Kosovo and Metohija (Serbian: Косово и Метохиja, romanized: Kosovo i Metohija; Albanian: Kosovës dhe Metohisë), commonly known as Kosovo and abbreviated to Kosmet or KiM, is an autonomous province defined by the constitution of Serbia that occupies the southernmost part of Serbia. The territory is the subject of an ongoing political and territorial dispute between Serbia and the partially recognised, self-proclaimed Republic of Kosovo, the latter of which has de facto control over the region. Its claimed administrative capital and largest city is Pristina.
The territory of the province, as recognized by Serbian laws, lies in the southern part of Serbia and covers the regions of Kosovo and Metohija. The capital of the province is Pristina. The territory was previously an autonomous province of Serbia during Socialist Yugoslavia (1946–1990), and acquired its current status in 1990. The province was governed as part of Serbia until the Kosovo War (1998–99), when it became a United Nations (UN) protectorate in accordance with United Nations Security Council Resolution 1244, but still internationally recognized as part of Serbia. The control was then transferred to the UN administration of UNMIK. On 17 February 2008, representatives of the people of Kosovo (Albanian: Udhëheqësit e popullit tonë, të zgjedhur në mënyrë demokratike) unilaterally and extra-institutionally declared Kosovo's independence, which is recognized by 97 UN members, but not by Serbia which still regards it as its province. On 22 July 2010 the International Court of Justice (ICJ) concluded that "the declaration of independence of Kosovo adopted on 17 February 2008 did not violate international law".
Vichekesho!
Hatimaye Samia [ambaye si rais] apata mpinzani.
Kim Jong Un ameshinda uchaguzi uliofanyika tarehe 15 mwezi Machi mwaka huu.
Kim kampiku Samia 😂. Samia asije kuona wivu.
============
Kim Jong Un amepata ushindi mwingine mkubwa wa uchaguzi, baada ya chama chake cha Workers' Party...
Kifo cha Kim Jong-nam mwaka 2017
Kim Jong-nam, ambaye alikuwa kaka wa kambo (nusu kaka) mkubwa wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, aliuawa tarehe 13 Februari 2017 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kuala Lumpur, Malaysia.
Alikuwa akiishi uhamishoni tangu mwaka 2003 baada ya...
Ni Vladimir Putin ama huenda ni Putin na XI kwa mikakati Yao ya pamoja wameweza kumuingiza Kim Jon UN katika mfumo wa Dunia.
Nikisema Kim Jon UN namaanisha Korea kasakazini kama nchi tayari imerudishwa kwenye mifumo ya kidunia,yaani kushirikiana na nchi nyingine katika nyanja zote za...
Kulingana na shirika la kijasusi la Korea Kusini, Ju Ae ndiye anayetarajiwa kuwa mrithi wa babake.
Ju Ae, anaaminika kuwa mtoto wa pili wa Kim Jong Un na mke wake, Ri Sol-Ju, wakiwa na watoto watatu. Hata hivyo Kim ni msiri sana kuhusu familia yake, alimtambulisha mkewe kwa umma baada ya muda...
Sera zisizotabirika za Rais Trump zinawafanya baadhi ya viongozi wa mataifa duniani kuzidi kushikamana!
Ila kidogo kidogo hawa Wachina wanakuja juu sana kiteknolojia, hususan kwenye vifaa vya kijeshi.
Kwa sasa yawezekana China ndo taifa la pili kuwa na jeshi bora duniani.
Na yawezekana hawako...
Rais Kim Jung Un amewatunuku askari waliorudi salama na kutoa pole kwa familia za waliofia kwenye vita jimbo la Kursk
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amewapongeza na kuwatunuku askari wa Korea Kaskazini waliorejea salama kutoka vitani katika mkoa wa Kursk, Urusi, ambapo walishiriki...
October 26, 1979 huko Korea Kusini kulitokea kisa cha ajabu cha mkuu wa ujasusi wa shirika la Korea Kusini(KCIA) Kim Jae-gyu kumtwanga risasi mbili boss wake rais wa Korea Kusin Park Chung-hee na bodyguard wake mkuu Cha wakiwa katika hafla ya chakula cha usiku. Inasemekana mzozo wa wawili hao...
Wengi wetu tulikuwa wenye mashaka (skeptical) kuwa Kim Jong UN, al maaruf Kiduku, kaamuwa kusilimu na kuwa Muislam kamili baada ya kuusoma Uislam kwa miezi kadhaa.
Leo nimepekuwa sana mtandao na binafsi nimejihakikishia kasilimu kweli na wananchi kadhaa wa Korea Kaskazini wamemfata Rais wao...
Mambo mengi muda mchache, yetu macho ila Mosad bana...
================
Iran repelled a large cyber attack on its infrastructure on Sunday, said the head of its Infrastructure Communications Company, a day after a powerful explosion damaged its most important container port and another round of...
Haya nimeyakuta kwenye page ya Maduskodusko Entertainment huko TikTok kupitia Wimbo wa kiingereza unaoitwa " GODDESS LIL KIM",
Ushahidi wa You Tube huu hapa:
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
https://youtube.com/watch?v=JBqm8b0LW_U&si=tH3OifHQsXzJAdEj
Mwimbaji anasema : 👇👇👇
👉 Kwenye kitabu kinacho itwa "...
Tizama hi video kwa makini kabla ya ku-comment.
Kiongozi wa Korea kasikazini amelegeza mashariti kwa dini moja tu uko nchini kwake baada ya kushuhudia great miracle en Wisdom katika kitabu cha Qur"an tukufu, wakati anaingia madarakani 2011 Uislamu kama dini zingine zilikua marufuku nchini...
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameionya Marekani kupitia shirika la habari la serikali, KCNA, akisema kuwa “msaada wowote wa kijeshi” ambao Marekani itatoa katika Asia ya Kaskazini “utazuiliwa na kuangamizwa kabisa.”
Hii inakuja wakati Japan inapanga kupeleka makombora ya masafa...
Muigizaji maarufu wa Korea Kusini, Kim Soo Hyun, yuko katika hatari ya kupoteza zaidi ya dola milioni 13 baada ya madai kuibuka kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji Kim Sae Ron alipokuwa na umri wa miaka 15, pamoja na madai ya kumlazimisha kifedha
Kwa mujibu wa ripoti ya...
Kwa kawaida adui yako ukiwa wamfyeka vitani ni furaha kwako. Cha kushangaza South Korea na Ukraine wamekuwa wakilalamika kuwa wanaajeshi wa North Korea (adui yao) wanaopigana vita upande wa Urusi dhidi ya Ukraine wamekuwa wakifyekwa kwa makumi elfu!
Wakati propaganda hizo zikiendelea, North...
Katika muendelezo wa sheria za ajabu na za hovyo huko Korea Kaskazini, mtawala wa taifa hilo Kim Jong (Kiduku) amepiga marufuku ulaji wa soseji akisema ni chakula cha utamaduni uliopitiliza wa kibepari wa magharibi.
---
North Koreans have reportedly been banned from eating hot dogs as part of a...
Kim Jong Un Alihudhuria shule ya serikali ya Liebefeld Steinhölzli huko Köniz, karibu na Bern, chini ya jina "Pak-un" au "Un-pak" kutoka 1998 hadi 2000 kama mtoto wa mfanyakazi wa ubalozi wa Korea Kaskazini huko Bern
Wanasiasa ni wale wale duniani kwote wanahubiri maendeleo ila watoto wao...
Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa.
Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa.
Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia.
NB: internet imezimwa kama Tungekinya 2020
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII
Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao...
Kwa mujibu wa Hamas, Haniyeh na mmoja wa walinzi wake waliuawa alfajiri ya jana Jumatano Julai 31, 2024 baada ya jengo walilokuwa wakiishi kuvamiwa na kushambuliwa.
Baada ya mauaji hayo ambayo Israel inanyooshewa kidole kuhusika ingawa haijakiri, tovuti ya Times of Israel imemnukuu Kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.