Naombeni usahauri nifanye nini kujikwamua kimaisha, najihisi kuwa kero kwa wazazi

Saoka

JF-Expert Member
Oct 23, 2018
404
563
Habari ndugu zangu wa huku wakubwa kwa wadogo, kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 25, pia nimuhitimu wa chuo kikuu fulani fani ni usimamizi na uongozi(Public administration and Management) Diploma (2019) pamoja na Computer Application.

Nimekuja hapa mbele zenu kuwaombeni ushauri kwa kuwa tangu nihitimu mpka leo sijayafikia malengo yangu binafsi kwakuwa bado sijapata Ajira rasmi ila nilikuwa nikijihusisha na mambo mengine tofauti ilimradi kujipatia kipato imean, shughuli ndogo ndogo za hapa na pale kwakuwa bado naishi na wazazi na Sina mwongozo wowote ule..

Hivyo kwa kuwa nimekuwa naishi na wazazi basi Nina changamoto mbali mbali ikiwemo wazazi kunisema vibaya ilhali bado sijaweza kujishkiza vizuri/kujitegemea binafsi, hivyo inafikia hatua hata kuniona kama mzigo kwao,kitu ambacho kinanifanya kujisikia vibaya hata ninapopita mbele za watu

Hivyo ndugu zangu naombeni mnishauri nini nikifanye hata tofauti na huu mkoa niliopo wenda kwangu kitaweza kunifariji na kunitia nguvu zaidi kwa kuwa huwa sichagui kazi yeyote ile nafanya ilimradi tu iwe ya halali, nahisi kwa kuwa nipo karibu na wazazi naona kama nikero kwao maana mara zote tupo pamoja nao..

NB; Hata ikiwa nje ya Taaluma yangu nipo Tayari kikubwa nitoke haya maeneo ya nyumbani maana naona kama nimekuwa kero kwao.
 
Uko mkoa/mji gan?

Anyway wazazi mara nyingine wanaweza kuona jitihada unazofanya za kutafuta kazi hazitoshi.

Sio wakulaumu sana, ichukulie hiyo kama changamoto na push factor ili ukomae na kupata hasira zaidi.

Kwa TZ, kazi mara nying hupatikana mwenye miji mikubwa.

Tengeneza CV nzuri, fanya application mara kwa mara hasa hizi kazi ambazo hazihitaj uzoefu, jaribu kuandika barua za kuomba internship au kujitolea.

Kuwa member kwenye Job sites mbali mbali, anza na Tume ya ajira.

Pia nenda na apply kazi kwa hawa recruitment agencies.

Empower limited, erolink, brighter Monday, job junction, NFT, radar recruitment. nk nk.

Ni kazi ngumu ila kutafuta kazi na mpaka uitwe interview na yenyewe ni kazi ya kwanza.
 
Uko mkoa/mji gan?.

Anyway wazazi mara nyingine wanaweza kuona jitihada unazofanya za kutafuta kazi hazitoshi.

Sio wakulaumu sana, ichukulie hiyo kama changamoto na push factor ili ukomae na kupata hasira zaidi.

Kwa TZ, kazi mara nying hupatikana mwenye miji mikubwa.

Tengeneza CV nzuri, fanya application mara kwa mara hasa hizi kazi ambazo hazihitaj uzoefu, jaribu kuandika barua za kuomba internship au kujitolea.

Kuwa member kwenye Job sites mbali mbali, anza na Tume ya ajira .
Pia nenda na apply kazi kwa hawa recruitment agencies.
Empower limited, erolink, brighter Monday, job junction, NFT, radar recruitment. nk nk.

Ni kazi ngumu ila kutafuta kazi na mpaka uitwe interview na yenyewe ni kazi ya kwanza.
Ahsante kaka kwa ushauri mzuri
 
Hivyo ndugu zangu naombeni mnishauri nini nikifanye hata tofauti na huu mkoa niliopo wenda kwangu kitaweza kunifariji na kunitia nguvu zaidi kwa kuwa huwa sichagui kazi yeyote ile nafanya ilimradi tu iwe ya halali
Ushauri wangu unaegemea kwenye hii sentensi yako ambayo ndio nguzo muhimu sana katika maisha ya Graduates hususan Tanzania. Kwanza kabisa nikupongeze kwa moyo wako wa kutochagua kazi yoyote.

Pili, usikate tamaa kwa maneno yoyote ya mtu yoyote atakae kusema vibaya au kukubeza kwa hali unayopitia, endelea kukomaa mpaka siku ya mwisho wa maisha yako, kwa kufanya kazi yoyote ya halali itakayopatikana mbele yako ifanye kwa mipango thabiti ili ikusaidie kufikia malengo yako.

Tatu, Lazima tujue Mungu anabariki kazi ya mikono yako (Iwe ya kuajiliwa au ya kujiajili mwenyewe/ kazi ya professional yako au kazi ambayo sio professional yako) Ili mradi ni kazi halali ya mikono yako ifanye kwa bidii ikipatikana na utapata ridhiki yako.

Mwisho, Mimi ni graduate (2017) na nimejifunza kitu tangu nimalize chuo mwaka huo bila kupata kazi ya professional yangu niliyoisomea mpaka leo zaidi napata kazi za nje ya professional niliyoisomea. Nimejifunza mambo yafuatayo :-

1.) Elimu za taaluma mbalimbali tulizosomea ni nzuri zimetusaidia kutujengea skills mbalimbali zitakazotusaidia katika maisha, na hatutakiwi kuumia au kupata stress ikitokea hatujapata kazi za professional tulizosomea kutokana na sababu mbalimbali za mifumo ya elimu na ajira nchini, kwani kila mwaka vyuo vinatema graduates wapya.

2.) Kama Graduate unakua na faida kuu mbili katika kufanya kazi ya mikono yako, (a) Kufanya kazi ya taaluma uliyoisomea (b) Kufanya kazi ya nje ya taaluma uliyoisomea iwe kwa kuajiliwa au kujiajili mwenyewe. Hivyo (Mentality) hii ndio inayotakiwa iwe kichwani muda wote wa maisha yako.

3.) Mladi upo hai na unapumua mshukuru Mungu kwa zawadi hiyo ya uhai, pia tumia zawadi hiyo ya uhai kutokukata tamaa na kuendelea kupambana kwa kufanya kazi halali yoyote itakayopatikana, iwe ya ( kuajiliwa au ya kujiajili mwenyewe/ kazi ya professional yako au kazi ambayo sio professional yako), Ifanye kazi hiyo halali kwa bidii na malengo ili kuyafikia malengo yako. USIKATE TAMAA KOMAA MPAKA SIKU YA MWISHO WA MAISHA YAKO HAPA DUNIANI.

MWISHO, Kuwa na positive vibes, ideas, visions n.k muda wote usiruhusu mtu yoyote akukatishe tamaa. Fanya kazi ya mikono yako. Ridhiki inapatikana ndani au nje ya professional yako uliyoisomea mahali popote ndani na nje ya nchi, huu ndio mfumo halisi wa maisha duniani kote. Hata mwanangu nitakuja kumwambia UKWELI HUU HALISI WA MAISHA AMBAO WAZAZI WENGI HAWAUSEMI KWA WATOTO ZAO NA KUPELEKEA WATOTO ZAO KUPATA STRESS.
 
Uko mkoa/mji gan?

Anyway wazazi mara nyingine wanaweza kuona jitihada unazofanya za kutafuta kazi hazitoshi.

Sio wakulaumu sana, ichukulie hiyo kama changamoto na push factor ili ukomae na kupata hasira zaidi.

Kwa TZ, kazi mara nying hupatikana mwenye miji mikubwa.

Tengeneza CV nzuri, fanya application mara kwa mara hasa hizi kazi ambazo hazihitaj uzoefu, jaribu kuandika barua za kuomba internship au kujitolea.

Kuwa member kwenye Job sites mbali mbali, anza na Tume ya ajira.

Pia nenda na apply kazi kwa hawa recruitment agencies.

Empower limited, erolink, brighter Monday, job junction, NFT, radar recruitment. nk nk.

Ni kazi ngumu ila kutafuta kazi na mpaka uitwe interview na yenyewe ni kazi ya kwanza.
Naomba kuuliza, kwenye shirika la serikali kazi wanaanza kwanza kutafuta watu wapi kati ya taesa na ajira portal.?
 
Habari ndugu zangu wa huku wakubwa kwa wadogo, kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 25, pia nimuhitimu wa chuo kikuu fulani fani ni usimamizi na uongozi(Public administration and Management) Diploma (2019) pamoja na Computer Application.

Nimekuja hapa mbele zenu kuwaombeni ushauri kwa kuwa tangu nihitimu mpka leo sijayafikia malengo yangu binafsi kwakuwa bado sijapata Ajira rasmi ila nilikuwa nikijihusisha na mambo mengine tofauti ilimradi kujipatia kipato imean, shughuli ndogo ndogo za hapa na pale kwakuwa bado naishi na wazazi na Sina mwongozo wowote ule..

Hivyo kwa kuwa nimekuwa naishi na wazazi basi Nina changamoto mbali mbali ikiwemo wazazi kunisema vibaya ilhali bado sijaweza kujishkiza vizuri/kujitegemea binafsi, hivyo inafikia hatua hata kuniona kama mzigo kwao,kitu ambacho kinanifanya kujisikia vibaya hata ninapopita mbele za watu

Hivyo ndugu zangu naombeni mnishauri nini nikifanye hata tofauti na huu mkoa niliopo wenda kwangu kitaweza kunifariji na kunitia nguvu zaidi kwa kuwa huwa sichagui kazi yeyote ile nafanya ilimradi tu iwe ya halali, nahisi kwa kuwa nipo karibu na wazazi naona kama nikero kwao maana mara zote tupo pamoja nao..

NB; Hata ikiwa nje ya Taaluma yangu nipo Tayari kikubwa nitoke haya maeneo ya nyumbani maana naona kama nimekuwa kero kwao.
Nicheck pm tuongee zaidi
 
Kijana mimi naamini wazazi wako wana kwao ambapo wengi wetu tunapaita kijijini..kama elimu yako unaona haikusaidii na unaajihisi huwezi kukidhi vigezo vya “MWENYE NGUVU AISHI NA ATAWALE” nakushauri urudi kwao na wazazi wako naamini kule kunamashamba na hakuna ushindani..ukiitumia elimu yako kidogo tu jule utaonekana kama muwekezaji kwanamna utakavyokuwa unaendrsha mishe zako..kama utakuwa makini lakini pia kama uatkuwa na bahati..baadae utarudi mjini ukiwa na mitazamo mikubwa zaidi
 
Habari ndugu zangu wa huku wakubwa kwa wadogo, kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 25, pia nimuhitimu wa chuo kikuu fulani fani ni usimamizi na uongozi(Public administration and Management) Diploma (2019) pamoja na Computer Application.

Nimekuja hapa mbele zenu kuwaombeni ushauri kwa kuwa tangu nihitimu mpka leo sijayafikia malengo yangu binafsi kwakuwa bado sijapata Ajira rasmi ila nilikuwa nikijihusisha na mambo mengine tofauti ilimradi kujipatia kipato imean, shughuli ndogo ndogo za hapa na pale kwakuwa bado naishi na wazazi na Sina mwongozo wowote ule..

Hivyo kwa kuwa nimekuwa naishi na wazazi basi Nina changamoto mbali mbali ikiwemo wazazi kunisema vibaya ilhali bado sijaweza kujishkiza vizuri/kujitegemea binafsi, hivyo inafikia hatua hata kuniona kama mzigo kwao,kitu ambacho kinanifanya kujisikia vibaya hata ninapopita mbele za watu

Hivyo ndugu zangu naombeni mnishauri nini nikifanye hata tofauti na huu mkoa niliopo wenda kwangu kitaweza kunifariji na kunitia nguvu zaidi kwa kuwa huwa sichagui kazi yeyote ile nafanya ilimradi tu iwe ya halali, nahisi kwa kuwa nipo karibu na wazazi naona kama nikero kwao maana mara zote tupo pamoja nao..

NB; Hata ikiwa nje ya Taaluma yangu nipo Tayari kikubwa nitoke haya maeneo ya nyumbani maana naona kama nimekuwa kero kwao.
Wapi upo yaani unaishi wapi nw,,,Kuna Mambo mengi ya kufanya 0759847830 nicheki tuongee
 
Back
Top Bottom