Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya, David Maraga, amekamatwa na Polisi asubuhi ya Jumatatu, Juni 8 2026, muda mfupi baada ya kuanza maandamano dhidi ya ujenzi wa miundombinu ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Nairobi. Waandamanaji wengine tisa pia walikamatwa pamoja naye. Polisi na maafisa wa kulinda misitu...