Kwa miaka kumi ujenzi wa bandari hii kwa ushirikiano wa Oman na china umesuasua
Lakini sasa mambo yameiva na disemba hii ujenzi utaanza, bandari hiyo itakua kubwa kuliko bandari zote kusini mwa saha,itagharimu $10b.
Itakua na kongani za viwanda,makazi ya wafanyakazi wapatao 15k,ni sehemu ya...