kesi ya lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kesi ya Uhaini ya Lissu yaahirishwa hadi Julai 01, 2025

    https://www.youtube.com/live/oU5eT7Dimu0?si=BYYHRNCBHOz_0_ye Siku hazikawii kufika, usikilizwaji kesi ya Lissu huo umewadia. Kama mnakumbuka wakayi uliopita upande wa mashtaka walisema wanahitaji muda zaidi kukamilisha upelelezi na wakaambiwa tarehe itakayopangwa kutakuwa hakuna nafasi ya hiki...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Lissu asipelekwe Mahakamani na badala yake kesi iendeshwe kwa Njia ya mtandao

    Ndugu zangu Watanzania, Nilikuwa naona mahakama ingefanya na kutoa maamuzi ya kuendesha kesi ya lissu kwa njia ya mtandao. Hii ni kutokana na sababu mbalimbali za msingi. Kwanza imeonyesha Wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakitaka kuhudhuria mahakamani kusikiliza kesi ya kiongozi wao. Wakati huohuo...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Mlawi: Kesi ya Lissu ziharakishwe kabla ya Uchaguzi

    Askofu Mkuu wa Makanisa ya SPCT na Rais wa Umoja wa Maaskofu, Wachungaji, Mitume na Manabii na Madhehebu ya Kikristo Tanzania, Askofu Mussa Mlawi, amevitaka vyombo vya utoaji haki nchini kuharakisha usikilizwaji wa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, na kuhakikisha suala hilo...
  4. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche alaani kitendo cha polisi kushambulia raia mahakamani. Aliyeonekana akishambuliwa kwenye video afunguka

    https://www.youtube.com/watch?v=6Z3BEm0TZp0 Freddy Chacha Akieleza kilichowatokea baada ya kukamatwa na kupelekwa Mkuranga waliambiwa wanywe maji yaliyokuwa na sumu kwa sababu wameshindwa kumuheshimu mama aliyewaletea maji safi. Amesema pia ana ushahidi wa video jinsi walivyochkuliwa na polisi...
  5. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Kwa hii hali iliyop, kesi ya Lissu irudishe online tu; Lissu kwa sasa ni red line, hivo inafaa kupewa ulinzi mkali sana

    Serikali (simaanishi CCM) labda walikuwa wapo sahihi kuweka hii kesi online, ili kumuhakikishia usalama Tundu Lissu, kwasababu kwa sasa ni 'red line' - kiongozi mwenye ushawishi kwa watanzania kuliko yeyote; hivo endapo kikitokea chochote cha kumdhuru, itaweza kuleta shida kubwa sana, kuanzia...
  6. Parabolic

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Muliro: Walichosema Mwangi na Atuhaire ni maoni yao

    Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro amejibu madai ya wanaharakati wawili kutoka Uganda, Agather Atuhaire (Uganda na Boniface Mwangi (Kenya) kuwa waliteswa walipokuwa Tanzania, akisema hayo ni maoni yao na kama wana malalamiko waende kushitaki kwenye mamlaka husika...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna mada hapa nilileta kuhusu nyumba za ibada msishangae kuona maaskari wakiwepo sasa kama wanavyofanya mahakamani kesi ya Lissu

    Kwa haya yanaondelea hakuna mskitini wala kanisani mkasema kutakuwa na usalama na sehemu ambazo zitakuwa zinawindwa na kuwekewa maaskari ni zile nyumba za ibada ambazo zinaeleza mwenendo wa nchi swala utekaji na uwongozi usiopenda wananchi. Tarajieni kuona mabunduki na silaha nzito pamoja na...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Wameshindwa kumtia Tundu Lissu hatiani kwa Uhaini. Sasa wanamtafuta kwa kosa la kudharau mahakama

    Upande wa mashtaka hauna ushahidi wa kumtia hatiani Tundu Lissu katika kesi ya uhaini, au ile nyingine. Sasa wameamua kumtafutia mashtaka mengine marahisi ili angalau waweze kumfunga. Ndio maana ukaona leo wamefanya makusudi kumuingiza Lissu mahakamani wakati Hakimu anaitisha kuanza kwa kikao...
  9. MIMI BABA YENU

    JamiiForums Tanzania Lissu Anapokuwa Mwanasheria Anayedharau Sheria, Wingi wa Mawakili Hautamsaidia

    Johnson Mgwabati Mtaalaam mmoja wa sheria Albert Venn Dicey aliwahi kutafsiri dhana ya Utawala wa Sheria (Rule of Law) kuwa ni “kufuata sheria kama zilivyo.” Lakini bingwa mwingine wa masuala ya uendeshaji wa makosa ya jinai, utetezi na ushahidi, Prof Abdallah Safari, anasema katika andiko...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Jicho la tatu: Kwanini barua ya kufungiwa Kanisa la Gwajima itolewa siku ambayo Lissu ahafikishwa mahakamani?

    Tujiulieze ni kwanini barua inayodaiwa kuwa ni ya kulifunga kanisa la Gwajima itokewa siku ambayo Lissu anafikishwa mahakamani? Majibu: Hii ni dalili kesi ya Lissu haiwezi kudumu muda mrefu. Ni wazi watawala hawapendi mjadala kuhusu hii kesi na hivyo ni swala la muda tu kabla hii kesi haijafutwa.
  11. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu Inaonesha Jinsi Viongozi Hili Bara Wanavyokosa Maono ya Bara la aina Gani Wapo Tayari Kuwaachia Watoto Wao (Viongozi wa Baadae)

    Tatizo Halisi la Afrika: Si Ukosefu wa Rasilimali, Bali Ni Ukosefu wa Maadili Miongoni mwa Viongozi Je, tatizo la Afrika ni la kiuchumi, kiutamaduni au kisiasa? Je, ni ukosefu wa vipaji au rasilimali? Au ni bahati mbaya ya kihistoria? Maswali haya yanaulizwa kila mara, lakini jibu halisi...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu inahitaji huruma ya Rais Samia tu, sio lundo la wanasheria watetezi

    Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio...
  13. DexterLab

    JamiiForums Tanzania Utazamaji kesi ya Lissu vs Bunge.

    habari, mnaruhusiwa kucheka kwa nini wananchi mnalipuuzia kuangalia bunge lenu mnaniachia mimi peke yangu na makarani wa bunge pekee(hawazidi 10)? hii haikubaliki 😂 Watanzania tunatakiwa kuliangalia bunge letu namba za views zipande pale mjini YouTube. haiwezekani kesi ya Lissu izidi Bunge...
  14. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Video ya kesi ya Lissu Mahakama ya Kisutu May 19, 2025 ilifutwa, huenda watafuta na ya leo pia. Kwanini tunyimwe taarifa?

    ILe kesi ilivyoisha tu tarehe 19, May ilifutwa!l na wote waliokuwa wanarusha pia iliondolewa. Nadhani kimemo kilipita kikiwataka wote waondoe. Kwa waliobakisha kama Global ilikuwa ni ile video ya nje pekee lakini ndani ya chumba cha mahakama iliondolewa. Nilitaka kuweka uzi lakini waliirudisha...
  15. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Watazamaji Elfu 14 Channel ya Mahakama YouTube, Watazamaji Elfu 18 Millard Ayo YouTube. Hili ni balaa

    Tundu Lissu ni mashine nyingine hadi sasaivi tu kuna Watazamaji Elfu 32 kwenye Channell 2 tu za YouTube.
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanahabari wazuiwa kuingia kwenye Kesi ya Lissu; waambiwa wameruhusu 10 pekee

    Waandishi wa habari zaidi 15 kwa nyakati tofauti wamezuiwa kuingia Mahakamani na kuamriwa kukaa mbali na viunga vya Mahakama ya Kisutu, ambapo wameambiwa kuwa wameruhusu waandishi wa habari 10 pekee kuingia ndani. Mmoja ya waandishi ambaye amekumbana na changamoto hiyo ameeleza "Wanasema ni...
  17. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu yaahirishwa hadi Juni 16

    Leo ni wakati mwingine tena wa kusikiliza kesi zinanzomkabilo Tundu Lissu. Nini kitajiri, tutarajie kusikia habari mpya ya Lissu kuachiwa? Wacha tuone nini kitajiri. https://www.youtube.com/live/uUHWvriUjLw?si=TwsNHUnhRe8mu8vl ==================================== Mwenyekiti wa CHADEMA...
  18. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Lissu aachiwe huru

    Lissu aachiwe huru au kesi iharakishwe. Halafu Chadema na CCM warudie mazungumzo ya reconciliation in a typical 10-point agreement plan of action ( well known in conflict resolution talks)ambayo preferably yahudhuriwe na viongozi wa JWTZ. PIa Uchaguzi Mkuu ufanyika kwa kuwashirikisha JWTZ...
  19. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Mahakama yasema kesi ya Tundu Lissu, Juni 2, 2025 itakuwa 'Live'

    Kwa mujibu wa mahakama wenyewe watarusha matangazo ya moja Kwa moja kutoka mahakamani. Kwa mara ya Kwanza tutashudia matangazo hayo ya mahakama ikiwa kweli Wanafanya hivyo
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyeketi wa CHADEMA kata ya Makumbusho: Polisi walinivua nguo zote wakanipiga sana na wakinipiga picha nikiwa uchi

    Tulikuwa tunakutafuta kwa muda mrefu, wewe ndiyo ulikuwa unawafundisha vijana ili wawapige askari, wewe taja cheo chako ni kawaambia mimi ni mwenyeketi wa CHADEMA kata ya Makumbusho, hapana sema cheo chako na kama utaki kusema basi tunakufanya vitu ambavyo wajawahi kuona Wakanivua nguo zote...
Back
Top Bottom