Unajua Zanzibar ya kale enzi izo ikiwa pamoja na Oman Sultanate kwa pwani yote ya Tanzania zilikuwa nazo kuanzia Tanga, Pwani, Lindi na Mtwara hadi ndani kidogo?
Which means kama ingebaki hivyo bila Ujeruman kuja; hao wanaotaka kujitenga, Zanzibar, wangetuibia access ya bahari kabisa.😳😳😳