kauli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Kauli mbiu ya Rais gani iliwahi kufanikiwa hata kidogo tu?

    1. Ukweli na Uwazi-Mkapa 2. Maisha Bora kwa kila Mtanzania-JK 3. Tanzania ya Viwanda-Magufuli 4. Kazi na Utu-Samia
  2. M

    Je, unaelewa kauli hii ya wanawake kwamba " ukinichiti nami nakuchiti"?

    Kuna kauli ambayo wanawake wa sasa wanatoa eti ukinichiti na mimi nakuchiti mpaka najiuliza how come Yaani Ukichiti mume wako na mwanaume mwingine unakuwa unamkomoa au unajikomoa sijawahi kuelewa hii mimi
  3. M

    Benjamin Netanyahu atoa kauli ya kibabe: Mnaweza kukimbia, mnaweza kujificha, lakini mwishowe tutawapata tu

  4. Inside10

    Hii Kauli Ni Sahihi Kutolewa Na Inspekta Wa Polisi: " Tusiruhusu Watu Kula Mchana MwezinWa Ramadhani Ni Mwezi Wa Heshima" !?

    Wakuu Hii Video Sijui Ya Lini Nimekutana Nayo Mtandaoni.. https://www.instagram.com/reel/DVmBxopCM-5/?igsh=Nnp2amUycTVub3Ax
  5. A

    Kama Kauli zina Umba Kosa ni Mara Ngapi WA CCM wanafanya Hivyo lakini hatuoni Mashtaka

    Kume kuwa na kauli mbali mbali zanazotolewa na wana siasa hususan wa chichiemu ambazo zina chochea uvunjifu wa Amani na ni kinyume cha sheria, lakini hakuna hatua zinazo chukuliwa dhidi. Yao, lakini ikiwa kauli inayo karibia na hiyo na haipo kinyume cha sheria, lakini nguvu za dola, magazeti...
  6. Pdidy

    WAMAMA PUNGUZEN HIZI KAULI KWENYE NDOA ZENU WANAUME WENGI WAMEPINDA NA MAISHA SIKUHIZI USIONE ANACHEKA NYUMBAN

    WAMAMA PUNGUZENI KAULI HIZI KWA WAUME ZENU 🙏 Kila mzazi ana haki ya kumlea mtoto wake. Malezi si jukumu la mama peke yake wala baba peke yake… ni ushirikiano 🤝 Lakini kuna kauli ambazo zinaumiza, zinadhoofisha mamlaka ya baba, na zina changanya watoto😔 Epuka kauli hizi mbele ya watoto👇...
  7. Carlos The Jackal

    Kama walishindwa kujua Mh Gwajima Bishop alipo, basi Hawana intelijensia yoyote , Kauli ya Polisi ya "Tunawafatilia" ni Kujimwambafai tu !!.

    Jambo nalowahakikishia kama Mh Polepole , Balozi, alifika Nchini hawakujua, Kakaa miezi yote hiyo hawakujua, Utasema wana INTELIJENSIA??. Bisho Gwajima Kakaa Dar , muda wake wotee huo mpaka Leo hii, hata hawajui anapolala ,licha ya wao KUMFATILIA sana usiku na mchana , Utasema wana...
  8. Allen Kilewella

    Bila Quran hakuna amani: Kauli mbinu hii sijaielewa

    Mashindano ya usomaji Quran mwaka huu yamepewa kauli mbiu "bila ya Quran hakuna amani" Mimi sijaelewa inamaanisha nini.
  9. ELI COHEN

    Kuna wakati wabongo walitaka kutuaminisha na hii kauli "hata hao wazungu wana uchawi wao"

    Acha uvivu, acha ushirikina. Mbinu zinazoonekana na halisia ndio hutatua matatizo au changamoto. Wekeza katika fikra halisia na sio za kufikirika. Biashara ni mtaji sio kuchinja kuku. Kupanda cheo ni bidii au kupendelewa sio kuchinja mbuzi. Hakuna cha nyota kuchukuliwa wala sijui kufifia...
  10. The Palm Beach

    Hii kauli ya Nchimbi inaashiria kitu kimoja tu; kuna jambo zito na baya Ikulu ambalo sisi huku nje hatujalifahamu!

    https://www.jamiiforums.com/threads/nchimbi-awaomba-viongozi-wa-dini-kumwombea-rais-samia-dhidi-ya-watu-wabaya.2418471/ Hiki ni kipande kidogo cha video clip cha hotuba ya VP Dr Emmanuel Nchimbi alipohudhuria mkutano wa CPCT jana tarehe 7/2/2026. Ujumbe wa hotuba hii unasisitiza mambo kadhaa...
  11. MamaSamia2025

    "Acha watafune, tutachanga tena" ni kauli inayohuzunisha toka kwa baadhi ya wanaCHADEMA

    “He Killed My Ma, He Killed My Pa… I'll Vote for Him” Hiyo ilikuwa slogan ya wafuasi wa dikteta Charles Taylor wa Liberia mwaka 1997 kwenye uchaguzi mkuu baada ya kuisha kwa vita vya kwanza vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 1996. Vijana walijitoa ufahamu na kudai hata kama Taylor aliwaua baba na...
  12. Bawabu wa pili

    Mane angezingatia kauli ya mama yake, basi tusingemfahamu leo

    Nyota wa soka wa Senegal, Sadio Mané, aliwahi kufichua ukweli wa safari yake yenye maumivu, upinzani na ndoto kubwa kabla ya kufanikiwa katika soka la dunia.Mané anasema kuwa akiwa mdogo, mama yake alimwambia wazi kuwa kucheza mpira ni kupoteza muda, akiamini kuwa hakuna njia ya mtoto wa...
  13. Pakome

    Dudu Baya hapati utamu kwenye kauli zake pasipokutamka neno shoga

    Dudu Baya huwa hapati kabisa utamu pasipokutamka neno shoga kwenye kauli zake Nikama akili ya Dudu Baya imejaa ushoga Hakuwahi kuzungumzia swala lolote pasipokutamka shoga Hapatagi utamu anapokuwa na wanaume pasipokuwatukana mashoga Sijafahamu kiwango cha ushoga katika akili yake ni cha...
  14. Sifi Leo

    Hizi kauli za Samia zinanichanganya sana. Je, nijinyonge kwa Ajili ya nchi yangu ndo mjue naipenda?

    Siku aliyokuwa anaongea na Taifa Stars baada ya kutolewa AFCON, nilimsikia anasema siku Ile ya mechi alikuwa amefunga kwa hiyo aliangalia mpira akiwa MEZANI anafuturu, nikajiuliza real RAIS Samia anafunga na kumwomba Mungu? Nikajiuliza haya matukio ya watu KUTEKWA akiwa anaongea na Mungu...
  15. Think2

    Hizi ndizo kauli za dadapoa

    NB, sihamasishi ununuaji ila nataka kushare kauri ambazo nimeshawahi kuzisikia sehemu fulanifulani hapa bongo. 1. Wewe mkaka handsome 2. Yangu haina maji 3. Yangu tamuu njoo 4. Unavua nguo zote kwani wewe ndio una....... 5. We kaka kojoa hii ni biashara 6. Usilete hisia kwenye biashara 7...
  16. 4

    Makonda usitishe watu hapa , hii nchi sio ya baba yako au mama yako ,chunga kauli zako

    Wana Mungu jf ,amani ya Bwana ikawe juu yenu. Nyie mliopata viti kwa hila , sio mda wa kuleta drama ambazo hazina msingi, bila kujali wewe ni nani utakufa kwa mateso makubwa sana , leo ati mtu yupo pale kwa hila alafu unajitutumua , Taifa lazima lishinde kwa hila za kipuuzi ,tueshimiane , hili...
  17. Fbn

    Ile kauli kusema katiba ni kijitabu kama mkiendelea naye sio 2035 mpaka kufa kwake

    Penda sana ku note maongezi ya mtu mfano "guys guys guys". Kuna kauli ukiziunganisha utapata mtu ana maanisha nini ?. Mfano kauli zake: "Msipo tuchagua tutaunda serikali yetu sisi CCM" "wale walifanya vurugu sio watanzania" "wazazi mgewafungia wanenu yasinge tokea haya" "Nguvu iliyotumika...
  18. Tajiri Tanzanite

    Tumuombe Trump atoe kauli moja tu..Samia ajisalimishe.

    Hapo vip! Kwa mauwaji ya kishetani na yakidharau yaliotokea oct.29 na 30 lazima wahusika nao, wateswe na kuuwawa vile vile. Ameuwa kwa upanga naye auwawe vile ni mtu mbaya sana huyu. Watanganyika tuendelee kupaza sauti dunia haswa kwenye account ya Trump. Watu wameuwa mbele yangu ,hawa...
  19. Life2

    Viongozi Madikteta na kauli mbiu yao ya kulinda rasilimali

    Dikteta ni nini/nani. ni mfumo ambapo kikundi cha watu wachache au mmoja wanatawala nchi kwa mtutu, wakiwa juu ya sheria, wakiua watawaliwa, kuteka, kubaka na hata kunyanganya mali za watu. Sifa kuu ya madikteta ni kuvishika na kuvitawala vyombo vya ulinzi na Usalama. Kwa nyakati za hivi...
  20. sanalii

    "Nguvu iliotumika, inaendana na tukio" Hii kauli msiisahau watanzania

    Kama kuna kosa litafanyika, ni kusahau kua samia aliua na kisha alijisifia hadharani kabisa. Hospitalini tu watu wanapasuliwa vichwa badala ya goti, kama angekua na akili na busara, basi angejua hata hawa wahuni waliopewa bunduki, wanaweza kufanya makosa tena makubwa. Ila kwakua ni wahuni...
Back
Top Bottom