kesi ya lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Serikali yaamriwa kufanya maamuzi haraka kesi ya Lissu

    Serikali imeamriwa kutoa uamuzi haraka katika kesi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu. Wakati wa kutajwa kwa kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, ilisema kuna haja ya uamuzi wa haraka kufanywa kama kuna ushahidi wa kutosha kumshtaki Lissu au kama...
  2. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Serikali yaamriwa kufanya maamuzi haraka kesi ya Lissu

    Serikali imeamriwa kutoa uamuzi haraka katika kesi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu. Wakati wa kutajwa kwa kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, ilisema kuna haja ya uamuzi wa haraka kufanywa kama kuna ushahidi wa kutosha kumshtaki Lissu au kama...
  3. funaku

    JamiiForums Tanzania Nani aliyemlisha Lissu matango pori eti kesi yake inafuatiliwa na Rais?

    Kuna mtu kamuingiza chaka kwa picha za AI na yeye akaingia mzimamzima akaanza kujisifu mahakamani. Acheni kumhadaa mwenzenu hii kesi ni very serious nyie mnaifanyia commedy
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu imetufumbua macho, taifa letu linahitaji katiba mpya ambayo itaondoa madaraka makubwa aliyonayo rais wa JMT

    Jaji mkuu wa Tanzania anateuliwa na Rais wa JMT kwa namna hii unadhani mahakama itakuwa chombo huru! Dpp anateuliwa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Kwa vyovyote vile atapeleka watu mahakani ili kumfurahisha aliyemteua. Angalia hii kesi inavyoenda! Yaani mtu kafanya uhaini mbele ya...
  5. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kesi ya Lissu ya Uhaini mambo yamefikia patamu na kwenye hatua ya muhimu sana. Tunasubiri kuona kitakachojiri

    Kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu imefikia patamu na kwenye hatua ya muhimu sana Iwapo DPP ataamua kuendelea na kesi, taratibu za kuhamisha shauri zitaanza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, na kesi itapelekwa Mahakama Kuu kwa ajili ya kusikilizwa. Mahakama Kuu...
  6. D

    JamiiForums Tanzania ITV kweli Super Brand asante kwa kuturushia mubashara kesi ya Lissu, sio waoga kuzidi hata tv za dini. Pumzika kwa amani Mzee Mengi

    ITV mnasitahili hata kutuwekea akaunti namba tuwachangie pesa ya uendeshaji hata kama mnajiendesha kibiashara hata wale jamaa wa dini wanatuwekea akaunti za michango wakati ni wafanyabiashara 100%.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu mbivu na mbichi zimeshaonekana, Sasa hivi ni dhahiri serikali haina hoja inatumia ubabe tu kuendelea kumuweka ndani

    Lissu amejenga hoja nzito mahakamani, amezungumza ameibana serikali/Jamhuri katika vipengele almost vyote vya msingi kuwa. 1. Kama ushahidi umekamilika twende mahakama kuu - Serikali inapiga danadana 2. Kama ushahidi haujakamilika- Serikali haijaomba muda wa kufanya uchunguzi zaidi. Kwa upande...
  8. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Waliofuatilia Mubashara Kesi ya Lissu ni Wengi Kuliko Hotuba ya Rais Kuvunja Bunge. Tatizo ni Nini? Tunakwama Wapi?

    Lazima kuna tatizo mahali katika siasa zetu au mapungufu mazito mahali. Kupitia TV zilizokuwa live na mitandao ya kijamii, leo watu wengi wamefuatilia kwa makini kesi ya Tundu Lissu anayetuhumiwa kwa Uhaini kuliko siku ya kuahirisha bunge Rais akihutubia taifa. Nini tatizo hapo hadi umakini wa...
  9. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Kama DPP anasema hawajaamua rasmi kumshtaki Lissu kwa kosa la uhaini, sasa kwanini wanaendelea kumshikiria kwa karibu miezi 3?

    Yaani hii nchi ina watu ovyo wanaoishi kwa kulipwa pesa nyingi ambazo ni kodi za wananchi. Yaani unamtuhumu mtu, unamkamata, unamuweka gerezani miezi mitatu bila kumshtaki, halafu unaibuka na kusema bado hujaamua rasmi kumshtaki!! Kama kuna ofisi ya kwanza ya umma inayopaswa kufumuliwa na...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Theopista Theonest aibuka mahakamani kesi ya Lissu

    Mbunge wa Viti maalum na aliyekuwa miongoni mwa wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA, Anatropia Theonest, leo Julai Mosi alikuwa mmoja watu waliofika kufuatilia kesi ya Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam. Fuatilia zaidi: Kesi ya Lissu live
  11. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15 2025

    Hii kesi itakuwa Mubashara, kwahiyo kila mmoja atajionea Mwenyewe hoja kabambe. Kumbuka kwamba kwenye kesi hii Tundu Lissu anajitetea Mwenyewe https://www.youtube.com/watch?v=Y-Q-tR8W20U Tundu Lissu amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam kwa ajili kesi ya...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania John Heche: Mahakama isipange kesi ya Lissu kwenye Vyumba vidogo

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA – Bara, John Heche ametoa wito kwa Mahakama kutumia Vyumba vikubwa wakati wa mchakato wa kesi ambayo Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu ameifungua katika Mahakama Kuu akiitaka kufanya marejeo ya kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama Kisutu. Heche...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa mapingamizi ya Jamhuri Kesi ya Lissu, Mahakama kuyatolea uamuzi Julai 11, 2025

    Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kesi yake dhidi ya Jamhuri. Lissu amefungua kesi hiyo namba 14496/2025 akiomba marejeo ya mahakama kuhusu uamuzi uliotolewa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi yake ya uchochezi ambayo...
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Tarehe 27 June, 2025 Lissu Mahakamani kupinga Uwepo wa Mashahidi wa Siri

    Taarifa ya Chademo iliyosambazwa kote Duniani hii hapa Swali: Ujanja ujanja kwenye Ushahidi wa kunyonga mtu unatoka wapi tena, Wekeni mashahidi wenu hadharani Dunia iwaone, Mbona yule Askari wa Doria mitandaoni mlimuanika?
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Sasa naweza kuonana na mawakili wangu na kuzungumza faragha, na kushiriki huduma ya kiroho siku za ibada

    Ujumbe kutoka Tundu Lissu "Baada ya kuzungumza Mahakamani juu ya ukiukwaji wa haki zangu kama mfungwa gerezani; Sasa naweza kuonana na mawakili wangu na kuzungumza faragha, Sasa naruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mpira kama wafungwa wengine na Sasa naweza kupata huduma ya kiroho siku...
  16. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Uonevu dhidi ya Lissu: Watanzania hatuwezi kuendelea kuitwa taifa lenye akili halafu tukanyamazie ujinga wa mamlaka

    Wana JF heshima mbele! Kwa anayefuatilia kesi ya Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa umakini na kwa kutumia misingi sahihi ya taaluma ya sheria, bila ushabiki wa kisiasa, ataona wazi kuwa hii si kesi ya jinai, bali ni maigizo ya kisheria yaliyopangwa na watu wasiolitakia mema taifa hili. Sheria...
  17. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Taswira iliyoonekana kwa wote waliokuwepo leo mahakamani wakati Lissu akiongea inatoa tasfiri nzito mnoo

    Leo Lissu alisimama mahakamani kuanza kujitetea, na tukio hilo lilikuwa likirushwa live kupitia mitandao. Mbali ya watu kufuatilia kile kilichokuwa kikisemwa na Lissu pia wengine tulikuwa busy kuangalia taswira (body language) ya watu wote waliokuwepo mahakamani, na hichi ndicho...
  18. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa walililofanya CHADEMA kwenye kesi ya Lissu

    CHADEMA chama kikuu cha upinzani kimefail kujua dhamira kuu ya watu waliomweka Lissu ndani. Lengo si kumnyonga kama ilivyo ada hukumu ya uhaini nchini. Lengo ni kumpunguza speed huku mhasimu wake akipewa point 2 kipindi hichi cha mshikemshike na miezi 2 ya mwisho kabla ya uchaguzi apewe point 1...
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mfanyie mtu vyote sio kumzuia Kusali Kwa anayofanyiwa Lissu, ni zaidi ya kuvunja Katiba

    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewekwa Haki kwa Watanzania wote kuwa na uhuru wa kuabudu na kufanya Ibada. Tanzania pamoja na kutokuwa na dini ila Wananchi wake wamepewa Haki ya kuabudu na kufanya Ibada na Sheria Kuu ya Nchi ambayo ni Katiba. Sio hivyo ili kuweka msisitizo wa...
  20. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu: Nimewekwa gerezani upande wa waliohukumiwa kifo kwa kunyongwa

    Akiongea mahakamani leo Tundu Lissu ameeleza kuwa licha ya kuwa hajahukumiwa lakini anakaa upande wa watu waliohukumiwa kifo katika gereza la ukonga. "Gereza la Ukonga lina sehemu mbili, kuna sehemu amabayo wafungwa wote waiohukumia miaka 30, mahabusu...... wanatakiwa wakae. Halafu kuna eneo...
Back
Top Bottom