Kati ya mashauri 652 waliyopokea wasaidizi wa kisheria mkoani Lindi, asilimia 80 ni ya ukatili, mgawanyo wa mali ya wanandoa wanapoachana na mirathi.
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Liwopac mkoani Lindi Cosma Bulu alisema hayo juzi wakati akizungumza na wadau wa sheria...