Wahadhiri waliostaafu na kuajiriwa kwa mikataba ni kero vyuoni

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,080
10,037
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
 
Vyuo vikuu vyetu,viwe na utaratibu wa kuandaa wataalaam /vijana watakaochukua Majukumu ya maprofesa wanao tarajiwa kustasfu (Succession plan).
Maprofesa wameongezewa umri wa kustaafu.kutoka miaka 60 mpaka 65 lakini bado,wanashindwa kuwatayarisha vijana wa kuwakabidhi Majukumu yao muda wa kustaafu unapofika,wanajiumiza na kazi au la wanatumia notes za kizamani,zilizopitwa na wakati kufundishia
 
Vyuo vikuu vyetu,viwe na utaratibu wa kuandaa wataalaam /vijana watakaochukua Majukumu ya maprofesa wanao tarajiwa kustasfu (Succession plan).
Maprofesa wameongezewa umri wa kustaafu.kutoka miaka 60 mpaka 65 lakini bado,wanashindwa kuwatayarisha vijana wa kuwakabidhi Majukumu yao muda wa kustaafu unapofika,wanajiumiza na kazi au la wanatumia notes za kizamani,zilizopitwa na wakati kufundishia
Hivi vibabu vinawafelisha makusudi ili wasifikie required qualifications
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
Wewe ni mvivu husomi. Mbona wengine wanafaulu kwa kufundishwa na hao hao experienced professors unaowaita vibabu. Huna adabu wewe.
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
Hii naungana nawe. Japo si wote,wengi ni wajinga tena wenye roho mbaya. Nakumbuka wenzetu Makerere huwaita PhD or Pull Him/Her Down profs. Hata hivyo, msikonde, vitakufa kimoja hadi kingine. Hivi ndivyo vinakwamisha vijana wetu. Utajifisiaje kufelisha wakati Ulaya au Marekani ikitokea hivyo unachunguzwa na kupewa onyo. Nadhani vyuo vyetu vijenge utaratibu wa kutathminiana ambapo wanafunzi, anonymously wanamuevaluate prof na prof anawaevaluate.
 
Hakuna kitu kama hicho. Wewe ushinde WhatsApp halafu ufaulu kirahisirahisi tu. Hiyo itakuwa elimu au kupeana degree tu.
Mbona wakienda kusoma nje ya nchi wanafaulu vizuri
 
Hii naungana nawe. Japo si wote,wengi ni wajinga tena wenye roho mbaya. Nakumbuka wenzetu Makerere huwaita PhD or Pull Him/Her Down profs. Hata hivyo, msikonde, vitakufa kimoja hadi kingine. Hivi ndivyo vinakwamisha vijana wetu. Utajifisiaje kufelisha wakati Ulaya au Marekani ikitokea hivyo unachunguzwa na kupewa onyo. Nadhani vyuo vyetu vijenge utaratibu wa kutathminiana ambapo wanafunzi, anonymously wanamuevaluate prof na prof anawaevaluate.
Nikusaidie tu, hiyo tathmini inafanyika mbona. Halafu huna adabu, umewakashfu wazee. Hao retired professors wapo hata ulaya. Tena huitwa professor emeritus. Wako very resourceful, vinginevyo na wewe ni kilaza unayetaka kupasishwa bila kutoka jasho.
 
Kadisco huyo dogo ndio maana kaamka na kuwashambulia emeritus professors wetu.
Vina uhusiano gani na vibabu kuongezewa muda kwani vijana hamna? Mbona serikalini madaktari wanastaafu na kuondoka, iweje mwalimu wa history isistaafu na kuondoka chuoni
 
Tunalalamika elimu yetu imekuwa duni halafu kuna kibabu kinafundisha education qualities na kilishagoma kustaafu. Kwanini tusikitumbue tu
 
Nikusaidie tu, hiyo tathmini inafanyika mbona. Halafu huna adabu, umewakashfu wazee. Hao retired professors wapo hata ulaya. Tena huitwa professor emeritus. Wako very resourceful, vinginevyo na wewe ni kilaza unayetaka kupasishwa bila kutoka jasho.
Hakuna uhusiano kati ya kuongezewa muda au kuajiriwa kwa mkataba na wanafunzi kushindwa kupata masters na Ph.D. Katika vyuo vyote vikuu TZ mamia ya wanafunzi wanapata masters na Ph.D. na kuna wachache wanaofeli. Mpaka sasa vyuo vingi vina mahitaji ya maprofessor wenye Ph.D. makubwa sana. Ndiyo maana vyuo vingi vinawaongezea muda wanaofikisha umri wa kustaafu.

Hebu aangalia maprefessor kama wale wa Bugando, Muhimbili, Mlongazila, Mbeya, KCMC na kwingineko. Wengi wanastaafu na inachukuwa miaka mitano hadi kumi kupata mtu mwenye utaalamu wake wa tiba binadamu. Sasa wewe kilaza unataka hao wasiongezewa muda ili kuwatiyarisha madaktari wa kesho aukutiba baba/babu na mama/bibi zako, unatake akae nyumbani watu wafe wakati angesaidia.

Kumkuka, kuwa professor siyo lazima masprofessor waliyopo wastaafu. Hii ni ngazio unayoipata kwa bidii yako ya service and academic publications. Kuwapo huyo professor hasa wakati anahitajika hakukuzuii wewe kuupata uprofessor. Wewe unasumbuliwa na gere!
 
Nikusaidie tu, hiyo tathmini inafanyika mbona. Halafu huna adabu, umewakashfu wazee. Hao retired professors wapo hata ulaya. Tena huitwa professor emeritus. Wako very resourceful, vinginevyo na wewe ni kilaza unayetaka kupasishwa bila kutoka jasho.
Si kweli, evaluation inayofanyika ni ya kizamani. Pia, nimesema wazi kuwa si wote. Professor emeritus wapo ila hawafelishi kama alivyosema mleta hoja. Ni bahati mbaya sikusomea hivyo vyuo vyetu vya nyumbani. Ni free thinker ambaye amenufaika na vyuo huru visivyo na ujinga aliotaja mleta hoja kuwa watu wanajifisia kufelisha. Kama wewe ni mmojapo pole sana kaka yangu. Mie si kilaza. Ni msomi wa haja na nimechapisha sana tu. Acheni roho mbaya basi mheshimike.
 
Tunalalamika elimu yetu imekuwa duni halafu kuna kibabu kinafundisha education qualities na

Si kweli, evaluation inayofanyika ni ya kizamani. Pia, nimesema wazi kuwa si wote. Professor emeritus wapo ila hawafelishi kama alivyosema mleta hoja. Ni bahati mbaya sikusomea hivyo vyuo vyetu vya nyumbani. Ni free thinker ambaye amenufaika na vyuo huru visivyo na ujinga aliotaja mleta hoja kuwa watu wanajifisia kufelisha. Kama wewe ni mmojapo pole sana kaka yangu. Mie si kilaza. Ni msomi wa haja na nimechapisha sana tu. Acheni roho mbaya basi mheshimike.
Usomi wako nautilia shaka hata kama una machapisho. Iweje umuamini huyo dogo kirahisi ati watu wanafelishwa. Usitutishe na vyuo vya nje kwani hata sisi tumesoma huko bwana ebo!
 
Usomi wako nautilia shaka hata kama una machapisho. Iweje umuamini huyo dogo kirahisi ati watu wanafelishwa. Usitutishe na vyuo vya nje kwani hata sisi tumesoma huko bwana ebo!
Oncogene vyuoni mziachie damu changa, mbona kwa Prof janabi kuna vijana wadogo wanaukongoroa moyo na kuurudishia, uweje vijana washindwe kufundisha archeology?
 
Back
Top Bottom