kero

  1. Mathayo Fungo

    GE2020 Mitano ya Magufuli, Serikali imeshughulikia kero mbalimbali za wananchi

    Na Debora C. Kiyuga ✍🏽 Mitano ya Magufuli, Serikali imeshughulikia kero mbalimbali za wananchi, hususan wakulima, wavuvi, wafugaji, wafanyabiashara, wafanyakazi, wajasiliamali na bila kusahau migogoro ya ardhi. Mitano ya Magufuli, kwa upande wa wakulima, wavuvi, wafugaji na wafanyabiashara...
  2. Jidu La Mabambasi

    Mlimani City sasa hivi: Kero hii haikubaliki!!

    Sasa hivi ninavyoandika nimetokea njia ya Sam Nujoma, Ubungo kwenda Mwenge. Pale Mlimani City nilitaka kuingia na gari ili niingie benki. Kwanza nikakuta foleni kubwa toka mataa ya kuingia Sinza. Pili baada ya dakika 15 sikuweza kuingia Mlimani City kwa vile nimekuta polisi wengi na geti...
  3. BLUE BALAA

    Mtandao wa Vodacom umekuwa kero

    Mimi napata kero sana na Vodacom kwenye maswala ya mpesa na vifurushi vya maongezi. 1. Nimeshakatwaga songesha wakati sikuwa na deni 2. Nilinunua bundle la maongezi la mwezi dk1100 mitandao yote imepita wiki tu inaniambia la Vodacom limeisha. Worse enough uki report wanakuambia utapata majibu...
  4. Idugunde

    Mafanikio ya miaka mitano ya CCM, wateule wa Rais Magufuli hawatatui kero za Wananchi. Hapa tatizo lipo wapi?

    Mimi Idugunde huwa sipendi unafiki hata kidogo. Ni kweli CCM imefanya makubwa kipindi hili cha awamu ya kwanza ya uongozi wa JPM. Lakini kuna kasoro moja kubwa sana imejitokeza kwenye utawala wa huu. Maana kila anapofanya ziara zake Rais Magufuli huwa anakutana na watu ambao wana kero ambazo...
  5. Tulimumu

    Zingatia mambo haya unapopiga au kupigiwa simu ili usiwe kero

    Simu ni chombo muhimu sana cha mawasiliano lakini wakati mwingine kina weza kuwa karaha kutokana na sababu mbali mbali. A: Unapo mpigia mtu simu zingatia mambo haya. 1. Ukipiga simu ukiona haipokelewi kata usisubiri mpaka mtandao ukuambie kuwa simu yako haipokelewi. Usishikilie line muda mrefu...
  6. MGANGA WA KIENYEJI

    Kero hii ya abiria kushushwa kwenye mabasi ili wakaguliwe vitambulisho check point ya Vijinga, Wiliya ya Mkinga Mkoa wa Tanga itaisha lini?

    Hii ni kero ya muda sasa katika Check Point ya Vijinga, Wilaya ya Mkinga, Mkoa wa Tanga, kwa abiria bila kujali vikongwe au wazawazito au wagonjwa wote kushuka chini wafikapo Check Point hiyo ili kukaguliwa vitambulisho vya kura au uraia. Kwa kweli mantiki yake haionikani kwani kwa mtu yoyote...
  7. Mapensho star

    Shilingi mia tano imekuwa kero mtaani, maduka ya jumla wengi hawataki kuzipokea

    Tangia mabadiliko yafanyike ya pesa ya shilingi mia tano mwanzo ilikuwa ni noti lakini sasa ni sarafu, changamoto tunayoipata wananchi ni kwamba hii pesa imekuwa ni kero hasa zikiwa nyingi wenye maduka ya jumla wengi hawataki kupokea. Hivyo kusababisha kutokuingiza kwenye mzunguko; Mfano mimi...
  8. EINSTEIN112

    Petrol stations Morogoro Road ni kero sana

    Sisi tunaotoka Kiluvya kuja mjini hakuna vituo vya mafuta njiani, wajenzi wa barabara wameziba njia zote za kuingilia vituoni. Mfano kituo cha Henry Filling Station kilichopo Chuo cha St. Joseph kuingia hadi upite Luguruni utembee rough road kama 1km to & from ndio uendelee na safari. Oilcom...
  9. Jamaa Fulani Mjuaji

    Naona kama kupata hati pengine ni suala la wachache hapa nchini

    Wadau Naombeni msaada kidogo pengine hapa naweza kusaidiwa hata mawazo, hili jambo limenitesa sana nimekuwa nikifuatilia kupata hati ya eneo langu ambalo limepimwa na nimelipia kila kitu na risiti ninazo ila changamoto nilizokutana nazo mpaka nafanikiwa kupata invoice ya kwenda kulipia na kupata...
  10. Kennedy

    Mkuu wa Mkoa wa Morogoro litazame eneo la nane nane. Ni kero kwa foleni

    Kwaujumla watumiaji wa barabara ya morogoro eneo kuanzia Chuo Kikuu cha Jordan mpaka oilcom kumekuwa na foleni kubwa sana inayofanya watumiaji wakifika hapo kupoteza muda mwingi sana. Hakuna utaratibu mzuri uliowekwa ambao ungeruhusu magari yasiyo ya mizigo kupita kwa urahisi bila kero...
  11. Rusumo one

    Kero Stendi Kuu ya mabasi Shinyanga

    Kichwa cha habari hapo juu chajieleza, natokea Mpanda na kuingia stendi kwa basi la kampuni X muda wa kutoka tukazuiliwa na traffic polisi mweusi mrefu ambaye amelewa chakari ambaye alikuwa anatoa maelekezo ya hovyo na katukalisha kwa dk 40 bila sababu za msingi hii haipo poa pombe zake...
  12. D

    Mkandarasi anayejenga lami Kigamboni baada ya daraja (Mnadani) hazingatii kanuni za ujenzi; ni kero kubwa kwa wapita njia

    Mkandarasi aliyepewa kumalizia kuweka lami eneo korofi baada ya kuvuka daraja la Kigamboni (Mnadani) amegeuka kero kubwa Sana kutokana na staili yake ya ujenzi usiozingatia kanuni za ujenzi! Kanuni za ujenzi zinamtaka Mkandarasi kutumia Alama na michoro (posters) kutoa maelekezo kwa watumia...
  13. danjaboy

    Mgao wa Maji na Umeme kero kuu ya wakazi wa Jiji la Mwanza

    Huku mgao wa maji huku umeme jiji limekuwa kama wanaishi wahuni hivi mkuu wa mkoa huwezi kutatua matatizo kama haya au mpaka aje Rais? Leo umeme pia ni kero tupu maji ndo kama hivyo tunakimbizana na madumu kila siku wakati maji yapo hapa tu.
  14. MK254

    Watanzania hii ndio sababu ya kwanini tuliandika katiba mpya, mnamchosha rais na kero zenu kwenye misafara yake

    Enzi za katiba ya zamani hapa kwetu ilikua hivi hivi kama tunavyoshuhudia kwa Watanzania, kwamba maskini wanyonge wanalaghaiwa na kunyanyaswa bila msaada wowote, hata wakifika kwa wakuu wa mikoa taswira inabaki ile ile, mpaka siku msafara wa rais utapita, kisha umpigie rais makelele hadi akuskie...
  15. Mkogoti

    Wapangaji Wenzangu hizi kero Sasa. Asubuhi yote hii kukaa Uwani wengine ni shida

    Habarini za Asubuhi Bila shaka mu wazima wote wa Afya Mada yetu ni kuhusu hii kero ya wapangaji ninapokaa hapa yaani imekuwa shida sana Wanaamua tu kukaa uwani wengine hawana hata kazi Wengi ni wanawake unakuta labda mmoja ndio tu anafua au anafangia uwani, lakini sasa wapo njiani na karibu na...
  16. nimechafukwa

    Kero tunazokutana nazo kisa tumefanikiwa kimaisha

    Wadau lengo la Uzi huu sio kubrag wala kuwaumiza watu ambao bado wanapambana kimaisha ila bado hawajatoboa. Mimi ni mjasiriamali, na naweza kusema kwamba nimefanikiwa kwa kiasi fulani kwani Turnover yangu kwa siku si chini ya million 10 hizi ni baadhi ya kero nazokutana nazo kila siku 1...
  17. Q

    NSSF Ni kero kwa wanufaika

    Jamani habarini kumekuwa na shida kwa baadhi ya maofisa wa NSSF kuingia ubia na waajili ya kutopeleka michango kwa wakati matokeo yake wanaoumia ni wanufaika huku mchangiaji akikosa haki zake za msingi Kitendo hiki ni cha kinyama mfano mtu unatakiwa kupewa fao lako la uzazi lkn haki hii huwezi...
  18. G Sam

    Wananchi wa Kongwa wamkataa mbunge wao Job Ndugai, wamwambia Rais Magufuli asimtume kusikiliza kero zao

    Naona mzee katupia magwanda huenda anaenda hapo Monduli kwa shughuli za kijeshi. Any way, spika amekataliwa live mbele ya Rais Magufuli.
  19. Franky

    Askari wa usalama barabarani Mafinga ni kero

    Wasalaam, Siku mbili izi kuna video ya Waziri wa mambo ya ndani ya nchi akiongea na viongozi wa vyombo vya usalama imeonekana kwenye mitandao ya kijamii. Waziri huyo alionekana akiwalalamikia sana traffic kwa kufanya kazi bila kuzingatia sheria, utu pia kufanya overcrowding barabarani, unakuta...
  20. masopakyindi

    TARURA Bagamoyo barabara ya Kaole imekuwa kero

    Kwa muda wa zaidi ya miezi miwili sasa barabara ya Kaole(Bagamoyo Secindary hadi Kaole) imekuwa ikiwekewa vifusi ambavyo havija sambazwa. Hii ni kero kubwa. Vifusi hivi viko kati kati ya arabara na wananchi wanapita kwa taabu sana. Kaole ndiko kuna vivutio vya utalii wa wageni w kale toka...
Back
Top Bottom