"Katiba tuliyo nayo imeakisi misingi ya Wakoloni wetu sio Utamaduni wetu. "
Prof. Mahalu
"Katiba ya Sasa ilizingatia usalama wa Nchi na maendeleo kwa wananchi wake"
Prof. Lipumba
"Afrika Kusini ina katiba Bora sana, Kenya ina katiba bora pia, Uganda vile vile. Lakini Afrika Kusini ni miongoni...