kali

  1. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Unaeneo dogo ? Na unahitaji nyumba kali

    4BEDROOMS PLOT SIZE 15X20M CALL US TO GET YOUR DESIGN +255624004650
  2. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Baada ya Iran kulimwa barua ya onyo kali na Trump nayo yatoa vitisho

    Iran imetishia kuwa endapo itashambuliwa kijeshi na Marekani, italenga kambi ya Marekani na Uingereza zilizoko Diego Garcia umbali wa Kilomita 3,800 kutoka Iran, huku kombora la masafa marefu zaidi la Iran linafikia kilomita 2,000 tu.hii inaonyesha Iran walivyo waongo wanajaribu kuwatisha...
  3. Hharyson

    JamiiForums Tanzania 4BEDROOMS GOROFA KALI SANA WITH TERRACE AT TOP MTEJA KAONA POST HAPA HAPA NA SISI TUKAMTOLEA KITU +255624004650

    WE DO DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES +255624004650 TUNAPATIKANA DSM SINZA
  4. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Trump amlima barua ya onyo kali Ayatollah Khamenei!!

    Barua ya Trump kwa Khamenei wa Iran: "Mheshimiwa Ayatullah Khamenei, Kwa heshima ya nafasi yako na watu wa Iran, ninakuandikia ujumbe huu kwa lengo la kufungua upeo mpya wa mahusiano yetu, mbali na miaka ya migogoro na kutoelewana ambayo tumeshuhudia katika miongo kadhaa iliyopita. Wakati...
  5. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Picha X-rays kali za kutisha ambazo ni ngumu kuamini

    Maisha ni safari ya ajabu, Hizi picha hapa chini sio za kuchora, ni matukio halisi yaliyotokea. 1. Mwaka 2020, msichana mmoja alipata ajali mbaya akiwa ndani ya gari huku miguu yake ikiwa juu ya dashboard. Ajali ilipotokea, mguu wake ulisukumwa kwenda nyuma vibaya na hii ni picha ya X-ray...
  6. Mr Pixel3a

    JamiiForums Tanzania Ni ngoma gani kati ya mtazamo ama Darubini kali ilimpa sifa Afande Sele ya kuitwa mfalme wa Rhymes 2004?

    Kama ni MTAZAMO sidhani kama alistahili labda Hit song ya Darubini Kali. Historia kidogo. Mwaka 2004, Mfanyabiashara Mwandishi wa Vitabu, Eric James Shigongo, alianzisha Shindano la kumtafuta Mkali wa kughani muziki wa Rap nchini. Shindano hilo aliliita "Mfalme wa Rhymes 2004". Kupitia Kampuni...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel yaani IDF halina utani, lafanya shambulizi kali la kutokea angani huko Syria kwenye mji wa pwani ya Latakia,

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa za hivi punde za motomoto zinasema IDF wamefanya shambulizi kali la anga huko Syria Mlengwa hajajulikana bado ila naahidi kuwa nitawajuza nani kaliwa kichwa Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Mungu ibariki nyumba ya Yakobo The Syrian National News Agency...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mbona hawa 'Mabodigadi' wengi wa Wasanii wa Muziki Tanzania ukiwatizama kwa Jicho Kali la 'Ndege Tai' wanaonekana ni 'Pancha' siku nyingi?

    Kwa mfano nikimuangalia huyu wa Ali Kiba hasa alipokuwa Samia Cup Mikocheni anaonekana kabisa ni Pancha zamani.
  9. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Njia nzuri ya kumwambia mtu anaetoa harufu mbaya (kali) mdomoni na asikasirike

    Tajiri huwa haongei sana. inajulikana masikini wana hasira za haraka mno, nahofia nisije kutumia njia ya kawaida tu kumwambia huyu mtu nikashangaa ananipiga kabali. Na vile masikini walivyo na nguvu anaweza kuniuwa.
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wapewa onyo kali kama watathubutu kuwadhuru mateka wa kiyahudii huko Gaza

    Jeshi la Israel limetoa ONYO kali kwa Magaidi wa Hamas i kiwa watajaribu kuwadhuru mateka wa Israel kufuatia tishio lao la kuwaua mateka wa Israel endapo Israel itaendeleza mashambulio yao kwa magaidi hao. Jeshi hilo limesema huko kutasababisha eneo lote łka Gaza kuchukuliiwa na majeshi hayo.
  11. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Kim Jong Un ampa onyo kali Donald Trump asema msaada wowote wa Marekani utazuiliwa na kuangamizwa vibaya!

    Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameionya Marekani kupitia shirika la habari la serikali, KCNA, akisema kuwa “msaada wowote wa kijeshi” ambao Marekani itatoa katika Asia ya Kaskazini “utazuiliwa na kuangamizwa kabisa.” Hii inakuja wakati Japan inapanga kupeleka makombora ya masafa...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Fursa ya Biashara/uwekezaji Katika Utengenezaji wa Pombe Kali

    Wakuu Natumai mko salama na mnaendelea vyema. Mimi ni kijana mwenye ndoto kubwa na maono makubwa ya kujiajiri na kuleta mabadiliko katika sekta ya utengenezaji wa pombe kali. Ninapenda sana fani hii, na kwa miaka kadhaa nimejifunza na kupata uzoefu wa hali ya juu katika kutengeneza pombe kali...
  13. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Unapambanaje na hii hali ya joto kali?

    Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa. AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa. Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
  14. Metronidazole 400mg

    JamiiForums Tanzania Hivi Kuna madhara ya kuweka pombe Kali kwenye fridge na baadae kuinywa??

    Nazungumzia pombe Kali kama; K-vant,konyagi, grants, smin off, jack Daniels nk nk. Nauliza Kuna mlevi Mmoja hapa Jf alishawahi kujaribu hii challenge??, na Nini kilitokea??, Natamani kujua hili......tchao!!!
  15. Magical power

    JamiiForums Tanzania Leo kazini kwangu imekuja chuma ya mana,pisi Kali mbuga wanyama wanaluka Luka mbuga imenawili uoto wa asili inashawishi watalii kuja kutalii.

    Leo kazini kwangu imekuja chuma ya mana,pisi Kali mbuga wanyama wanaluka Luka mbuga imenawili uoto wa asili inashawishi watalii kuja kutalii,imejitaidi kunichangamkia sana tokea asubui adi mda huu mchana inatoka inanichangamkia nn ila ikanambia niache kujifanya nipo buys eti nashindwa ata...
  16. Jerry magere

    JamiiForums Tanzania Nauza 𝘛𝘖𝘠𝘖𝘛𝘈 𝘙𝘈𝘊𝘛𝘐𝘚 2007 ina Sunroof Kali sana.

    𝘛𝘖𝘠𝘖𝘛𝘈 𝘙𝘈𝘊𝘛𝘐𝘚 2007 / Panoramic 𝚂𝚞𝚗𝚛𝚘𝚘𝚏. 𝘌𝘯𝘨𝘪𝘯𝘦 𝘚𝘪𝘻𝘦: 1490𝘤𝘤 𝘍𝘶𝘦𝘭: 𝘗𝘦𝘵𝘳𝘰𝘭 𝘊𝘰𝘭𝘰𝘳: 𝘎𝘳𝘦𝘺 𝘚𝘦𝘢𝘵𝘴: 5 𝘔𝘪𝘭𝘦𝘢𝘨𝘦: 59,900𝘬𝘮 #𝘍𝘦𝘢𝘵𝘶𝘳𝘦𝘴 𝘗𝘢𝘯𝘰𝘳𝘢𝘮𝘪𝘤 𝘚𝘶𝘯𝘳𝘰𝘰𝘧✅| 𝘗𝘢𝘥𝘥𝘭𝘦 𝘚𝘩𝘪𝘧𝘵𝘦𝘳✅/ | 𝘙𝘪𝘮𝘚𝘱𝘰𝘳𝘵𝘴✅| 𝘗𝘶𝘴𝘩2𝘚𝘵𝘢𝘳𝘵✅| 𝘒𝘦𝘺𝘭𝘦𝘴𝘴 𝘌𝘯𝘵𝘳𝘺✅| 𝘊𝘢𝘮𝘦𝘳𝘢✅ | 𝘙𝘦𝘢𝘳 𝘚𝘱𝘰𝘪𝘭𝘦𝘳 ✅ 𝘗𝘳𝘪𝘤𝘦: 17,800,000 + 𝘙𝘦𝘨𝘪𝘴𝘵𝘳𝘢𝘵𝘪𝘰𝘯 ✅ 𝘊𝘢𝘭𝘭: 0712908015 𝘕𝘈𝘝𝘜𝘕𝘑𝘈 𝘕𝘈 𝘎𝘈𝘙𝘐...
  17. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Mwanakwaya auawa kikatili kwa kucharangwa na vitu vyenye ncha kali

    Mwanakwaya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Buhangija, Manispaa ya Shinyanga, Agatha Nyahuma (32), mkazi wa Bugayambelele, Kata ya Kizumbi, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana waliomtaka kwa vitu vyenye ncha kali katika maeneo ya mabega, mgongoni na mkono wa kulia. Kaimu...
  18. fundi bishoo

    JamiiForums Tanzania natafuta gari kali la tsh million 60 wakuu

    kwema natafuta ndonga kali ya kuvimba nayo mjini ya tah million 60-80 mwenye nayo aweke mawasiliano au atupiemo ka picha
  19. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania TFF yampa onyo kali Rais wa Yanga Hersi Said

    TFF imeipa onyo kali klabu ya Yanga kutokana na kitendo cha viongozi wake akiwemo Rais wake Hersi Said kuingia uwanjani na kupiga zogo na wachezaji wa Singida Black Stars baada ya mechi iliyochezwa hivi karibuni baina ya timu hizo mbili. Kitendo hicho kilichofanywa na viongozi hao wa Yanga...
  20. mshale21

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna rhumba kali kuizidi Maboko Pamba ya Fere Gola?

    Yes, kwa utamu na mpangilio wa rhythm na souti huku mdundo ukidunda kwa taratibu hadi mwili automatic unayumba kwa muitikio wa mapigo ya music, unaweza weka repeat asubuhi mpaka usiku usichoke kulisikiliza hili dude. Je, kuna rhumba kali kuliko hiki chuma katika ulimwengu wa rhumba...
Back
Top Bottom