kagame

Paul Kagame (; born 23 October 1957) is a Rwandan politician and former military leader. He is the 4th and current President of Rwanda, having taken office in 2000 when his predecessor, Pasteur Bizimungu, resigned. Kagame previously commanded the rebel force that ended the 1994 Rwandan genocide. He was considered Rwanda's de facto leader when he served as Vice President and Minister of Defence from 1994 to 2000. He was re-elected in August 2017 with an official result of nearly 99% in an election criticized for numerous irregularities. He has been described as the "most impressive" and "among the most repressive" African leaders.Kagame was born to a Tutsi family in southern Rwanda. When he was two years old, the Rwandan Revolution ended centuries of Tutsi political dominance; his family fled to Uganda, where he spent the rest of his childhood. In the 1980s, Kagame fought in Yoweri Museveni's rebel army, becoming a senior Ugandan army officer after Museveni's military victories carried him to the Ugandan presidency. Kagame joined the Rwandan Patriotic Front (RPF), which invaded Rwanda in 1990. RPF leader Fred Rwigyema died early in the war and Kagame took control. By 1993, the RPF controlled significant territory in Rwanda and a ceasefire was negotiated. The assassination of Rwandan President Juvénal Habyarimana set off the genocide, in which Hutu extremists killed an estimated 800,000 to 1,000,000 Tutsi and moderate Hutu. Kagame resumed the civil war, and ended the genocide with a military victory.
During his vice presidency, Kagame controlled the national army and maintained law and order, while other officials began rebuilding the country. Many RPF soldiers carried out retribution killings. Kagame said he did not support these killings but failed to stop them. A small number of these soldiers were later put on trial. Hutu refugee camps formed in Zaire and other countries. These camps were given food and medical aid by several western governments and aid agencies. The RPF attacked the camps in 1996, forcing many refugees to return home, but insurgents continued to attack Rwanda. The attack on the refugee camps killed an estimated 200,000 people. As part of the invasion, Kagame sponsored two controversial rebel wars in Zaire. The Rwandan- and Ugandan-backed rebels won the first war (1996–97), installing Laurent-Désiré Kabila as president in place of dictator Mobutu and renaming the country as the Democratic Republic of the Congo (DRC). The second war was launched in 1998 against Kabila, and later his son Joseph, following the DRC government's expulsion of Rwandan and Ugandan military forces from the country. The war escalated into a conflict that lasted until a 2003 peace deal and ceasefire.
As president, Kagame has prioritized national development, launching a programme to develop Rwanda as a middle-income country by 2020 (Vision 2020). As of 2013, the country is developing strongly on key indicators, including health care and education; annual growth between 2004 and 2010 averaged 8% per year. Kagame has had mostly good relations with the East African Community and the United States; his relations with France were poor until 2009. Relations with the DRC remain tense despite the 2003 ceasefire; human rights groups and a leaked United Nations report allege Rwandan support for two insurgencies in the country, a charge Kagame denies. Several countries suspended aid payments in 2012 following these allegations. Kagame is popular in Rwanda and with some foreign observers; human rights groups accuse him of political repression. He won an election in 2003, under a new constitution adopted that year, and was elected for a second term in 2010. Kagame was elected again in 2017, and due to yet another change in the constitution, he could potentially be President until 2034. His role in the assassination of exiled political opponents has been controversial.

View More On Wikipedia.org
  1. adriz

    Video: Angalia jinsi Rais Paul Kagame anavyowapiga KO wanahabari magharibi kwa majibu ya kibri na kejeli

    Moja kwa moja.. Nimecheki hii video nimeamini huyu jamaa ni jeuri sana halafu anajiamini .Ila lafudhi ya kingereza chake hata akisimamishwa na mimi niliyesoma pangu pakavu tia mchuzi mimi nitaonekana nimesoma IST au muingereza kabisa .
  2. BARD AI

    Rais Kagame akataa nchi yake kupokea Wakimbizi wa DR Congo

    Rais Paul Kagame amesema Nchi yake haiko tayari kutoa hifadhi kwa watu wanaokimbia migogoro kwa maelezo kuwa hilo sio tatizo la Rwanda hivyo hawezi kubeba mzigo usi wake. Kagame amesema chanzo cha mgogoro wa DRC na Rwanda ni mabaki ya vikosi vya Wahutu wenye itikadi kali ambao walijaribu...
  3. Raphael Thedomiri

    Kagame ni kiongozi mwenye nguvu sana! Na nguvu zake kuu ni uwezo wake wa kijasusi!

    Paul Kagame, rais wa Rwanda anayetunishiana misuli na Felix Tshisekedi wa Congo, wakitupiana maneno, ambayo yanaendelea kudhoofisha mahusiano ya majirani hao! Kwa haya yanayoendelea kubainika kuhusu utawala wa Rwanda ambayo sio mazuri kidiplomasia, lakini mimi yananidhihirishia kwamba nguvu na...
  4. Mzalendo Uchwara

    Kwa mara ya kwanza jasusi mbombezi Kagame anakwenda kuzidiwa kete DRC

    Wa miaka mingi Kagame amekuwa kiungo muhimu cha kuhakikisha maslahi ya mabeberu mashariki mwa DRC. Zaidi ya nusu ya suppy ya madini muhimu yanayotumika kwenye technolia mbalimbali za kisasa kama lithium batteries yanatoka DRC. Kwa miaka mingi vita na vurugu za wanaoitwa "waasi" vimesababisha...
  5. jMali

    Banyamulenge ni wahanga wa Kagame

    Kwa wasiojua, Banyamulenge ni watu wenye asili ya kitutsi wanaopatikana DRC kabla hata ya mipaka ya wazungu, kama ambavyo Wamasai wako Kenya na Tanzania. Tunaongelea zaidi ya miaka 200. Kagame anavyofanya fujo Africa Mashariki watu wote wenye asili ya Rwanda/Burundi wanajikuta wahanga. Hata hapa...
  6. Ngongo

    FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

    Zipo taarifa za chini chini kwamba Rwanda imewataka mabalozi wa USA,UK, Belgium & France kuondoka Kigali ndani ya masaa 72. Kama Rwanda imefikia hatua ya kuwatimua wafadhili Wakuu wa budget yake naona mwisho wa PAKA umewadia. Ngongo kwasasa Kivu ya Kaskazini, ===== UPDATES ===== Habari...
  7. BARD AI

    Rais Kagame: Umwagaji Damu nchini DR Congo hauihusu Rwanda

    Rais Paul Kagame amesema matatizo ya Congo hayakuundwa na Rwanda na si matatizo yao pia hawezi kuwajibika kwa matatizo yanayosababishwa na Wakongo wenye asili ya Rwanda wanaodai kunyimwa Haki zao kama raia. Kauli ya Kagame inakuja kukiwa na ongezeko la vifo na mwagaji damu katika maeneo...
  8. Jidu La Mabambasi

    Marekani yamuonya Kagame kuacha kuisaidia M23 huko DRC

    Hatimaye sasa its official kuwa Kagame analisaidia kundi la waasi wa M23 wanaopigana na serikali Mashariki mwa Congo DRC. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Blinken, amekutana na P. Kagame na kumpasulia wazi kuwa aache kuisaidia M23 , kikundi kinachoua na kutesa wananchi wa kawaida huko...
  9. The Supreme Conqueror

    Kwa kauli hii Kagame ni mhaini wa EAC, hafai hata kwa kurumangia

    🚩 “Rwandans sio maadui wetu, ni dada na kaka zetu, adui yetu ni Kagame na Serikali yake, nawaambia wanyarwanda mnahitaji msaada wetu ili muwe huru, nahitaji sasa kuwasaidieni dhidi ya mu imla Kagame" -President Felix Tshisekedi wa DRC Kipi kifuatacho? MAREKANI NAYO YATOA KAULI KWA RWANDA...
  10. BARD AI

    Serikali ya DR Congo yamuonya Kagame kumuongelea vibaya Rais Tshisekedi

    Msemaji wa Serikali Patrick Muyaya amesema Rais Paul Kagame ana lengo la kumdhoofisha Rais Tshisekedi kwenye Uchaguzi ili aendelee kufanya uporaji wa madini kwenye maeneo yenye migogoro Muyaya amesema Kagame hana sifa ya kuongelea masuala ya Utawala Bora kwa kuwa kwenye suala la Demokrasia...
  11. Chizi Maarifa

    Kilichotokea kati ya Hayati Magufuli na Rais Paul Kagame, Rais Samia alienda rekebisha nini?

    Walipoanza ilionekana kana kwamba hawa jamaaa ni marafiki sana but mambo yalikuja badilika. Kagame kama Magufuli hana rafiki wala adui wa kudumu. Kuna sehemu maslahi ya hizi nchi mbili yalipishana. Kagame akaamua kunyamaza maana alishaambiwa Magufuli alikuwa anamlia timing ajichanganye tu...
  12. MALCOM LUMUMBA

    Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

    Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa...
  13. GENTAMYCINE

    Rais Kagame: Naunga mkono amani ya Congo DR, ila Rwanda ikichokozwa itajibu mapigo na watajuta kuifahamu

    "Nimeshiriki mazungumzo ya amani ya Congo DR na hata kushauri mambo mema ila nasikitika mwenzangu hataki kuwajibika kwa upande wake." "Wanasema Rwanda inaipiga Congo DR ila hawasemi wala hawaoni jinsi Congo DR inavyoivamia mara kwa mara Rwanda." "Napenda mno amani na sipendi machafuko kwani...
  14. OKW BOBAN SUNZU

    Rais Kagame atuma Salamu za Rambirambi

    Serikali haistahili kupokea salamu za rambirambi kwa namna yeyote ile. Licha ya kukumbwa na majanga kama haya lakini serikali imejaa anasa tupu badala ya kufanya maandalizi ya vyombo vya uokozi. Samia akiwa makamu wa rais serikali iliiwaambia wana Kagera serikali haikuleta tetemeko. Haikutosha...
  15. S

    Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

    Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika. Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani. Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul...
  16. Lady Whistledown

    Emanuel Macron akutana na Paul Kagame na Felix Tshisekedi wakutana kwa mazungumzo ya Amani

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekutana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi huku kukiwa na mvutano kati ya Majirani hao kuhusiana na Makundi ya waasi karibu na mpaka wao wa pamoja Taarifa zaidi zinazema kuwa Viongozi hao wanataka...
  17. M

    Kagame anajisifia kufunga makanisa na misikiti: Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu!

    Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
  18. GENTAMYCINE

    Naiona sura ya Rais Ruto, ila Utendaji madhubuti wa maendeleo na uthubutu kama alionao 'Genius' President Kagame

    Na sikushangaa wala sijashangaa sana kwani ndiyo maana hata Siku Moja kabla ya Kuapishwa Kwake Rais Mteule wa Kenya Dkt. William Ruto alitumia muda mwingi kufanya Mazungumzo na Rais wa Rwanda 'Genius' Paul Kagame tofauti na wengine ambao aliishia Kuwasalimia tu. Nimeweza kufuatilia Hotuba...
  19. Jerlamarel

    Kagame ndiye Rais pendwa ukanda wa Afrika Mashariki

    Hiyo ni kwa mujibu wa Kenyans.co.ke walioweka swali kupitia ukurasa wao wa Twitter kwamba "Je, iwapo Afrika Mashariki ingeongozwa na mmoja wa marais wanne walio madarakani, nani angefaa?" Mpaka sasa kura zilizopigwa ni 25,000 na matokeo ni kama yafuatayo: 1. Paul Kagame - 59% 2. Uhuru Kenyatta...
  20. Uzalendo wa Kitanzania

    Marekani yaanza kumshughulikia Kagame kwa tuhuma nzito

    Hamjamboni nyote? Nimeambatanisha kielelezo He Kagame amechokwa na wakubwa?!
Back
Top Bottom