Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 752
- 3,096
Ushahidi wa kesi ya jinai inayomkabili mchungaji Merchades Mugishagwe na mkewe Agripina Maganja, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Bukoba umefungwa leo, baada ya shahidi namba tatu kwa upande wa washtakiwa aliyetajwa kuwa ni Mungu kutofika mahakamani hapo.
Mchungaji Merchades Mugishagwe ni baba aliyegoma kuwaandikisha shule watoto wake kwa madai kuwa imani yake haiamini katika elimu ya dunia.
Februari 2021 alikamatwa na polisi kwa amri ya mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Deodatus Kinawilo akidaiwa kukaidi agizo la kuwaandikisha watoto wake watatu shule.
Pia soma
Mchungaji Merchades Mugishagwe ni baba aliyegoma kuwaandikisha shule watoto wake kwa madai kuwa imani yake haiamini katika elimu ya dunia.
Februari 2021 alikamatwa na polisi kwa amri ya mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Deodatus Kinawilo akidaiwa kukaidi agizo la kuwaandikisha watoto wake watatu shule.
Pia soma
- Bukoba: Mzazi agoma kuwaandikisha shule watoto wake kwa madai kuwa imani yake haiamini katika elimu ya dunia
- Kagera: Ifahamu familia inayoamini kumiliki Simu, TV na kwenda Shule ni dhambi