Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Waswahili wanasemaga kuwa iga kilicho bora.
Takukuru ya nchini Kenya inaonyesha jinsi ya angalau kupunguza rushwa ya matraffic nchini humo.
Hii style ingetufaa hapa kwetu maana haina haja ya upelelezi tena hapo.
Watumishi wa afya 290 kati ya 300 nchini Kenya wamefeli mtihani wa Kiingereza ambao ungewawezesha kupata kazi katika shirika la afya la Uingereza (NHS).
Julai 2021 Kenya iliingia makubaliano na Uingereza ambayo yatatoa fursa za ajira kwa wauguzi (wa Kenya) ambao hawana ajira.
Equity Group has set aside Sh500 billion to finance Kenyan and South African firms seeking to trade or invest in Africa, in a move to expand its business beyond seven countries where it operates.
The bank will offer credit to companies that want to set up manufacturing, construction, health and...
Walinzi watatu wa Shule ya upili ya Wasichana ya Komothai Nchini Kenya wamekamatwa kwa tuhuma za kumuua Mwanafunzi wa kiume wa Shule nyingine jirani ya Wavulana aliyekutwa kwenye Bweni la Wasichana la Shule hiyo saa kumi alfajiri wiki iliyopita.
Taarifa ya leo imesema Walinzi hao Joseph Mutahi...
Ni ile Jumuiya ya Afrika mashariki iliyokufa mwaka 1977.
Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano.
Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda
Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu
Je, tumebadilika?
Jumaa kareem!
Retired chief of the general staff, general Karangi ambaye ndiye alikuwa mkubwa wa majeshi 2012 wakati KDF iliitimua Al Shabab kutoka Kismayu aelezea planning iliyofanyika ili kuiwezesha Kenya kuchukua city hii kutoka kwa Al Shabab. City hii ya Kismayu ni muhimu maana ndio mji wa pili kwa ukubwa...
Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl
Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu...
Kuna hii video nimepatana nayo huko youtube nakuambia imeniwacha hoi, nimecheka kweli. Siasa ya Kenya kweli ina ucheshi sana. Halafu huyu jamaa aliyeunda hii video namvulia kofia. Hongera kwake.
Mtoto wa miaka 14 wa Navakholo, Kaunti ya Kakamega amemuua mwanafunzi mwenzake wa miaka 10 kwa kumpiga na kitu kichwani na kuutupa mwili wake Mto Simakina
Mtoto huyo aliporudi shule aliambiwa mwenzake (Jirani yao) ameshakula Ugali Kunde aliowekewa, ndipo alipomfuata machungani na kumshambulia...
The high court in Kenya has declared illegal the rollout of a biometric ID scheme also known as Huduma Namba.
The judge said the rollout went against the 2019 data protection act.
The government was also faulted for not assessing how data protection would be impacted before the rollout.
The...
Tofauti na Chadema wanaodhani Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta atazungumzia mambo ya Kenya tu kwenye kikao chake na Rais Joe Biden wa Marekani, ukweli ni kwamba hata Tanzania tutanufaika na mkutano wa wawili hao.
=======
Biden Welcomes Kenyatta to the White House
U.S. President Joe Biden hosts...
Watanzania tuna jambo la kujifunza na kuchukua hatua sahihi hivi sasa kutokana na mgogoro wa mpaka wa baharini baina ya Kenya na Somalia. Tusijifanye vipofu hatuoni ukweli uliopo. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliopo hivi sasa ni wa muda tu kama katiba ya Serikali ya Muungano haitafanyiwa...
Uamuzi huo wa Jumanne unafungamanisha kisheria, inagwa mahakala hiyo ya Umoja wa Mataifa haina mamlaka ya utekelezaji.
Jopo la majaji 15 likiongozwa na jaji wa Marekani Joan Donoghue lilitoa uamuzi huo katika Peace Palace iliyoko Hague.
Kenya ilikuwa inataka, mpaka huo usalie jinsi ulivyo...
Kuna usemi unasema mwenzio akinyolewa zako tia maji.
Kutokana na mwenendo wa kesi za kimataifa kuhusiana na mipaka inaonyesha mahakama na hata jumuiya ya kimataifa haina nguvu sana ya kulazimisha uamuzi wa mahakama.
Nilichojifunza ni kwamba kwenye mivutano yetu ya mipaka kinachoweza kukusaidia...
The only and indeed only way out of election chaos in Kenya 2022 caused by the rigid and perpetual aspirants exclusive of Raila for his unique sanity and if left out of 2022 league nomination; is for Kenyans to vote to Statehouse a female president (but not Martha Karua) so that the male...
Kwenye simu yangu sina mix hata moja ya dj wa kitanzania,sijawahi kupata.
Madj maarufu wa kenya na wakali hawa hapa.
1. Dj Prince
2. Dj Perez
3. Dj Shinsk
4. Dj Layta
Huwezi kukuta mtanzania ana mix yeyote ulakosaajina ya hawa jamaa. Ni wakali sana. Kuna jamaa mmoja anajiita mc fullstop...
Works during construction of phase 2 of the Standard gauge Railway in June 2018. PHOTO | FRANCIS NDERITU | NMG
Kenya led the world in completing China-funded mega projects ahead of schedule under Beijing’s global infrastructure development strategy, findings of a new study by a top US research...
Kenya imechoka kubembeleza punda kwenye mteremko. Hawa Shabab wamekimbia kwenye mahakama ya kimataifa eti kujaribu kunyakua mipaka ya Kenya. Lakini Kenya imeshasema haitambui judgement itakayotolewa na mahakama ya ICJ. Kenya itaendelea kulinda mipaka yake kama kawaida.
Nimesikiliza kwenye taarifa ya habari ya dw kuhusu mwanasiasa mkongwe wa siasa za upinzani nchini Uganda ambapo wamesema huenda wazo la kuunganisha vyama kumi vya kisiasa nchini uganda na kuunda muungano mpya wa kisiasa dhidi ya nrm, alilipata nchini kenya ambako alifanya ziara hivi karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.