kesi ya lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    PreGE2025 Kesi ya Lissu imesababisha mtandao kuminywa leo? Dawa yenu ipo jikoni, hamuwezi kushindana na teknolojia

    Wakuu, Hali ya mtandao ikoje mliko? Yaani toka asubuhi mtandao imekuwa hovyooo kila kitu kinaenda taratibu kwa spidi ya kobe! Ni hii tu kesi ya Lissu ndio mnafanya mambo yote yasiende na kutuingizia hasara? Yaani Lissu anawatetemesha mpaka mnatumia resource zote kuhakikisha mambo hayaendi sawa...
  2. Fbn

    Mwenye kuelewa ina maana hii kesi ya lissu na polisi wamepata vifaa vyipya.

    Hapa kisutu mpaka askari magereza wamependeza kwa nguo mpya utazani sikukuu ya idd na xmass ilivyo.
  3. Cute Wife

    PreGE2025 Kesi ya Lissu inaendelea TBC kimya! Mpo kwa maslahi ya nani kama jambo kubwa linalogusa usalama wa taifa mnalifungia vioo?

    Wakuu, Kesi ya Lissu ni suala la kitaifa. Watanzania tuna maslahi nayo maana Uhain si na uchochezi wa kusumbua Watanzania na kufanya tukose amani ni suala serious sana (hata kama tunajua ni uongo😂😂😂), sasa mbali na haya yote TBC, televisheni ya Taifa ni kama wapo ulimwengu mwingine! Yaani ni...
  4. S

    Sitashangaa kuona wanaharakati na mawakili kutoka Marekani, Ulaya na Afrika Kusini wakaanza kumiminika kufuatilia kesi ya Lissu

    Hiki ndio nachokiona kina kuja siku za usoni ambapo kuna uwezekano mkubwa hii kesi kuwa ni moja ya kesi maarufu na ya kihistoria unless wanaifuta ingawa teyari kuna damage kubwa mpaka sasa. Hawa wanaharakati wana mtandao mkubwa sana duniani na wa hapa Afrika ndio watakuwa wa kwanza kufika...
  5. S

    Kwa jinsi inavyoshughulika na wageni wanaokuja kwenye kesi ya Lissu, serikali ya CCM inajikaanga kwa mafuta yake yenyewe kwenye uso wa kimataifa

    Ukichukulia kwamba tayari Ubalozi wa Marekani nchini na Bunge la Ulaya tayari wametoa kauli kuhusu serikali ya Samia kufuata haki za binadamu na utawala wa sheria, na haya mambo yanayotokea nchini kuhusu hawa wageni mashuhuri wanaokuja kwa ajili ya kesi ya Lissu, nashindwa kuelewa ni mtu mwenye...
  6. Cute Wife

    PreGE2025 Polisi waenda Hoteli ya Serena kutaka kumkamata Mpiga picha na Mwanaharakati Kenya Boniface Mwangi ikihusishwa na kesi ya Lissu

    Wakuu, Polisi wameendelea kufanya ujinga na mambo ya ajabu kwa usalama wa wananchi. Asubuhi hii ya leo polisi wavamia chumbani kwa mpigapicha na na mwanaharakati wa masuala ya kisiasa kutoka kenya Boniface Mwangi wakisema wanataka kufanya ukaguzi. Boniface alikataa kufungua mlango na kuongea...
  7. Papaa Mobimba

    PreGE2025 Wakenya (Martha Karua na wenzake) waliokuja Tanzania kushuhudia kesi ya Lissu warudishwa wakiwa uwanja wa ndege Dar

    Waziri wa zamani wa Sheria nchini Kenya, Martha Karua, ameeleza masikitiko yake baada ya kuzuiwa kuingia nchini Tanzania akiwa na watetezi wengine wa haki za binadamu na mawakili wenzake, Lynn Ngugi na Gloria Kimani. Kupitia ujumbe alioweka kwenye mitandao ya kijamii siku ya Jumapili asubuhi...
  8. Kididimo

    Naomba mahakama ikatae kusikiliza kesi ya Lissu hadi maelfu ya raia kwenye mikutano ya Chadema waunganishwe

    . Kesi ya Malaika Lissu ni ya uhaini. Kwa urahisi wa maneno ni kwa kuzuia mamlaka kuendesha uchaguzi( hisia). Lissu akiwa bado ndani, mikutano ya Chadema inaendelea nchi nzima. Maelfu kwa malaki wameunga mkono hadharani mambo yaleyale yaliyomtia ndani Lissu na sasa anataka kushtakiwa peke...
  9. Erythrocyte

    CHADEMA yaita Watu wote Duniani kuhudhuria Kesi ya Tundu Lissu Mahakamani

    Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho kote Duniani hii hapa Kwa Wale wasiojua Kiswahili nyingine hii hapa
  10. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Mkutano wa IDU waazimia kwa pamoja, Tundu Lissu aachiwe mara Moja. Mke wa Lissu ahutubia

    CCM na Genge lake, walikaa Wakaona wamkamate Naibu Katibu Mkuu, ili ashindee kutoa Hotuba kwenye Mkutano wa IDU Nchini Ubelgiji. ( Unaweza jiuliza Mkuu, Hivi CCM na Genge lake hamna mwenye Akili, yaan Kwa Dunia ya Leo, unamkwamisha MTU safari ili asipate fursa ya kufikisha mawazo na Maoni ?)...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Wakili Jebra: Hatutegemei visingizio vyovyote Lissu kutoletwa Mahakamani Mei 19, 2025

    Wakili Jebra Kambole, mmoja wa mawakili wa utetezi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amesema kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru kesi ya mteja wao isikilizwe kwa uwazi kuanzia Mei 19, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Jumatano Mei 14, 2025, Jebra amesema: "Kama...
  12. N

    PreGE2025 Mawakili wa Lissu: Tujitokeze kwa wingi kusikiliza kesi ya Lissu, Mei 19

    Mawakili wanaomuwakilisha Tundu Lissu wakiongozwa na Wakili Jebra Kambore, Dickinson Matata wanazungumza na waandishi wa habari Mei 14, 2025. Itakumbukwa mteja wao Tundu Lissu anakabiliwa na Kesi mbili uhaini na kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni. Kesi hizo mbili zinatarajiwa kutajwa Mei...
  13. F

    Yawezekana serikali ikajitoa kwenye kesi ya Lissu kabla ya Mei 19

    Haitakuwa jambo la kushangaza kuona serkali ikisema haina nia ya kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu. Sababu ni kwamba inavyoonekana upande wa mashtaka unapata shida kuja na vielelezo vya kutosha kumshtaki Lissu kwa kosa la uhaini. Lissu ni mbobevu wa...
  14. B

    Tundu Lissu yuko Gerezani, hana mawasiliano na mtu yeyote, kishindo chake kinatikisha Dunia nzima. Bado mnamchukulia poa?

    Ukweli usemwe, kazi za Lissu hapa Nchini na Nje ya Nchi hazina mashaka. Ni very clean job and Assignments. Tundu Lissu ni moja ya wanasiasa safi kabisa ambao hawana tuhuma zozote za rushwax ufisadi, ngono wala uvunjaji wa haki za binadamu na utawala bora. Tundu Lissu historia inaendelea...
  15. mwengeso

    Serikali jibuni kuhusu kesi ya Lissu, utekaji wa watu, maamuzi katika michezo

    Serikali iliyoko madarakani iwape wananchi kuhusu yanayoendelea kisiasa na michezo, hasa mpira wa miguu. 1) Lissu anashitakiwa na wanachi wahudhuria mahakamani kusikiliza kesi wanapigwa na Polisi 2) Mdude anakamatwa nyumbani kwake na hajulikani alipo kama bado yuko hai 3) Padri Kitima...
  16. Genius Man

    PreGE2025 Kesi ya Lissu inapigia promo uchaguzi wetu ujao kufuatiliwa kimataifa na kutegewa sikio na inamsogeza Lissu karibu na Ikulu

    Kama ukifuatilia siasa zilivyoenda kwa trump hadi kushinda uraisi ni pamoja na kesi zilizokuwa ziki mkikabili kumpush hadi ikulu na kufanya uchaguzi ule kufuatiliwa zaidi duniani. Tukiangalia kesi ye lissu iliyotokana na kuhamasisha kwake mageuzi ya kiuchaguzi na kufunguliwa mashtaka ya uhaini...
  17. Action and Reaction

    Kesi ya Lissu ilo kimkakati ili muda uzidi kupotea na uchaguzi uzidi kukaribia!

    1) Siku Lissu anashinda kesi uchaguzi utakuwa umeshakaribia, hizo ni janja Janja za kijinga! 2) Pressure kutoka Bunge la ulaya kujadili swala la Lissu limewapa kiwewe Serikali, hivyo wameanza kuachia 3) Kilichokuwa kinafanyika huko mahakamani na vitamko vya viongozi wa CCM, mawaziri, Judge ni...
  18. M

    Kesi ya Lissu kama haina ushahidi thabiti basi haina Maslahi ipigwe Nolle prosequi isituchafue kama nchi

    Mimi ni mzalendo na mwana CCM kindakindaki nashauri mamlaka iwapo kesi hii haina uzito wa ushahidi wa serikali kushinda kesi hii basi Tundu Lissu aachiwe tuendelee na mambo mengine, itamjenga kisiasa mama. Lakini pia aingilie kati maboresho yanayoweza kufanyika kikanuni yafanyike na mwisho...
  19. K

    Kesi ya Lissu: Ni bora Serikali wangenyamaza waonekane wajinga kuliko kuongea kuwapa watu ushahidi huo

    Mahakama imekataa kuwa kwenye muonekano wa wajinga. Sasa tujiulize waziri wa sheria, waziri wa mambo ya ndani, mkuu wa mkoa na Polisi wananchi watawaelewaje. Sasa Chadema na wananchi wakienda hapohapo mahakamani kwa amani mtawaambia sababu ya wale walio umizwa ilikuwa nini hasa? Serikali...
  20. Jamiitrailer

    PreGE2025 Rais Samia aliunda tume kuchunguza mfumo wa Haki jinai, akumbushwe kumfikisha mtu mahakamani bila upelelezi kukamilika ni kukiuka Haki jinai

    Wadau, 2023 rais Samia aliunda tume ya kuchunguza mfumo wa utoaji haki....Haki Jinai, kuangalia namna polisi, Takukuru, kitengo cha madawa ya kulevya, magereza na ofisi ya mwendesha mashtaka zinavyofanya kazi zao. Tume ilianzishwa kutokana na malalamiko ya wananchi ya kila siku kuhusu idara hizo...
Back
Top Bottom