Usipokuwa na maarifa ya kiroho basi upo hatarini sana sio tu kuwa masikini daima bali hata na kupotezwa kabisa.
Dunia ni uwanja wa vita, kati ya Ufalme wa Mungu mkuu na ufalme wa miungu.
Ipo nguvu isio onekana kwa Macho ya nyama inayoweza kutawala dunia na vilivyomo.
Roho, Nafsi, Mwili.
1...