Mwaka sasa tangu vita vya gaza vianze, Marekani halali anatka vita visimamishwe.
licha ya kupelea jeshi na silaha kwa isreal lakini mabo yanazidi kuwa magumu kwao
Kama Hamas wanapigwa kama tunavyoaminishwa na Propaganda, Marekani alingalikua anahaha kuomba Hamas wakubali vita viishe?
swali vita...