korea

Korea is a region in East Asia; since 1945 it has been divided into what are now two distinct sovereign states: North Korea (officially the "Democratic People's Republic of Korea") and South Korea (officially the "Republic of Korea"). Korea consists of the Korean Peninsula, Jeju Island, and several minor islands near the peninsula. It is bordered by China to the northwest and Russia to the northeast. It is separated from Japan to the east by the Korea Strait and the Sea of Japan (East Sea).
During the first half of the 1st millennium, Korea was divided between the three competing states of Goguryeo, Baekje, and Silla, together known as the "Three Kingdoms of Korea". In the second half of the 1st millennium, Silla defeated and conquered Baekje and Goguryeo, leading to the "Unified Silla" period. Meanwhile, Balhae formed in the north, superseding former Goguryeo. Unified Silla eventually collapsed into three separate states due to civil war, ushering in the Later Three Kingdoms. Toward the end of the 1st millennium, Goguryeo was resurrected as Goryeo, which defeated the two other states and unified the Korean Peninsula as a single sovereign state. Around the same time, Balhae collapsed and its last crown prince fled south to Goryeo. Goryeo (also spelled as Koryŏ), whose name developed into the modern exonym "Korea", was a highly cultured state that created the world's first metal movable type in 1234. However, multiple incursions by the Mongol Empire during the 13th century greatly weakened the nation, which eventually agreed to become a vassal state after decades of fighting. Following military resistance under King Gongmin that ended Mongol political influence in Goryeo, severe political strife followed, and Goryeo eventually fell to a coup led by General Yi Seong-gye, who established Joseon in 17 July 1392.
The first 200 years of the Joseon era were marked by relative peace. During this period, the Korean alphabet was created by Sejong the Great in the 15th century and there was increasing influence of Confucianism. During the later part of the dynasty, Korea's isolationist policy earned it the Western nickname of the "Hermit Kingdom". By the late 19th century, the country became the object of imperial design by the Empire of Japan. After the First Sino-Japanese War, despite the Korean Empire's effort to modernize, the country was annexed by Japan in 1910 and ruled by it until the end of World War II in August 1945.
In 1945, the Soviet Union and the United States agreed on the surrender of Japanese forces in Korea in the aftermath of World War II, leaving Korea partitioned along the 38th parallel. The North was under Soviet occupation and the South under U.S. occupation. These circumstances soon became the basis for the division of Korea by the two superpowers, exacerbated by their inability to agree on the terms of Korean independence. The Communist-inspired government in the North received backing from the Soviet Union in opposition to the pro-Western government in the South, leading to Korea's division into two political entities: North Korea (officially the Democratic People's Republic of Korea), and South Korea (officially the Republic of Korea). Tensions between the two resulted in the outbreak of the Korean War in 1950. With involvement by foreign troops, the war ended in a stalemate in 1953, but without a formalized peace treaty. This status contributes to the high tensions that continue to divide the peninsula. Both governments of the two Koreas claim to be the sole legitimate government of the region.

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Hii political science mliisomea China au North Korea? Ila inawatesa CHAUMMA

    Baada ya kuifungia Chadema na kununua Chauma ili mihadae dunia kuwa Tanzania kuna vyama vya upinzani ni mateso makubwa kwa Chauma. Huu ni moja ya mikitano yao ambayo inapokelewa kwa nyomi la kufa mtu.
  2. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Korea Kaskazini sasa ni chanzo muhimu cha silaha kwa Urusi

    Wakati utawala wa Trump unatafakari kuhusu kutuma silaha zaidi kwa Ukraine, mmoja wa washirika muhimu zaidi wa Urusi anaongeza kiwango cha ushiriki wake. Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jon Un, ametoa "msaada wake usio na masharti" kwa Moscow, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya...
  3. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Korea Kaskazini yaahidi kuendelea kuiunga mkono Urusi

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesisitiza kuwa ataendelea kuiunga mkono Urusi katika vita dhidi ya Ukraine. Ameitoa kauli hiyo katika mkutano wake na Waziri wa Mambo ya nje ya Urusi Sergei Lavrov mjini Wonsan.Kim Jong Un amesema nchi hizo mbili zina mitazamo inayofanana kuhusu masuala...
  4. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Ushuru wa forodha: Trump aweka shinikizo kwa Korea Kusini na Japani

    Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatatu, Julai 7, ameahidi kutoza ushuru wa forodha wa angalau asilimia 25 kwa nchi kadhaa, zikiwemo Japani na Korea Kusini, washirika wawili wakuu wa Asia. Kwa Washington, hii inakusudiwa kuhimiza washirika wake wengine kutia saini mikataba ya biashara...
  5. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Tanzania and Korea cooperation on Blue Economy is happening

    Tanzania and Korea cooperation on Blue Economy is happening. Thanks to the MOU on Cooperation on Blue Economy signed during the visit of Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan in Seoul, June, 2024.
  6. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Korea ya kaskazini yazindua mji wa utalii

    ‼️The new face of Kim Jong Un: North Korea's new tourist gem on the coast of the Sea of June 28, 2025 North Korea has officially opened its most ambitious tourism project to date – the modern Wonsan-Kalma complex, located on the coast of the (East) Sea of Japan. 👇 kwa kutumia kilometres 4...
  7. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Korea Kaskazini yaapa kuendelea na mpango wake wa nyuklia bila wasiwasi wowote.

    Barani Asia, utawala wa Korea Kaskazini unafuatilia kwa karibu hali ya Iran. Mashambulizi y a Marekani kwenye maeneo ya nyuklia ya Iran mwishoni mwa juma lililopita linaweza kuishawishi Korea Kaskazini kuendeleza mpango wake wa nyuklia. Utawala wa Korea Kaskazini umekuwa ukitengeneza silaha zake...
  8. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Chelewa lakini Ufike; Iran iendelee pale ilipoishia kuunda nuclear weapons. Apate somo kwa North Korea kutokujali

    Kumbuka, kabla North Korea hajapata nuke yoyote alidharaulika hivi hivi kama Iran anavyodharaulika na kuletewa mizengwe. Sasa hivi North Korea inaheshimika na hata yule kichaa wa west kaacha kutikisa pua yake kwenye mambo yasiyomhusu. HISTORIA: Kifaa cha kwanza cha nyuklia cha Korea Kaskazini...
  9. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Ni Korea kaskazini pekee inaweza lindwa na china nchi zingine ni marafiki msaada utategemeana na hali ya vita

    Kama ulikuwa hufahamu sio kosa kwa China kuonekana mbele mbele kwa vita zisizo muhusu hasizo na ushirika nazo. Tusubiri siku North Korea ikivamiwa kama 1950-1953. China currently has a defense treaty with North Korea. This treaty, officially titled the "Treaty on Friendship, Cooperation and...
  10. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Korea Kaskazini haishambuliwi kwa kuwa na tishio la silaha za Kinyuklia

    Wadau kwa nini huyu Kim wa Korea Kaskazini na utawala wake hawa shambuliwi kwa kuwa na silaha za Kinyuklia kama anavyo hisia Iran kutaka kuwa nazo hizo silaha japo haijathibitika mpaka sasa kama anazo
  11. R

    JamiiForums Tanzania Baada ya tukio la Gwajimanization, kati ya hawa nani utampigia kura ya urais

    Hotuba ya Mh Rais jana imeleta feelings mpya among Tanzanians particularly kuhusu watu kutekwa, kuuawa, kupotezwa. Swali lilikuwa nani anawateka? ni akina nani watu wasiojulikana? Ni kama kitendawili kimeteguliwa jana! Watu fikra zinaweza kuwa zimebadilik kuhusu mustakabali wa taifa hili...
  12. FaizaFoxy

    JamiiForums Tanzania Korea Kaskazini, kwa Kiduku, kuwa nchi ya Kiislam?

    Wengi wetu tulikuwa wenye mashaka (skeptical) kuwa Kim Jong UN, al maaruf Kiduku, kaamuwa kusilimu na kuwa Muislam kamili baada ya kuusoma Uislam kwa miezi kadhaa. Leo nimepekuwa sana mtandao na binafsi nimejihakikishia kasilimu kweli na wananchi kadhaa wa Korea Kaskazini wamemfata Rais wao...
  13. Magical power

    JamiiForums Tanzania Korea Kaskazini imepeleka makomando 700 nchini Burkina Faso kwa ajili ya kumlinda raisi Ibrahim Traore.

    Korea Kaskazini imepeleka makomando 700 nchini Burkina Faso kwa ajili ya kumlinda raisi Ibrahim Traore na kuhimarisha ulinzi nchini Burkinabe.
  14. Mateso chakubanga

    JamiiForums Tanzania Rais wa Korea kaskazini: Tutaipa Burkina faso msaada wo kijeshi.

    Kutokana na matishio ya kiusalama na matishio ya kumuua Rais Ibrahim Traore wa Burkina faso, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un amesema serikali yake itaipatia Burkinafaso msaada mkubwa wa kijeshi endapo Taifa lolote la nje litajaribu kuivamia Burkinafaso. Sambamba na Korea kaskazini nchi...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Korea Kaskazini yakiri kupelekea majeshi yake Ukraine kumsaidia Putin

    Korea Kaskazini imethibitisha rasmi kwa mara ya kwanza kwamba imetuma zana za kijeshi na wanajeshi kuisaidia Urusi katika vita vyake dhidi ya Ukraine. Hatua hiyo inaandaliwa kama sehemu ya "ukombozi" wa Kursk, ikinukuu Kifungu cha 4 cha Mkataba wa Ushirikiano wa Kikakati wa Korea Kaskazini na...
  16. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Watu wanaongelea reciprocal tarrifs alizopigwa China lakini hawaongelei 0% tarrifs kwa Russia na North Korea ambazo husemekana ni adui mkubwa wa USA

    Trump kachemka hapa, alijua kabisa moto wa China sio wa kitoto ila bado anaendelea kuupima. Alijua kwamba endapo angewapiga pia Russia na North korea hizo tarrifs kisha Wote kwa pamoja wakajibu basi USA ingepumulia mashine. Ili kutimiza tabia yake chafu akaona aanze na china kwanza huku urusi...
  17. H

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Biblia katika Korea Kaskazini?

    Nchini Korea Kaskazini (Na. 1 kwenye Orodha ya Waliotazamiwa Ulimwenguni 2024) ambako Wakristo wanachukuliwa kuwa “tabaka la uadui,” kuwa na Biblia ni kinyume cha sheria . Kuwa na Biblia ndani yao kunaweza kuwa “ushahidi” unaohitajika ili kumkamata na kumfunga mtu (na familia yake) kwa kumfuata...
  18. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Marekani ina shida gani na Iran na Korea Kaskazini ?

    Ningependa kujuzwa na wajuvi wa mambo na wataalam wa siasa za kimataifa katika hili swali langu. Je, nchi ya Marekani ina shida gani na haya mataifa mawili Iran na Korea Kaskazini ? Kwa nini tawala mbalimbali za Marekani zinayatendea haya mataifa kama tishio kwa marekani ? Maoni yangu binafsi...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

    Hakika hizi ni zama mpya, Marekani imeungana na mataifa kadhaa ya hovyo kupinga azimio la baraza la usalama la Umoja wa mataif(UN) lililowasilishwa na Umoja wa Ulaya kulaani uvamizi wa Russia nchini Ukraine na kuitaka iondoe majeshi yake Ukraine. Hata hivyo azimio hilo limepita kwa wingi ws...
  20. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Geay avunja rekodi ya Daegu Marathon, South Korea

    Leo tarehe 23/02/2025 huko nchini Korea Kusini bendera ya taifa imepeperushwa vyema na kijana Mtanzania Gabriel Geay kwa kuvunja rekodi ya mbio za Daegu Marathon (course record) kwa kutumia muda wa masaa 2:05:20 na kuibuka wa kwanza. Ikumbukwe Geay ndo anashikilia rekodi ya taifa ya marathon kwa...
Back
Top Bottom