarabati wa Kanisa Geita

    Mtoto wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul Halim Hafidah Ameir ameahidi kutoa Tsh. Milioni 30 kwenye harambee iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mtanzania anayeishi Dubai aatua Tanzania kwa ajili ya kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura

    Mtanzania JACKSONBILLZ aishie Dubai, mapema leo hii, Machi 30, 2025 ametua Tanzania kwa lengo la kuja kujiandikisha kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wasira: Mimi niliwaambia tuzungumze, Tundu Lissu akasema tutawapotezea muda

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 MNEC Ndele Mwaselela: Rais Samia ameendelea kuleta na kukuza vipaji vya viongozi vijana ndani ya Chama na Serikali

    Mjumbe wa Halmashauri kuu Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka Mkoa wa Mbeya Ndele Mwaselela amesema Rais wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuleta na kukuza vipaji vya viongozi vijana ndani ya Chama na Serikali. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  6. Ojuolegbha

    Karibu katika muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan katika wiki hii

    Karibu katika muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii.
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Tundu Lissu: CHADEMA haihofi uchaguzi, tunataka mabadiliko ya mfumo

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema madai yanayotolewa kwamba chama hicho kinaogopa uchaguzi hayana ukweli wowote na kusisitiza kwamba wanachotaka ni mabadiliko katika mfumo wa uchaguzi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  8. Lord Denning

    PreGE2025 Ukitaka kujua CCM ni wajinga, No Reform No Election ni kwa Faida yao na Taifa ila wanaikataa!

    Ukitaka kujua CCM ni wajinga sana ni uhalisia kwamba, Kampeni wanayoipinga ya No Reform No Election, kimsingi inawasaidia wao zaidi na inafaida kwao na kwa Taifa. Kampeni ya No Reform No Election ina faida zifuatazo kwa CCM na Taifa kwa ujumla; 1. Endapo Uchaguzi utahairishwa, Utawala wa Awamu...
  9. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Zitto Kabwe awaasa watanzania kuwa tayari kufa kidogo kwaajili ya Mfumo Mpya wa Uchaguzi, asema si lazima manufaa tuyapate sisi

    Allah Akbar !!... Ule wakati Sasa unakaribia Ni Mwanasiasa Nguri , Mwenye Misimamo Mkali na aliyeamua kua sehem ya historia ya Mabadiliko , Zitto Kabwe, akinukuu Maandiko Matakatifu Toka katika Quran Takatifu , amewasihi Watanzania wote nchini kua katika kuyatafuta mabadiliko ya kweli na...
  10. Bhikalamba

    PreGE2025 Lissu! No reforms no election ni sawa lakini zingatia haya

    Katika kipindi Cha hivi karibuni Chadema wamezindua kampeni ya 'No reform -No election' (NRNE). Lissu kama mwenyekiti na icon ya chama amejikita zaidi kuelezea ubovu wa katiba na Sheria mbovu za uchaguzi, zinazopekelea kutokuwa na chaguzi zilizo Huru na Haki (free and fair elections). Hili ni...
  11. Crocodiletooth

    PreGE2025 Siasa zetu ziwe na mipaka yake, mwanasiasa anapotamka jambo la uongo, sheria ichukue mkondo wake!

    Naomba na kuipigia magoti serekali yetu juu ya wanasiasa kutamka mambo ya uongo hadharani yenye nia ya kudanganya umma basi sheria kali zichukuwe mkondo wake mara moja Bila huruma yoyote, Nimesikitishwa sana na matamshi ya HECHE, kuusiana na uwanja wa ndege wa kilimanjaro ya kuwa umechukuliwa...
  12. Dalton elijah

    PreGE2025 NCCR – Mageuzi kimemtangaza Haji Ambar Khamis kuwa Mwenyekiti Taifa, wasema watashiriki uchaguzi

    Chama cha NCCR – Mageuzi kimemtangaza mwanachama wake Haji Ambar Khamis kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Taifa huku Joseph Selasin akichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya taifa. Mbali ya uchaguzi wa waili hao kushika hatamu za uongozi pia NCCR – Mageuzi imewatangaza wawili hao...
  13. peno hasegawa

    PreGE2025 Kura za Maoni ndani ya CCM na Changamoto za Mkurugenzi wa Kampuni ya Visima vya kuuza Mafuta Moshi Manispaa

    Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, mkurugenzi wa kampuni ya kuuza mafuta katika mji wa Moshi Manispaa anatarajiwa kuwa na jukumu muhimu katika kampeni za chama cha CCM. Hata hivyo, kuna hofu kubwa kuhusu athari za matokeo ya uchaguzi huu katika maisha yake binafsi na afya yake. Mkurugenzi...
  14. Lord Denning

    PreGE2025 Ukweli mchungu: Tusahau maendeleo ya kweli wakiendelea kutuongoza CCM

    Wakati deni la Taifa linakua kwa kasi ya kutisha, ukweli ni kwamba; 1. Watoto wetu bado wanasoma kwenye shule zenye miundombinu duni sana huku elimu yao ikiwa haijengi kesho bora kwao kwenye dunia hii ya ushindani, 2. Miradi ya maendeleo si barabara, si majengo inajengwa chini ya viwango kwa...
  15. Erythrocyte

    PreGE2025 No Reform No Election yapokelewa kwa kishindo Jimbo la Lupa, Wananchi waamua kwenda na Msimamo wa Chadema

    Kampeni Tukufu ya No Reform No Election imeingia Jimbo la Lupa, Mkoani Mbeya na kupokelewa na Maelfu ya Wananchi. Elimu kabambe imetolewa kiasi cha Wananchi wote kukubali kwamba sasa ni lazima kwenda na Mkakati wa Chadema ili kuepuka mauaji ya Wagombea wa Upinzani Awali Mwenyekiti wa Kanda...
  16. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwenyekiti CCM Tanga aonya wanaotaka kuvuruga amani mkoani humo, asema wainge kwa adabu zao

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Rajabu Abdallah amewataka wanasiasa wa mkoa huo na wageni wanaoingia kuhakikisha wanalinda amani iliyopo kwa kuacha siasa ambazo zinaweza kuleta uvunjifu wa amani. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025...
  17. Bams

    PreGE2025 CHADEMA andaeni Mkutano maalum wa kuwatangaza maadui wakuu wa Demokrasia na Taifa

    CHADEMA na hata ACT Wazalendo kila mara wamemtaja hayati Magufuli ndiye aliyeharibu demokrasia na haki za watu, LAKINI kuendelea kumsema marehemu ni kupoteza muda. Maana hata kama ikiwa ni kweli, marehemu huwa haadhibiwi. Tuangalie waliopo. Ni ukweli ulio wazi kuwa uchaguzi wa 2024 ulikiwa wa...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wanavyuo wa kampeni ya ‘mama asemewe’ wafanya matembezi, waweka maazimio uchaguzi mkuu 2025

    Maelfu ya wanavyuo wa Kampeni ya Mama Asemewe kutoka vyuo mbalimbali mkoani Dodoma wamefanya matembezi maalum kwa ajili ya kuweka maazimio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Matembezi hayo yamefanyika chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama asemewe ya Ndg. Geofrey Kiliba...
  19. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Zitto: Hatutaki Ma-DED, vyombo vya ulinzi na usalama kuingilia uchaguzi kwa sababu huu ni uchaguzi wa wote, si uchaguzi wa CCM

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesisitiza umuhimu wa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, akieleza kuwa haiwezekani uchaguzi kuwa huru na wa haki chini ya mfumo wa sasa. Akizungumza Jumamosi, Machi 29, 2025, Lindi Mjini mkoani Lindi, Zitto amesema kuwa ACT Wazalendo...
  20. Dalton elijah

    PreGE2025 Katibu wa CHADEMA Jimbo la Iringa Mjini ajiunga na CCM

    Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Iringa Mjini, Pascal Chibala amehamia na kutangazwa rasmi kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Chibala ameeleza kuwa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi unaofanywa na CCM ni sababu kubwa ya kumfanya ahamie chama hicho kwani...
Back
Top Bottom