kesi ya lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 PICHA: Kada wa CHADEMA Upendo Kileo ateswa na kutupwa Msituni baada ya kufuatilia Kesi ya Lissu

    Wakuu Upendo Kileo, mwanachama na mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), alifika jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Upendo anadai alikamatwa na watu wanaodaiwa kuwa maafisa wa vyombo vya...
  2. Mindyou

    PreGE2025 Naibu Katibu Mkuu wa Mama Asemewe: Wanaohamasisha uasi washughulikiwe na mamlaka

    Wakuu, Kampeni za mbogamboga dhidi ya Lissu zinaendelea kupamba moto. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Akiwa anazungumza hivi...
  3. Crocodiletooth

    Mahakama yetu iweke mfumo mzuri wa Tele court, hearing katika kesi ya lissu

    Hii itasaidia watu wengi kufuatilia shauri hili na mpaka hatima yake, wengi hatuna muda wa kupoteza kuja kulisikiliza kisutu hivyo ingependeza Huku tukiendelea na shughuli zetu taratibu tunapata mwendelezo kwa kupitia sumatifoni zetu. -Lissu ajipange na Wana sheria wake 30, -Serekali ijipange na...
  4. ngara23

    Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma jiuzulu ili kulinda heshima ya mhimili wa Mahakama

    Jaji Mkuu pro Ibrahim Juma ni nguli wa Sheria na ni kiongozi mwenye heshima kubwa Ili kulinda heshima na hadhi yake ambayo ameijenga ni vyema akatafakari na kujiuzilu Leo Mahakama umeingia Kwenye aibu Toka kuumbwa Kwa Tanzania Kwa kuingilia na polisi, na hii inaniniacha na maswali juu ya uhuru...
  5. Under-cover

    PreGE2025 CHADEMA yaripoti kifo cha mtu mmoja

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Viongozi wa Chama hicho akiwemo Makamu Mwenyekiti, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, na Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi wakiwa pamoja na wengine sita wamefikishwa katika Hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu baada ya kupigwa na kutelekezwa na Polisi...
  6. McLaren

    Hizi ni hujuma za wazi kabisa. Link waliyotoa mahakama kwa ajili ya kushuhudia kesi ya Lissu kwanini haifanyi kazi?

    Wakuu, Ni wazi kuwa watu wa kwenye system wanakwamisha kwa makusudi, wananchi kushuhudia kesi ya Lissu. Leo asubuhi kama wote mlivyoona, Dar walijazwa mapolisi kila sehemu kuanzia Mwenge hadi Posta ili kutisha wananchi wasiende kwenye hiyo kesi. Walivyoona wanashindwa wakasema kesi hiyo...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 KESI YA LISSU: Mtandao changamoto, hakimu aahirisha kwa muda

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu. Kesi hiyo imeahirishwa kwa muda wa dakika 10 kutokana na mtandao kusumbua na kutokusikika vizuri. Hatua hiyo inatokana na...
  8. Mabula Msirikale

    PreGE2025 Baada ya Heche, Katibu Mkuu CHADEMA John Mnyika amekamatwa na Polisi

    Katibu Mkuu wa CHADEMA,John Mnyika amekamatwa na Jeshi la Polisi asubuhi ya leo Aprili 24,2025 katika eneo ya Fire akielekea Makama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufuatilia mwenendo wa kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu. Pia soma > LIVE - Kisutu: Kesi ya Tundu Lissu...
  9. figganigga

    PreGE2025 Kisutu: Kesi ya Tundu Lissu leo itaendeshwa kwa njia ya Mtandao. Kila Mtu huru kusikiliza

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam Inayoketi Kisutu Shauri la Jinai namba 202504102000008606 Jamhuri dhidi ya Tundu Antipace Lissu mbele ya Mhe. Geofrey Mhini, Hakimu Mkazi Mwandamizi. Tafadhali tumia kiungo (link) kifuatacho kuendela na shauri ya njia ya mtandao>>> JoT - Virtual Court...
  10. Cute Wife

    PreGE2025 Heche akamatwa na polisi, apelekwa kituo cha polisi Oysterbay

    Wakuu, Msafara wa Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. @HecheJohn umezuiwa na Jeshi na Polisi muda akiwa maeneo ya Selandar Bridge usiende Mahakama ya Hakimu Mkazi kufuatilia mwenendo wa kesi ya Uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @HecheJohn leo tarehe 24, 2025 na kupelekwa Kituo cha...
  11. Cute Wife

    PreGE2025 Kinachojiri kuelekea Kesi ya Lissu leo Aprili 24, 2025

    Wakuu, Leo ndio ile siku inasubiriwa kuona nini kitatokea baada ya Lissu kusomewa mashtaka yake manne ikiwemo kosa la Uhaini ambalo halina dhamana na kesi hiyo kusogezwa mpaka leo Aprili 24, 2025. Pia soma: Pre GE2025 - DSM - Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake...
  12. Daby

    Kwani kesi ya Lissu haiwezi kurushwa na vyombo vya habari?

    Sheria inasemaje? Kesi kurushwa live... Mahakama haiwezi kuingiza mamia ya watu ila wakii-stream kesi hata tulioko vijijini tunaangalia. Sijui sheria inasemaje? Au vyombo vya habari havijawahi kuona umuhimu wa kurusha kesi! Au sheria inaruhusu wanahabari wanahofia kuwa blackmailed na dola...
  13. W

    PreGE2025 Chalamila awaonya wanaopanga 'kukinukisha' kwenye kesi ya Lissu, tarehe 24

    Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amewaonya wale wote wanaojianga 'kukinukisha' tarehe 24/04/2025 siku ambayo Lissu atapelekwa mahakamani. Chalamila ametoa rai hiyo pia kwa watu ambao wameshaanza kufika mkoani Dar es salaam kwa ajili ya kesi hiyo kuwa moto wa kisheria utashuka kwa...
  14. E

    Zuio la polisi kesi ya Lissu haina uhalali kisheria, kimantiki

    Adv. E. Kilatu, LLB & LLM (Const. & Admn. Law) Utangulizi Siku chache zilizopita Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam alitoa Tamko linalotishia watu kufika mahakamani ili kushuhudia kesi ya kihistoria inayohusu kiongozi wa kisiasa kutuhumiwa na kosa kubwa kabisa la uhaini. Ni ya...
  15. S

    Tarehe 24/04/2025, Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kufuta kesi ya Lissu kwa mshangao wa wengi

    Wakati watu wakiwa na shauku ya kufuatilia kesi ya uhaini inayomkubali Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini(DPP) anaweza kuja na uamuzi wa kutoendelea na kesi ya uhaini kwa mshangao wa wengi na hata zile kesi nyingine zinazomkabili Lissu zinazohusu makosa ya...
  16. M

    Utaratibu wa kwenda kusikiliza kesi ya Lissu, 24.04.2025

    Napendekeza utaratibu/mpangilio ufuatao. 1. Watatangulia Maaskofu, Masheikh, Maimamu, Wachungaji, Mapadre, Manabii, Mitume na viongozi wengine wa Dini. 2. Watafuata Mabalozi wa Nchi mbalimbali, Wakuu wa Taasisi/Mashirika ya kimataifa na kikanda. 3. Waumini wa Dini zote na Watanzania wote kwa...
  17. Cute Wife

    PreGE2025 CHADEMA waijibu Polisi kuzuia wananchi kukusanyika Mahakamani siku ya kesi ya Lissu, wasema ni kudhoofisha Demokrasia

    Wakuu,
  18. Wakusoma 12

    Ushauri: Kwa kuwa Kesi ya Lissu Ina masilahi kwa umma na wananchi wengi hawawezi kuhudhuria mahakamani basi kesi iendeshwe LIVE kwenye TV ya taifa

    Baada ya Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kutoa onyo kwa raia watakaokusanyika kwenda Kisutu kushuhudia kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, ni wazi kuwa tukio hili lina mvuto mkubwa kwa jamii. Kwa kuwa kesi za uhaini ni nadra sana kushuhudiwa nchini, hasa kwa kizazi cha vijana...
  19. Just Pray

    PreGE2025 Jeshi la Polisi latoa onyo wanaopanga kufanya vurugu siku ya kesi ya Lissu

    Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeonya wananchi kutojitokeza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Aprili 24,2025 wakati Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu akifikishwa mahakamani hapo, likisisitiza atakayejitokeza atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Katazo la Jeshi la Polisi...
  20. Waufukweni

    PreGE2025 Heche awataka wananchi kuunga mkono msimamo wa 'No Reforms No Election'

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amewataka wananchi kuendelea kuwaunga mkono katika kuhakikisha yanafanyika mabadiliko ya sheria za uchaguzi, ili kufanya siasa safi na kushiriki uchaguzi ambao watapatikana viongozi bora na watakaoleta mabadiliko kwa...
Back
Top Bottom