kesi ya lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zanzibar-ASP

    Kama DPP anasema hawajaamua rasmi kumshtaki Lissu kwa kosa la uhaini, sasa kwanini wanaendelea kumshikiria kwa karibu miezi 3?

    Yaani hii nchi ina watu ovyo wanaoishi kwa kulipwa pesa nyingi ambazo ni kodi za wananchi. Yaani unamtuhumu mtu, unamkamata, unamuweka gerezani miezi mitatu bila kumshtaki, halafu unaibuka na kusema bado hujaamua rasmi kumshtaki!! Kama kuna ofisi ya kwanza ya umma inayopaswa kufumuliwa na...
  2. E

    Theopista Theonest aibuka mahakamani kesi ya Lissu

    Mbunge wa Viti maalum na aliyekuwa miongoni mwa wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA, Anatropia Theonest, leo Julai Mosi alikuwa mmoja watu waliofika kufuatilia kesi ya Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam. Fuatilia zaidi: Kesi ya Lissu live
  3. Erythrocyte

    GE2025 Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15 2025

    Hii kesi itakuwa Mubashara, kwahiyo kila mmoja atajionea Mwenyewe hoja kabambe. Kumbuka kwamba kwenye kesi hii Tundu Lissu anajitetea Mwenyewe https://www.youtube.com/watch?v=Y-Q-tR8W20U Tundu Lissu amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam kwa ajili kesi ya...
  4. Roving Journalist

    John Heche: Mahakama isipange kesi ya Lissu kwenye Vyumba vidogo

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA – Bara, John Heche ametoa wito kwa Mahakama kutumia Vyumba vikubwa wakati wa mchakato wa kesi ambayo Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu ameifungua katika Mahakama Kuu akiitaka kufanya marejeo ya kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama Kisutu. Heche...
  5. B

    Uamuzi wa mapingamizi ya Jamhuri Kesi ya Lissu, Mahakama kuyatolea uamuzi Julai 11, 2025

    Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kesi yake dhidi ya Jamhuri. Lissu amefungua kesi hiyo namba 14496/2025 akiomba marejeo ya mahakama kuhusu uamuzi uliotolewa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi yake ya uchochezi ambayo...
  6. Erythrocyte

    Tarehe 27 June, 2025 Lissu Mahakamani kupinga Uwepo wa Mashahidi wa Siri

    Taarifa ya Chademo iliyosambazwa kote Duniani hii hapa Swali: Ujanja ujanja kwenye Ushahidi wa kunyonga mtu unatoka wapi tena, Wekeni mashahidi wenu hadharani Dunia iwaone, Mbona yule Askari wa Doria mitandaoni mlimuanika?
  7. Mkalukungone Mwamba

    Tundu Lissu: Sasa naweza kuonana na mawakili wangu na kuzungumza faragha, na kushiriki huduma ya kiroho siku za ibada

    Ujumbe kutoka Tundu Lissu "Baada ya kuzungumza Mahakamani juu ya ukiukwaji wa haki zangu kama mfungwa gerezani; Sasa naweza kuonana na mawakili wangu na kuzungumza faragha, Sasa naruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mpira kama wafungwa wengine na Sasa naweza kupata huduma ya kiroho siku...
  8. Prof_Adventure_guide

    Uonevu dhidi ya Lissu: Watanzania hatuwezi kuendelea kuitwa taifa lenye akili halafu tukanyamazie ujinga wa mamlaka

    Wana JF heshima mbele! Kwa anayefuatilia kesi ya Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa umakini na kwa kutumia misingi sahihi ya taaluma ya sheria, bila ushabiki wa kisiasa, ataona wazi kuwa hii si kesi ya jinai, bali ni maigizo ya kisheria yaliyopangwa na watu wasiolitakia mema taifa hili. Sheria...
  9. Zanzibar-ASP

    Taswira iliyoonekana kwa wote waliokuwepo leo mahakamani wakati Lissu akiongea inatoa tasfiri nzito mnoo

    Leo Lissu alisimama mahakamani kuanza kujitetea, na tukio hilo lilikuwa likirushwa live kupitia mitandao. Mbali ya watu kufuatilia kile kilichokuwa kikisemwa na Lissu pia wengine tulikuwa busy kuangalia taswira (body language) ya watu wote waliokuwepo mahakamani, na hichi ndicho...
  10. Samia atosha tukutane2030

    Kosa kubwa walililofanya CHADEMA kwenye kesi ya Lissu

    CHADEMA chama kikuu cha upinzani kimefail kujua dhamira kuu ya watu waliomweka Lissu ndani. Lengo si kumnyonga kama ilivyo ada hukumu ya uhaini nchini. Lengo ni kumpunguza speed huku mhasimu wake akipewa point 2 kipindi hichi cha mshikemshike na miezi 2 ya mwisho kabla ya uchaguzi apewe point 1...
  11. Lord Denning

    PreGE2025 Mfanyie mtu vyote sio kumzuia Kusali Kwa anayofanyiwa Lissu, ni zaidi ya kuvunja Katiba

    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewekwa Haki kwa Watanzania wote kuwa na uhuru wa kuabudu na kufanya Ibada. Tanzania pamoja na kutokuwa na dini ila Wananchi wake wamepewa Haki ya kuabudu na kufanya Ibada na Sheria Kuu ya Nchi ambayo ni Katiba. Sio hivyo ili kuweka msisitizo wa...
  12. W

    PreGE2025 Lissu: Nimewekwa gerezani upande wa waliohukumiwa kifo kwa kunyongwa

    Akiongea mahakamani leo Tundu Lissu ameeleza kuwa licha ya kuwa hajahukumiwa lakini anakaa upande wa watu waliohukumiwa kifo katika gereza la ukonga. "Gereza la Ukonga lina sehemu mbili, kuna sehemu amabayo wafungwa wote waiohukumia miaka 30, mahabusu...... wanatakiwa wakae. Halafu kuna eneo...
  13. B

    PreGE2025 Kesi ya Uhaini ya Lissu yaahirishwa hadi Julai 01, 2025

    https://www.youtube.com/live/oU5eT7Dimu0?si=BYYHRNCBHOz_0_ye Siku hazikawii kufika, usikilizwaji kesi ya Lissu huo umewadia. Kama mnakumbuka wakayi uliopita upande wa mashtaka walisema wanahitaji muda zaidi kukamilisha upelelezi na wakaambiwa tarehe itakayopangwa kutakuwa hakuna nafasi ya hiki...
  14. L

    Lissu asipelekwe Mahakamani na badala yake kesi iendeshwe kwa Njia ya mtandao

    Ndugu zangu Watanzania, Nilikuwa naona mahakama ingefanya na kutoa maamuzi ya kuendesha kesi ya lissu kwa njia ya mtandao. Hii ni kutokana na sababu mbalimbali za msingi. Kwanza imeonyesha Wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakitaka kuhudhuria mahakamani kusikiliza kesi ya kiongozi wao. Wakati huohuo...
  15. Waufukweni

    PreGE2025 Askofu Mlawi: Kesi ya Lissu ziharakishwe kabla ya Uchaguzi

    Askofu Mkuu wa Makanisa ya SPCT na Rais wa Umoja wa Maaskofu, Wachungaji, Mitume na Manabii na Madhehebu ya Kikristo Tanzania, Askofu Mussa Mlawi, amevitaka vyombo vya utoaji haki nchini kuharakisha usikilizwaji wa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, na kuhakikisha suala hilo...
  16. W

    PreGE2025 Heche alaani kitendo cha polisi kushambulia raia mahakamani. Aliyeonekana akishambuliwa kwenye video afunguka

    https://www.youtube.com/watch?v=6Z3BEm0TZp0 Freddy Chacha Akieleza kilichowatokea baada ya kukamatwa na kupelekwa Mkuranga waliambiwa wanywe maji yaliyokuwa na sumu kwa sababu wameshindwa kumuheshimu mama aliyewaletea maji safi. Amesema pia ana ushahidi wa video jinsi walivyochkuliwa na polisi...
  17. Mikopo Consultant

    Kwa hii hali iliyop, kesi ya Lissu irudishe online tu; Lissu kwa sasa ni red line, hivo inafaa kupewa ulinzi mkali sana

    Serikali (simaanishi CCM) labda walikuwa wapo sahihi kuweka hii kesi online, ili kumuhakikishia usalama Tundu Lissu, kwasababu kwa sasa ni 'red line' - kiongozi mwenye ushawishi kwa watanzania kuliko yeyote; hivo endapo kikitokea chochote cha kumdhuru, itaweza kuleta shida kubwa sana, kuanzia...
  18. Parabolic

    PreGE2025 Muliro: Walichosema Mwangi na Atuhaire ni maoni yao

    Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro amejibu madai ya wanaharakati wawili kutoka Uganda, Agather Atuhaire (Uganda na Boniface Mwangi (Kenya) kuwa waliteswa walipokuwa Tanzania, akisema hayo ni maoni yao na kama wana malalamiko waende kushitaki kwenye mamlaka husika...
  19. Fbn

    Kuna mada hapa nilileta kuhusu nyumba za ibada msishangae kuona maaskari wakiwepo sasa kama wanavyofanya mahakamani kesi ya Lissu

    Kwa haya yanaondelea hakuna mskitini wala kanisani mkasema kutakuwa na usalama na sehemu ambazo zitakuwa zinawindwa na kuwekewa maaskari ni zile nyumba za ibada ambazo zinaeleza mwenendo wa nchi swala utekaji na uwongozi usiopenda wananchi. Tarajieni kuona mabunduki na silaha nzito pamoja na...
  20. J

    Wameshindwa kumtia Tundu Lissu hatiani kwa Uhaini. Sasa wanamtafuta kwa kosa la kudharau mahakama

    Upande wa mashtaka hauna ushahidi wa kumtia hatiani Tundu Lissu katika kesi ya uhaini, au ile nyingine. Sasa wameamua kumtafutia mashtaka mengine marahisi ili angalau waweze kumfunga. Ndio maana ukaona leo wamefanya makusudi kumuingiza Lissu mahakamani wakati Hakimu anaitisha kuanza kwa kikao...
Back
Top Bottom