kueleka 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    PreGE2025 Uchaguzi 2025 Mungu akipenda nitagombea ubunge jimbo la Ilemela Mwanza

    Japokuwa nipo Igunga kwa shughuli za kibiashara Lakini mimi kwetu ni Mwanza . Kwa Sasa ni jimbo la Ilemela. Nalifahamu hili jimbo kwa mapana maana nimezaliwa na kukulia huko. Nitawatumikia watu wa Ilemela kwa moyo kunjufu. Sitatoa rushwa wala hongo. Najitambua mimi ni mchapa kazi. Jambo...
  2. S

    PreGE2025 Unadhani ni nani ndani ya CCM angekuwa na baraka za Magufuli kurithi uraisi kama angemaliza awamu mbili bila kufa?

    Hivi umewahi kujiuliza, ikiwa Magufuli angeishi hadi kumaliza awamu zake mbili za miaka 10 ya uraisi, angemuandaa nani ndani ya CCM ili awe mrithi wake wa kiti cha uraisi? Nimekuwa nikiwafikiria watu kadhaa na kukata mashauri yafuatayo; Makamu wake wa Raisi, Samia - hapa hakuna kabisa hata...
  3. The Khoisan

    PreGE2025 Kuelekea Uchaguzi Mkuu; Sasa ni Wakati wa Muafaka wa Kuwatofautisha CHAWA n VIRUS

    Toka Maza ameinhia madarakani kumeibuka Wapambe na Washabiki wakubwa wa Mama pamoja na CCM kwa jina Maarufu wanafahakika kama CHAWA. Lakini ukiangalia kwa jicho la pili siyo kuwa hawa wote ni chawa wa kweli. Chawa wa kweli wapo kwa kazi moja tu, kuhakikisha kuwa Maza anaendelea kuongoza. Design...
  4. J

    PreGE2025 Shekhe huko Kilwa Kivinje azungumza kwa uchungu kudai Reforms

    Kuna DHULUMA kubwa sana CCM wamewatendea wananchi. Msikilizeni alichokisema huyu Shekhe wa Kilwa Kivinje ktk mkutano wa Chadema. Kwa kweli Reforms,haswa katika masuala ya uchaguzi, haziepukiki. https://www.youtube.com/watch?v=KT79ZLXBHi4
  5. ACT Wazalendo

    PreGE2025 Mchinjita: Mwaka 2025 ni Mwaka wa Mabadiliko

    Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Bwana Isihaka Mchinjita amesema mwaka 2025 ni mwaka kuhakikisha kuwa vijana wa Tanzania hawatalia tena kutokana na ukosefu wa ajira na unyonyaji kazini. Maneno hayo ameyasema leo Aprili 04, 2025 katika...
  6. R

    PreGE2025 No reform no election inafaida nyingi kwa wana CCM wasiokuwa na God father wakupitisha majina yao kwenye mchujo

    Mfumo wa CCM wakupata wagombea hautegemei kukubalika kwa wagombea kwa wanachama. Ni mfumo unaotegemea unajipendekeza vipi kwa wakubwa. Mfumo huu umepelekea wanaccm wengi wenye akili na nguvu kuogopa kukisemea chama badala yake wanaokisemea chama kwa sasa ni wana habari, wasanii, baadhi ya...
  7. K

    PreGE2025 LGE2024 CCM Mlikosea sana uchaguzi serikali za mtaa 2024

    1. Mbowe rafiki yenu angekuwepo leo 2. No reform no election isingekuwepo leo 3. Lissu na Heche wasingekuwepo kwenye uwenyekiti leo 4. Chadema Nimo isngekuwepo leo wangekuwa wanasubiri pesa za serikali Kwasababu yamefanywa na Mkwe wetu wa Tamisemi hamsemi lakini ni kosa kubwa kimpangilio. Na...
  8. G

    PreGE2025 Hongera Lissu kwa kuleta mabadiliko ya Uongozi nafasi ya M/kiti ,utatosogeza mahali Ila bado CHADEMA inahitaji kiongozi kumalizia kazi

    Nilijizuia kulisema hili muda mrefu Ila niweke wazi maana naona inazidi kudhirika nilichokuwa naona kuhusu mh Lisu. Kiu yetu kubwa ilikuwa kwanza mabadiliko ndani ya chadema haswa nafasi ya juu ili kufanya Chadema kufanya kazi Kama mfumo sio one man show. Huo ni ushindi mkubwa kwa Lisu wapenda...
  9. R

    PreGE2025 Namna pekee ya chama changu CCM kukabiliana na "No reform no election" ni kufanya uchaguzi kidigitali zaidi!

    Kama upinzani utakomaa na no reform no election ni rasmi vituo vya kupiga kura vya kawaida kutatokea vurugu ambazo zitaharibu utulivu na polisi hawawezi tuliza ghasia vituo vyote nchi nzima! Namna pekee ni kutumia vifaa vya electronic kama sim kupiga kura,yaani Kila raia mwenye sifa za kupiga...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Tundu Lissu: Wanasema ‘No Reform No Election’ unaashiria uasi, na tupo tayari kufanya hivyo

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Tundu Lissu, amesema wako tayari kufanya ‘uasi’ ili kuzuia Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba mwaka huu usifanyike. Lissu ametoa kauli hiyo leo, katika Mkutano kati ya Uongozi wa Juu na Wanachama wenye nia ya kugombea Uongozi mbalimbali...
  11. chiembe

    Baada ya Lissu kugundua hawezi kushinda Urais. Sasa anataka wenzake wanaoweza kushinda ubunge wasigombee ili wakose wote

    Lissu ndicho anachopanga. Kwa hesabu yoyote ameshajua hawezi kushinda Urais. Anachofanya sasa ni kuwafanyia roho mbaya wanaCHADEMA wanaoweza kushinda udiwani na ubunge ili wakose wote. Nadhani ni roho mbaya tu
  12. Lord Denning

    PreGE2025 CCM wamechanganyikiwa. Hali tete sana

    Nimeelezwa na mnyetishaji wangu kuwa kimbunga cha vijukuu wawili wa Mungu, Tundu Lissu na John Heche kimeleta tafrani isiyo ya kawaida huko CCM. Support kubwa waliyopata CHADEMA kwenye mikutano waliyofanya Kanda ya Nyasa tu inasemwa kusababisha watu kulala na viatu huko CCM. Kujitokeza kwa...
  13. Poppy Hatonn

    PreGE2025 Kinachosubiriwa ni CHADEMA wamtangaze mgombea urais

    CHADEMA wakimtangaza mgombea urais,nchi itakuwa tayari kwa Uchaguzi. Lakini badala ya kumtangaza mgombea urais CHADEMA wanafanya utalii mikoani. Halafu Chadema hawana upendo na Umoja katika Chama chao. Hatujaona mass exodus kutoka kwenye Chama kama iliyokuwepo Freeman alipokuwa Mwenyekiti,hata...
  14. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Romanus Mapunda: Tunataka Tundu Lissu ajiuzulu Uenyekiti CHADEMA kwa sababu hakitakii mema chama chetu

    Romanus Mapunda na Team yake watatangaza maandamano wakitaka Tundu Lissu ajiuzulu kwani hakitakii mema chama. Katika maandamano hayo yataanzia mkoa wa Dar es Salaam Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya...
  15. sinza pazuri

    PreGE2025 Lissu acha udikteta, ulipopinga maridhiano hadharani hakuna aliyekufukuza kwenye chama. Wanachama hawaitaki no reform no election

    Maridhiano yalikuwa ni maamuzi ya chama sio Mbowe. No reform No election ni maamuzi ya chama. Lissu ulipinga hadharani maamuzi ya chama kuingia kwenye maridhiano mpaka ukawaita viongozi wenzio wajinga. Leo na wewe vumilia maoni na mitazamo tofauti ya wanachama hiyo ndio demokrasia. Hii tabia...
  16. figganigga

    PreGE2025 Tarehe 03 Aprili 2025 Viongozi Wakuu watakuwa na mkutano na watia wa nafasi ya ubunge wa CHADEMA

    Maandalizi ya mkutano wa viongozi wa Chama Taifa na watia nia wa nafasi ya ubunge katika majimbo mbalimbali nchini yamekamilika katika ukumbi wa Makao Makuu ya Chama, Mikocheni Dar es salaam. Mkutano huo utafanyika kesho tarehe 03 Aprili 2025 na mgeni rasmi akiwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe...
  17. M

    PreGE2025 Nondo: Kigezo cha Ubunge iwe Digrii au Diploma

    Nadhani Mbunge awe na degree au diploma kwa sababu kuna mikataba inaingizwa mule bungeni, usipokuwa na elimu na information za kutosha tutajikuta tunatunga sheria haziendi kuleta maslahi na Ustawi wa wananchi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Sophia Masimba awataka wanaotaka Udiwani na Ubunge Handeni kuacha kuchafuana

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania wilaya ya Handeni Sophia Masimba amewataka makada wanaotarajia kugombea nafasi ya udiwani na ubunge na waliopo madarakani wilayani humo kuacha tabia ya kuchafuana kwa maneno kwa wajumbe ili kupata nafasi ya kugombea. Kupata matukio na taarifa...
  19. S

    PreGE2025 Rais wangu SAMIA: Utashinda, lakini likemee jambo hili na kuwachukulia hatua kali wahusika

    Mimi ni miongoni mwa watanzania wanaokupenda sana, na kukuombea ufanikiwe. Lakini naomba suala la utekaji na mauaji yenye mlengo wa kisiasa ulichukulie uzito mkubwa sana kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Utakumbuka kuwa mwaka ijana uliagiza vyombo vya ulinzi na usalama vichunguze matukio ya watu...
  20. Mganguzi

    PreGE2025 Katibu mkuu CHADEMA hao watia nia mliwapata lini ?na Kwa mchakato gani? Mmepataje akidi yao? mmewapa mwaliko, mmeijuaje idadi yao nchi nzima?

    Tayari viongozi wa juu wa CHADEMA wanaonyesha wanawagombea wao mfukoni !! Ukisema unawaita watia nia unajuaje kwamba Jimbo Moja Lina watia nia wangapi ? Mfano Mimi Niko Jimbo la Ileje na watia nia ileje wako 70 huyo mmoja mliemuita mmempataje? Mimi nachojua watia nia watachujwa kwenye majimbo...
Back
Top Bottom